Quantcast
Channel: ziro99blog
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KKKT KUANZISHA MFUKO WA MAFAO KWA WATUMISHI WAKE

Kanisa  la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Dodomainakusudia kuanzisha  mfuko kutoa mafao  maalumu kwa  Watumishi  wake baada ya kustaafu kazini.Katibu Mkuu wa Dayosisi ya Dodoma,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BENKI YA DAMU NYANDA ZA JUU KUSINI KUKUSANYA LITA 400

Lita 400 za damu zinatarajiwa kukusanywa na Benki ya Damu Kanda ya Nyanda za Juu Kusini, kutoka kwa wachungaji 800 wanaounda Baraza la Waangalizi la Kanisa la Tanzania Assemblies of God...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGEREZA YAPATA LESENI 102 ZA KUCHIMBA KOKOTO, CHOKAA

Jeshi la Magereza limepata leseni 102 za uchimbaji wa madini ya ujenzi katika maeneo mbalimbali ya magereza nchini. Madini ambayo jeshi hilo litafanya uchimbaji ni pamoja na chokaa, mawe, kokoto,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VETA SASA YAGEUKIA AJIRA SEKTA YA GESI

Mamlaka ya Elimu Tanzania (VETA) imesema imeanza kuboresha baadhi ya mitaala yake ili kuwezesha wanafunzi wake kupata ajira katika sekta za gesi na mafuta zilizogundulika hivi karibuni nchini.Mtaalamu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LHRC, TLS WANG'ANG'ANIA KESI DHIDI YA PINDA

Kituo cha Msaada wa Kisheria na Haki za Binadamu (LHRC) na Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS),  wamewasilisha kusudio la kukata rufaa kupinga uamuzi wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, kutupilia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZANIA YAZIPITA KENYA, UGANDA MITAJI YA UWEKEZAJI

Tanzania imetajwa kuongoza katika Afrika Mashariki kwa kuwa nchi yenye mitaji mikubwa ya uwekezaji. Hatua hiyo imeelezwa kuwa ni matokeo ya juhudi za kujenga mazingira mazuri ya uwekezaji, zinazofanywa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ASILIMIA 30 YA WATAHINIWA NBAA WAFAULU

Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA) imesema asilimia 30.2 ya watahiniwa waliofanya mitihani ya Bodi wamefaulu.Wengine asilimia 40.8 watarudia masomo waliyoshindwa, huku asilimia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ACHINJWA KIKATILI MBELE YA MKWE WAKE MPANDA

Mkazi wa Kijiji cha Mwamkulu wilayani Mpanda, Suzana Kingi (40), ameuawa kikatili  na watu wasiofahamika kwa kuchinjwa akiwa katika chumba alicholala, huku mkwe wake akishuhudia. Kamanda wa Polisi Mkoa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BALOZI WA LIBYA AJIUA KWA RISASI OFISINI KWAKE DAR

Aliyekuwa Kaimu Balozi wa Libya nchini, Ismail Nwairat, amekufa, baada ya kujipiga risasi.Taarifa ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa  iliyotolewa jana jijini Dar es Salaam, imeeleza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HIVI NDIVYO JAMBAZI ALIVYOSHAMBULIA BASI LA MAGEREZA

Basi la Magereza linalobeba mahabusi na wafungwa, jana lilishambuliwa kwa risasi na jambazi na kusababisha askari wawili na mahabusi mmoja kujeruhiwa.  Shambulio hilo lilifanyika saa 7:50 mchana katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWAKYEMBE AWATIMUA KAZI WATUMISHI WA WIZARA TATU

Watumishi 13 wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) Dar es Salaam, wametimuliwa kazi na Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe, kwa tuhuma za kuchafua sura ya nchi mbele ya jumuiya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YASEMAVYO MAGAZETI YA LEO IJUMAA - JUNI 04

               

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICHO LA TATU

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NEMC KUONDOA MINARA YA SIMU KWENYE MAKAZI YA WATU

Baraza la Taifa la Hifadhi  na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limesema linaanza kupitia miradi mbalimbali, ikiwemo minara ya mawasiliano ya simu iliyojengwa  kwenye makazi ya watu.Lengo ni kuihamisha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

STRABAG KUFUNGA BARABARA YA KAWAWA - MOROCCO

Kampuni ya Strabag International GmbH  inayojenga barabara kwa ajili ya mabasi yaendayo  haraka mjini Dar es Salaam, imetangaza kufunga barabara ya Kawawa/ Morocco kesho na keshokutwa ili kupisha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JESHI LASEMA HAKUNA KURUTA ANAYEKUFA MAFUNZO YA JKT

Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) limekanusha taarifa zilizosambazwa kuwa vijana wa mujibu wa sheria, wanaoendelea na mafunzo katika kambi  za JKT, kuwa wanakufa kwa ukatili.Hayo yalisemwa jana na Msemaji...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MALKIA WA SWAZILAND AIPA SEKONDARI SHILINGI MILIONI 5

Mke wa  Mfalme wa Swaziland, Malkia Nomsa Matsebula ameipatia Shule ya Sekondari ya Wama-Nakayama iliyopo Kijiji cha Nyamisati wilaya ya Rufiji mkoani Pwani,  zaidi ya Sh milioni tano kusaidia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATAHINIWA WA KUJITEGEMEA KIDATO CHA SITA KUJISAJILI

Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) imefungua milango ya kujisajili kwa watahiniwa wa kujitegemea, wanaopenda kufanya mtihani wa Kidato cha Sita Mei  mwakani. Ofisa Habari wa Necta, John Nchimbi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MJI MKONGWE ZANZIBAR UPO HATARINI

Mji Mkongwe wa Zanzibar unadaiwa kuwa katika hatari ya kuondolewa kwenye ramani ya Hifadhi ya Urithi wa Kimataifa.Hali hiyo inatokana na hujuma zinazofanywa na watu wasiofahamika kwenye miundombinu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZANIA YATAMANI AMANI IREJEE NCHINI SYRIA

Makamu wa Rais, Dk Mohammed Gharib Bilal amesema Tanzania inatamani kuona hali ya utulivu na amani inarejea Syria na nchi kuendelea kujenga uchumi.Kauli hiyo aliitoa jana wakati alipokutana na Balozi...

View Article
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live