MAGUFULI ATAKA CHATO KUACHA MALUMBANO YA KISIASA
Mbunge wa Chato, Dk John Magufuli ameasa wananchi kuepuka malumbano na kuweka mbele itikadi za vyama, badala yake washirikiane kujenga jimbo hilo. Magufuli ambaye ni Waziri wa Ujenzi, alisema hayo jana...
View ArticleKIKWETE AMKARIBISHA MWANA MFALME WA JAPAN
Rais Jakaya Kikwete amemkaribisha Ikulu, Dar es Salaam, Mwana wa Mfalme wa Japan, Prince Akishino pamoja na mkewe Princess Akishono.Mwana Mfamle huyo ambaye anatembelea Tanzania, alifanya mazungumzo...
View ArticleUZALISHAJI UMEME IPTL SASA WAFIKIA MEGAWATI 100
Uzalishaji umeme katika kampuni ya ufuaji umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) umefikia megawati 100, ambacho ni kiwango cha juu cha uwezo wa mitambo yake.Kiwango hicho kilifikiwa Juni...
View ArticleSOKO LA BIDHAA GHAFI KUNUFAISHA WAKULIMA
Mwenyekiti wa Taasisi ya Sekta Binafsi (TPSF), Reginald Mengi amesema ukombozi wa upatikanaji wa masoko ya mazao ya wakulima ni uanzishwaji wa soko la bidhaa ghafi ambalo litawasaidia wakulima kujua...
View ArticleMAITI ZA WATOTO ZAOKOTWA KATIKA MATUKIO TOFAUTI
Watoto watatu wamekufa katika matukio tofauti yaliyotokea jijini Dar es Salaam, akiwemo mtoto mchanga aliyetupwa kando ya barabara katika eneo la Kigogo Sambusa.Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ilala,...
View ArticleNYANDA ZA JUU KUSINI WAONGOZA MAAMBUKIZI MAPYA YA UKIMWI
Tume ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania (TACAIDS) imesema maambukizi mapya ya virusi vya Ukimwi nchini yamepungua hadi kufikia asilimia 5.1 kwa mwaka 2011/2012 ambapo asilimia 6.2 ni wanawake na asilimia...
View ArticleWATOTO 5,000 WAONDOLEWA KATIKA AJIRA MBAYA ZANZIBAR
Jumla ya watoto 5,000 wameondolewa katika ajira mbaya Unguja na Pemba ikiwemo za kugonga kokoto na kupasua miamba ya mawe ya kutengeneza matofali katika mradi unaotekelezwa na Shirika la Save Children...
View ArticleJELA MIEZI SITA KWA KUMVUNJA MGUU MKEWE
Mkazi wa Kijiji cha Nyasoro wilayani Rorya mkoani Mara, Ernest Zabron (60) amehukumiwa kwenda jela miezi sita kwa kosa la kumpiga mkewe Esther Ernest (42) kwa rungu na kumvunja mguu wake wa...
View ArticleABIRIA 60 WANUSURIKA KIFO AJALI YA IGUNGA
Abiria 60 wamenusurika kufa baada ya gari walilokuwa wakisafiria kupasuka tairi katika kijiji cha Makomero wilayani Igunga mkoani Tabora juzi. Akizungumza na waandishi wa habari, Kamanda wa Polisi...
View ArticleTANI 200,000 ZA MAHINDI KUUZWA NCHINI KENYA
Serikali imeingia mkataba na Kenya wa kuuza mahindi tani 200,000. Shughuli hiyo itaanza ndani ya wiki mbili zijazo.Hayo yameelezwa jana na Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Christopher...
View ArticleNYALANDU AHIMIZA MAKAMPUNI KUTANGAZA UTALII
Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu amezitaka kampuni za kitalii nchini kutangaza utalii na vivutio vyake ndani na nje ya nchi ili kuwapa wananchi moyo wa kizalendo katika kujali vivutio...
View ArticleMWILI WA KAIMU BALOZI WA LIBYA WASAFIRISHWA KURUDI KWAO
Mwili wa Kaimu Balozi wa Libya nchini, Ismail Nwairat (39), umesafirishwa jana kwenda Libya na shirika la ndege ya nchi hiyo.Kwa mujibu wa taarifa za awali kutoka Ofisi ya Mawasiliano ya Wizara ya...
View ArticleVIGOGO CHUO CHA UHASIBU KORTINI, YUMO MKUU WA CHUO
Mkuu wa Chuo cha Uhasibu Arusha, Profesa Johannes Monyo na wenzake saba wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha wakituhumiwa kwa makosa manne tofauti yakiwemo ya uhujumu uchumi na kuisababishia...
View ArticleMASHEKHE WALIPULIWA NA BOMU WAKILA DAKU ARUSHA
Wakati Waislamu wakiwa katika mwezi mtukufu wa Ramadhani, watu wasiojulikana juzi walivamia nyumba ya Mkurugenzi wa Kanda ya Kaskazini wa Taasisi ya Kiislamu ya Answar Muslim Youth Centre, Shekhe Soud...
View ArticleArticle 17
Mshambuliaji wa Argentina, Gonzalo Higuain akipiga shuti kuifungia timu yake bao dhidi ya Ubelgiji katika mechi ya robo fainali ya Kombe la Dunia inayoendelea kwenye Uwanja wa Nacional, nchini Brazil....
View ArticleArticle 16
Mwonekano wa sarafu ya Shilingi Mia Tano ambayo Benki Kuu ya Tanzania inatarajia kuiingiza kwenye mzunguko hivi karibuni. Noti ya thamani hiyo maarufu kama 'jero' itaendelea kutumika huku utaratibu...
View ArticleArticle 15
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitia saini kwenye kitabu cha wageni wakati alipotembelea Banda la Wizara ya mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa katika Maonesho ya 38 ya Kimataifa ya biashara...
View ArticleArticle 14
Sehemu ya wafanyabiashara wajasiriamali kutoka Tanzania wakionesha bidhaa zao kwenye Maonesho ya Kimataifa ya Biashara na Viwanda yanayofanyika mjini Ndola, Zambia.
View Article