$ 0 0 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitia saini kwenye kitabu cha wageni wakati alipotembelea Banda la Wizara ya mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa katika Maonesho ya 38 ya Kimataifa ya biashara (Sabasaba), Barabara ya kilwa, jijini Dar es Salaam.