Quantcast
Channel: ziro99blog
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live
↧

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LWAKATARE AHUSISHWA SHAMBULIO LA MWANDISHI ABSALOM KIBANDA...

Wilfred Lwakatare.Ofisa Mwandamizi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Wilfred Lwakatare amekamatwa na Polisi na kuhojiwa kwa tuhuma ambazo hazijawekwa wazi.Habari za kukamatwa kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MOSHI MWEUPE WAFUKA KUASHIRIA KUPATIKANA KWA PAPA MPYA...

Moshi mweupe ukifuka juu la paa la Kanisa Dogo la Sistine kuashiria kupatikana kwa Baba Mtakatifu mpya, Kardinali Jorge Mario Bergoglio kutoka Argentina usiku wa kuamkia leo.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICHO LA TATU...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ASKARI PAKISTANI AUAWA KWA MAWE SABABU YA MAPENZI...

Eneo la Parachinar ambako alihamishiwa Anwar.Mwanajeshi wa Pakistan amepigwa mawe hadharani hadi kufa ikiwa ni amri ya mahakama ya kijadi kwa kuwa na mahusiano na mwanamke wa kawaida, imedaiwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PAPA MPYA APIGWA 'STOP' KWENDA KUAGA KWAO ARGENTINA...

Papa Francis IBaada ya uchaguzi wa Papa mpya, Francis I (76), ambaye jina lake la awali ni Kardinali Jorge Mario Bergoglio, haruhusiwi kurudi nchini au jimboni mwake kama Askofu Mkuu ili...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MTALII ABAKWA NA WANAUME WATATU, AKIWAMO BABU WA MIAKA 70...

Mtalii wa kike kutoka Uingereza amebakwa na kundi la wanaume mita chache tu kutoka mahali alipofikia kwa ajili ya mapumziko alipokuwa akiishi na rafiki yake wa kiume huko Costa del Sol, nchini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHEKA TARATIBU...

Waziri wa Mifugo kaenda kutembelea mradi wa nyuki. Mlangoni kamkuta mlinzi na baada ya kujieleza kusudio lake mlinzi akamkatalia kuingia kwa madai ni marufuku kwa yeyote kuingia muda huo. Waziri kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMATI ZA BUNGE ZAVUNJWA KWA KUKITHIRI RUSHWA...

Ndani ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mjini Dodoma.Kamati za Bunge zimetangazwa, ambapo wajumbe wa kamati mbili zilizowahi kutuhumiwa kwa rushwa, wamesambaratishwa.Kwa mujibu wa orodha mpya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LWAKATARE WA CHADEMA BADO ASHIKILIWA NA POLISI...

Advera Senso.Mkuu wa Kitengo cha Ulinzi na Usalama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Wilfred Lwakatare bado anashikiliwa na Polisi.Hadi jana saa 10 jioni, wakili wa mtuhumiwa huyo,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AMKUBALI PAPA FRANCIS I, ATARAJIA MAKUBWA KWAKE...

Rais Jakaya Kikwete.Rais Jakaya Kikwete, ameonesha matumaini kwa Papa Francis I kwa kuchaguliwa kuongoza Kanisa Katoliki Duniani na kutarajia mabadiliko makubwa.Pia Rais amempongeza na kuahidi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMA AAMKA USINGIZINI NA KUTEMBEA UMBALI WA MAILI TISA...

KUSHOTO: Joy Grigg. KULIA: Sehemu alipopatikana umbali wa maili tisa kutoka kwake.Mama wa watoto wawili ambaye alipotea baada ya kutembea huku akiwa usingizini na kutoka kwenye dirisha lake la jikoni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAWAKILI WATATU WAHAHA KUMNASUA LWAKATARE MIKONONI MWA POLISI...

Wilfred Lwakatare.Jopo la mawakili wanaomtetea Mkuu wa Kitengo cha Ulinzi na Usalama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Wilfred Lwakatare limelitaka Jeshi la Polisi kutoa dhamana kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICHO LA TATU...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RUBANI WA NDEGE ILIYOUA WATU 228 ALIPUMZIKA KWA SAA MOJA TU...

PICHA KUBWA: Vikosi vya uokoaji vikishughulikia moja ya mabaki ya ndege hiyo baharini. PICHA NDOGO: Marc Dubois.Rubani wa ndege ya Shirika la Ndege la Ufaransa ambayo ilianguka kwenye bahari na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHEKA TARATIBU...

Mume kamuaga mkewe anaenda semina Songea kwa wiki nzima, kumbe kahamia kwa mwanamke mwingine nyumba ya pili kutoka kwake. Siku moja alipoamka asubuhi kuchungulia dirishani kwake kukoje, akamuona...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PAPA MPYA ANUSURIKA KUANGUKA MADHABAHUNI, AENDELEA KUPANDA BASI...

JUU: Papa Francis I (kushoto) akiwa ndani ya basi wakati akienda kuendesha ibada siku moja baada ya kuchaguliwa kwake Vatican. CHINI: Papa Francis I akiinuka kwenye kiti chake kwenda kuwasalimia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZITTO KABWE NA FILIKUNJOMBE WAIBUKA VIDEDEA KAMATI ZA BUNGE...

Wabunge Deo Filikunjombe (kushoto) na Zitto Kabwe.Wabunge vijana waliokuwa wanaiongoza Kamati ya Bunge iliyovunjwa ya Hesabu za Mashirika ya Umma (POAC), Kabwe Zitto na Makamu wake, Deo Filikunjombe,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAILA ODINGA APINGA RASMI URAIS WA UHURU KENYATTA...

Raila Odinga.Hatimaye Waziri Mkuu wa Kenya, Raila Odinga amekata rufani katika Mahakama Kuu ya nchi hiyo akipinga matokeo ya uchaguzi wa urais uliofanyika karibuni.Uhuru Kenyatta alitangazwa na Tume ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICHO LA TATU...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MTALII ABAKWA NA KUNDI LA WANAUME WANANE MBELE YA MUMEWE...

Mtalii huyo (katikati) akiongozwa polisi wa kike kwenda hospitali kwa uchunguzi wa afya yake.Genge la wanaume wanane linadaiwa kumbaka mtalii mwenye miaka 39 na kumpiga mumewe kwa fimbo wakati wakiwa...

View Article
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live