Quantcast
Channel: ziro99blog
Browsing all 4550 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAMA YATAFUTA 'DAWA' KWA MILA KANDAMIZI

Taasisi isiyo ya Kiserikali ya Segal Family Foundation imeingia mkataba wa kufanya kazi na Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (Wama) kuhakikisha jamii iliyosahaulika, inapata huduma muhimu.Wama...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CUF KUFANYA MIKUTANO YA HADHARA BAADA YA MFUNGO

Chama cha Wananchi ( CUF) kinatarajia kuanza kufanya mikutano ya hadhara ya kuhamasisha shughuli za chama hicho mkoani Mtwara mara baada ya mfungo mtukufu wa Ramadhani.Hatua hiyo, ya CUF itakuwa ni...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DAR YATOA SHILINGI MILIONI 7 KWA WAJASIRIAMALI

Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kupitia Idara ya Mipango Miji imetoa Sh milioni saba, kama mikopo kwa vikundi vitatu vya wajasiriamali.Hayo yalisemwa na Ofisa Maendeleo wa Jiji, Magreth Mazwile...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YASEMAVYO MAGAZETI YA LEO JUMANNE - JULAI 15

   

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KERO ZA MAJI ZAMPELEKA PROFESA MAGHEMBE INDIA

Waziri wa Maji, Profesa Jumanne Maghembe anatarajia kwenda nchini India ili kutoa shukrani kwa Serikali ya nchi hiyo pamoja na kuishawishi kupanua ufadhili na mikopo yake katika miradi ya maji nchini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WIZARA YASISITIZA PROGRAMU YA KIFUNGO CHA NJE

Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Idara ya Huduma kwa Jamii imesema ili urekebishaji wa wahalifu chini ya programu ya kifungo cha nje ufanikiwe, Serikali ichukue hatua za makusudi kueneza utekelezaji...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RASIMU SERA YA DIASPORA KATIKA HATUA ZA MWISHO

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda amesema Rasimu ya Sera ya Diaspora iko kwenye hatua za mwisho za maandalizi  na muda si mrefu, itaingizwa kwenye utaratibu wa Kiserikali ili iweze kuwasilishwa kwenye Baraza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANASWA KWA TUHUMA YA KUIBA MAJI YA DAWASA

Wakazi watatu wa Dar es Salaam jana walikamatwa na polisi kwa tuhuma ya kujiunganishia maji ya Mamlaka ya Majisafi na Majitaka Dar es Salaam (Dawasa) kinyume cha sheria.Walikamatwa mbele ya Naibu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICHO LA TATU

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MTUHUMIWA WA TINDIKALI ZANZIBAR ATIWA MBARONI

Makachero wa Jeshi la Polisi Zanzibar, wamefanikiwa kumtia mbaroni mtu mmoja, Alawi Mohammed Silima (25), mkazi wa Fuoni Melinne, nje kidogo ya Mji wa Zanzibar.Mtu huyo anatuhumiwa kuhusika na tukio la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MFUMO WA UTAWALA TAZARA KUFUMULIWA

Serikali za Tanzania na Zambia zimedhamiria kufanya mabadiliko makubwa ya kiutendaji katika Reli ya Mamlaka ya Tanzania na Zambia (TAZARA), kutoka mfumo wa awali kwenda wa kibiashara ili iweze...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIGOGO WA JUU MAMLAKA YA BANDARI WAPANDISHWA KIZIMBANI DAR

Aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya  Bandari (TPA) na Msaidizi wake, wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na mashitaka ya matumizi mabaya ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 16

Baadhi ya wakazi wa Mwananyamala na maeneo ya jirani wakihaha kuzima moto uliokuwa ukiwaka na kuteketeza maduka kadhaa katika eneo la Mwananyamala 'A', jijini Dar es Salaam mapema leo.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 15

Wasamaria wakihangaika kuzima moto huku wengine wakijaribu bila mafanikio kuokoa mali baada ya moto huo unaoaminika kusababishwa na hitilafu ya umeme kuteketeza maduka kadhaa eneo la Mwananyamala 'A'...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 14

Moto ukiwa umeshamiri huku baadhi ya wafanyabiashara wakijaribu kuokoa mali leo eneo la Mwananyamala 'A'. Hakuna aliyeripotiwa kujeruhiwa ama kupoteza maisha kutokana na mkasa huo.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 13

Hivi ndivyo hali ilivyokuwa wakati moto uliozuka ghafla ulipoteketeza maduka kadhaa na mali zilizokuwamo ndani yake eneo la Mwananyamala 'A', jijini Dar es Salaam mapema leo. Chanzo cha moto huo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAFANYAKAZI WA VODACOM WAPEWA 'KINGA' YA AJALI

Kampuni ya Vodacom Tanzania imezindua kampeni maalumu ya kuhamasisha wafanyakazi wake kuhakikisha uendeshaji wa magari na vyombo vingine vya moto ili kulinda afya na usalama wao wawapo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WASTAAFU TAZARA WALALMIKIA MALIPO KIDUCHU

Wastaafu wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA) wamelalamikia uongozi wa shirika hilo kwa kulipa malipo yao kwa kufuata utaratibu ambao hautambuliwi na Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Serikali...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAFANYABIASHARA WATEGEWA MAWE MAKUBWA BARABARANI NA KUPORWA

Wafanyabiashara 30 wameporwa fedha taslimu na  vitu vyao  vya   thamani vinavyokadiriwa  kwa pamoja kuwa  na thamani ya zaidi ya Sh milioni 20 wakati lori walilokuwa wakisafiria lilipovamiwa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIFAA VYA KUZIMA MOTO BILA MAJI VYAGHARIMU SHILINGI MILIONI 200

Kikosi cha Zimamoto na uokoaji nchini, kimenunua vifaa 100 vitakavyosaidia kuzima moto bila kutumia maji vyenye thamani ya Sh milioni 200.Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam wakati...

View Article
Browsing all 4550 articles
Browse latest View live