Quantcast
Channel: ziro99blog
Browsing all 4630 articles
Browse latest View live
↧

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 18

Mchezaji wa Uholanzi, Georginio Wijnaldum (kulia) akishangilia na mwenzake, Jonathan de Guzman baada ya kuifungia timu yake bao la tatu dhidi ya Brazil kwenye mechi ya kutafuta mshindi wa tatu wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TIC YATOA MAFUNZO KWA WAJASIRIAMALI 214

Serikali kupitia Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC), itaendelea kutoa mafunzo ya Wafanyabiashara Wadogo na wa Kati (SMEs) ili kuboresha zaidi mahusiano ya kibiashara na wafanyabiashara wakubwa na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIONGOZI CCM ZANZIBAR WAPEWA SOMO

Viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Zanzibar wametakiwa kuacha kuwaza kinyang’anyiro cha urais mwakani badala yake waelekeze nguvu zaidi katika kazi ya kutafuta wapiga kura wapya kuhakikisha chama...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WALIMU KUNUFAIKA NA MRADI WA STHEP

Walimu nchini watanufaika kwa mara nyingine kwa kusomeshwa na Serikali katika masomo ya ngazi mbalimbali ikiwemo uzamili na uzamivu katika awamu ya pili ya Mradi wa Sayansi, Teknolojia na Elimu ya Juu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANAKIJIJI WALIA NA OPERESHENI TOKOMEZA

Wakazi 30 wa Kijiji cha Kegonga Kata ya Nyanungu Tarafa ya Ingwe Wilayani TarimeMkoa wa Mara, wamedai kuwa wanadai fidia ya zaidi ya Sh milioni 100 kutokana na mifugo yao kuuawa.Wanadai mifugo hao...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

YASEMAVYO MAGAZETI YA LEO JUMATATU - JULAI 14

       

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICHO LA TATU

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RC AONYA WANAOHARIBU CHANZO CHA MAJI NTOMOKO

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dk Rehema Nchimbi amepiga marufuku shughuli zote zinazohatarisha chanzo cha maji cha kihistoria cha Ntomoko kinachohudumia vijiji takribani 17 vya Wilaya ya Kondoa na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NSSF YATISHIA KUIFIKISHA KORTINI KAMPUNI YA ULINZI

Mfuko wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) mkoani hapa, umetoa siku 14 kwa Kampuni ya Ulinzi ya Fodey, iliyopo eneo la Uzungua Manispaa ya Arusha, kulipa deni la michango ya wafanyakazi wake zaidi ya Sh milioni...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DK SHEIN ASIFU UHUSIANO WA ZANZIBAR NA MSUMBIJI

Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amesema Zanzibar na nchi ya Msumbiji zina kila sababu ya kujivunia uhusiano baina yao uliowaweka karibu wananchi wa pande zote mbili na kujenga upendo na urafiki...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI KUTEMBELEA ASASI ZA KISHERIA DAR

Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Angellah Kairuki anafanya ziara ya kikazi ya siku tano kuanzia leo katika Jiji la Dar es Salaam kutembelea asasi zinazotoa huduma za msaada wa kisheria kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MADIWANI WAENDESHA VIKAO KWA MKOPO

Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi mkoani Simiyu, wamesema halmashauri hiyo inakabiliwa na uhaba mkubwa wa fedha unaosababisha vikao vyao kuendeshwa kwa mkopo na kuhatarisha miradi ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JK AOMBA MADHEHEBU KUOMBEA MCHAKATO WA KATIBA MPYA

Rais Jakaya Kikwete amezitaka taasisi za dini, kuendelea kuiombea Serikali, vyama vya siasa na mchakato wa Katiba mpya ili taifa liweze kupata Katiba mpya na bora kwa amani.Alitoa wito huo wakati...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MDOMO WAMPONZA KAFULILA, ADAIWA FIDIA SHILINGI BILIONI 310

Kampuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL), imemfungulia kesi Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR-Mageuzi) katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, ikimtaka aombe...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SUPER MARIO WINS THE WORLD CUP FOR GERMANY

Mario Goetze struck a wonderful extra-time winner as Germany beat Argentina 1-0 to claim the 2014 World Cup at the Estadio Maracana.The Bayern Munich came off the bench to coolly chest and volley home...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 3

Kiungo Mario Gotze akiifungia Ujerumani bao pekee lililoipa ushindi timu yake dhidi ya Argentina katika mechi ya fainali ya Kombe la Dunia iliyomalizika muda mfupi uliopita kwenye Uwanja wa Maracana.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 2

Wachezaji wa Ujerumani wakimpongeza mwenzao, Mario Gotze baada ya kuifungia timu yao bao la ushindi dhidi ya Argentina na kutwaa Kombe la Dunia sambamba na kunyakua zawadi ya kitita cha Dola za...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 1

Mshambuliaji na nahodha wa timu ya Argentina, Lionel Messi akiwatoka mabeki wa Ujerumani katika mechi ya fainali ya Kombe la Dunia iliyochezwa Uwanja wa Maracana usiku huu. Ujerumani ilishinda bao 1-0...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 0

Wachezaji wa Ujerumani wakishangilia Kombe la Dunia walilofanikiwa kutwaa baada ya kuwachapa Argentina kwa bao 1-0 lililofungwa dakika ya 116 ya muda wa nyongeza na Mario Gotze kwenye mechi ya fainali...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VITA FOAM YAPATA CHETI CHA UBORA

Kampuni ya Vita Foam Tanzania Limited imepata cheti cha uthibitisho pamoja na alama za ubora wa kimataifa kutokana na kutimiza viwango vya usimamizi wa ubora vinavyotambulika kimataifa.Akizungumza na...

View Article
Browsing all 4630 articles
Browse latest View live