Quantcast
Channel: ziro99blog
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAMZAWADIA MEGHJI KWA KUKAA MIAKA 9 WIZARA YA MALIASILI

Wizara ya Maliasili na Utalii imemzawadia aliyewahi kuwa waziri wake, Zakhia Meghji kwa kuwa pekee aliyeiongoza  kwa muda mrefu. Meghji ambaye ni Mbunge wa Viti Maalumu, alisema “Mafanikio yoyote ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

YASEMAVYO MAGAZETI YA LEO JUMATATU - JULAI 07

       

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

'FEDHA KWENYE ASASI ZILIZO CHINI YA BENKI KUU NI SALAMA'

Wananchi wameshauriwa kujenga utamaduni wa kuweka akiba katika benki na taasisi za fedha zilizosajiliwa na Benki Kuu ya Tanzania (BoT), kwa kile kilichoelezwa ni njia salama na yenye faida kwao na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NCCR-MAGEUZI YAMKINGIA KIFUA KAFULILA

Kitengo cha Vijana wa Chama cha NCCR-Mageuzi kimesema kinamuunga mkono mbunge wa Kigoma Kusini kupitia chama hicho, David Kafulila, kuhusu harakati za kutaka uchunguzi huru kuhusu suala la fedha za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MCHUNGAJI MSIGWA ATAKA KAMPUNI ZA UWINDAJI ZICHUNGUZWE

Waziri Kivuli wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Mchungaji Peter Msigwa, ametaka Serikali kufanya uchunguzi wa kina dhidi ya kampuni zote za uwindaji,  kubaini matukio ya ukiukwaji wa sheria za...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MFUMO MBOVU WATAJWA KUATHIRI ELIMU NCHINI

Mfumo mbovu wa elimu hapa nchini, umetajwa kusababisha wanafunzi katika shule za umma kusoma kwa mtindo wa kupenya, hali inayosababisha kuwepo kwa idadi kubwa ya watu walioenda shule, lakini idadi ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CUF YAONYA KUCHAGUA RAIS SABABU YA UJANA WAKE

Vijana wanaotaka uongozi hususani nafasi ya urais, wameshauriwa kujenga hoja, kuonesha malezi mazuri waliyo nayo na karama ya uongozi, ili watu wabaini wawachague, badala ya kuegemea kigezo cha rika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATU 29 WAUAWA KATIKA SHAMBULIZI LA KIGAIDI KENYA

Watu wenye silaha wameua watu 29 katika mashambulizi mawili tofauti eneo la Pwani ya Kenya.Shambulizi la kwanza limefanyika katika  eneo la Hindi na lingine Gamba, karibu na mpaka wa Kenya na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAASKOFU WATOA YA MOYONI KUHUSU BUNGE LA KATIBA

Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), limetoa waraka wa pili kuhusu Katiba mpya kwa Watanzania, ambao umetuma ujumbe mzito kwa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, ukisisitiza Katiba ijayo iwe ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICHO LA TATU

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAFANYABIASHARA WATAKIWA KUPUNGUZA BEI ZA VYAKULA

Wafanyabiashara visiwani hapa wametakiwa kupunguza bei ya vyakula  kutoa nafasi kwa wananchi kutekeleza vizuri mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani ambao ni moja ya ibada muhimu kwa Waislamu.Hayo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWAMBUNGU AZIBANA HALMASHAURI RUVUMA

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Said Mwambungu amezitaka halmashauri za wilaya na halmashauri za Manispaa,  kurejesha vijijini asilimia 20 ya mapato yanayotokana na ushuru ili yafanye kazi za maendeleo....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAOMBA USHIRIKIANO WA RAIA KUDHIBITI UHAMIAJI HARAMU

Idara ya Uhamiaji imewataka wananchi kutoa taarifa pale wanapoona kuna wahamiaji haramu wanaishi katika mazingira yao au wanaishi bila kibali hapa nchini ili wachukuliwe hatua.Ofisa Uhusiano wa Idara...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DK MWINYI KUFUNGUA KONGAMANO LA MAJESHI

Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dk Hussein Mwinyi anatarajiwa kufungua kongamano la Majeshi ya Nchikavu ya nchi za Afrika Mashariki lenye lengo la kujadili changamoto...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YASEMAVYO MAGAZETI YA LEO JUMANNE - JULAI 08

      

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TUME YA UTUMISHI WA MAHAKAMA YAKABIDHIWA RUNGU

Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu, Fakhi Jundu amesema kuanzia sasa watumishi wote wa mahakama wataajiriwa kupitia Tume ya Utumishi wa Mahakama.Hatua hiyo imefikiwa kuondoa malalamiko  ya wafanyakazi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHADEMA YAOMBA MSAADA KWA MSAJILI KUFANYA MIKUTANO

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoani Mtwara, Kassim Bingwe, amemuomba msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi, kuzungumza na serikali ili ione umuhimu wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ILALA WAZINDUA UTUMIAJI MITANDAO KUTOA LESENI

Halmashauri ya Manispaa ya Ilala jana imezindua utumiaji mitandao katika utoaji wa leseni ya biashara.Meya wa Manispaa hiyo, Jerry Silaa, alizindua mtandao huo jana katika Maonesho ya 38 ya Biashara ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

METL YAFAGILIWA KWA KUTOA AJIRA KWA WAKULIMA, VIWANDANI

Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa amepongeza makampuni yaliyo chini ya Kundi la METL, kwa kuhakikisha ajira kwa watanzania na soko la malighafi kwa wakulima wa bidhaa mbalimbali nchini.Silaa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICHO LA TATU

View Article
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live