Quantcast
Channel: ziro99blog
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live
↧

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HOSPITALI YA MKOA INA DAKTARI BINGWA MMOJA TU

Hospitali ya  Rufaa ya mkoa wa Kagera inakabiliwa na upungufu wa madaktari bingwa saba, hali inayotajwa kuchangia huduma kusuasua hivyo  kuongezeka kwa malalamiko kutoka kwa wagonjwa. Mganga Mfawidhi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAFANIKIO SEHEMU NDOGO YA GESI YAWEKWA HADHARANI

Utafiti zaidi wa mafuta na gesi unaoendelea nchini, unaweza kuilazimu nchi kuingia katika makubaliano ya uzalishaji wa pamoja wa sehemu ya nishati hiyo na nchi za jirani.Taarifa ya Hali ya Uchumi wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DAWASA YAPANUA MTAMBO RUVU JUU, YAJENGA CHUJIO

Mamlaka ya Majisafi na Majitaka  Dar es Salaam imeanza  upanuzi  mkubwa wa mtambo wa Ruvu Juu, ikiwemo kujenga chujio mpya.Upanuzi wa mtambo huo utakapokamilika, utaongeza uzalishaji  kutoka lita...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NYUMBU WAOMBA MSAADA WA KUIMARISHWA

Serikali imetakiwa kuiwezesha Taasisi ya Tanzania Automotive Technology Centre (TATC) maarufu kama Nyumbu ili waweze kutengeneza  magari na vifaa mbalimbali hapa nchini vyenye ubora...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZEC YAHIMIZA WANAWAKE KUJITOKEZA KUGOMBEA UONGOZI

Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imetaka wanawake kushiriki katika mchakato wa uchaguzi kuanzia ngazi mbali mbali na kugombea katika nafasi za juu za uongozi katika vyama vya siasa.Imeelezwa kuwa hatua...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIDO YAANIKA UBUNIFU WAKE KUKUZA KILIMO

Shirika la Maendeleo ya Viwanda Vidogo (SIDO), limesema dhamira kuu katika Maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa Dar es Salaam ni kutoa muamko kwa wajasiriamali kwa kuonesha utaalam katika suala la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TRA WAOMBA NGUVU ZA WASANII KUFANIKISHA UDHIBITI

Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA) imewataka  wasanii  kushirikiana nao  katika operesheni waliyoanzisha  kuhakikisha wanadhibiti watu wanaodurufu kazi  zao ili ziweze kurudi kwenye mstari na kupata...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UMATI YATANUA UWIGO WAKE WA HUDUMA

Chama cha Uzazi na Malezi Bora Tanzania (UMATI), kimeandaa mikakati ya kuyafikia makundi mengi zaidi katika utoaji wa huduma yakiwemo makundi ya watu wanaofanya biashara ya ukahaba.Akizungumza na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

IPTL YATOA MILIONI 14.5/- KUSAIDIA UJENZI WA KANISA

Kampuni ya ufuaji umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) imetoa msaada wa Sh milioni 14.5 kwa Jumuiya ya Kanisa la Mtakatifu Petro lililopo Oysterbay jijini Dar es Salaam, ikiwa ni sehemu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PUMBA ZA MCHELE ZATUMIKA KUTENGENEZA MATOFALI

Pumba za mchele zimebainika zikichanganywa na saruji kidogo, zina uwezo wa kutengeneza matofali imara. Wakala wa Taifa wa Utafiti wa Nyumba Bora na Vifaa vya Ujenzi (NHBRA), umebaini hayo kupitia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MFUMUKO WA BEI WAPUNGUA HADI ASILIMIA 6.4

Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) imesema mfumuko wa bei wa taifa kwa mwezi Juni umepungua hadi asilimia 6.4 kutoka asilimia 6.5 ilivyokuwa  mwezi Mei mwaka huu.Mkurugenzi wa Takwimu za Jamii na Sensa ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICHO LA TATU

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YASEMAVYO MAGAZETI YA LEO JUMATANO - JULAI 09

     

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WALIOMUUA SISTA WAPANDISHWA KIZIMBANI KWA WIZI BARCLAYS

Watuhumiwa wanaodaiwa kumuua Sista Cresencia Kapuli na kumpora Sh milioni 20, jana wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na kusomewa mashtaka ya wizi wa zaidi ya Sh milioni 479...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANAFUNZI WATUPWA JELA MIAKA SITA KWA MAUAJI YA MWALIMU WAO

Vijana wawili waliokuwa wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Chemchem wilayani Mkalama katika Mkoa wa Singida, wamehukumiwa kifungo cha miaka sita kila mmoja baada ya Mahakama kuwatia hatiani kwa kosa la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HIVI NDIVYO MGAHAWA ULIVYOPIGWA MABOMU ARUSHA

Watu wanane, wanne wakiwa wa familia moja, wamelipuliwa na kitu kinachodaiwa kuwa ni bomu na kujeruhiwa vibaya wakati wakipata chakula cha jioni katika mgahawa wa Vama Traditional Indian Cuisine,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

GERMANY TEAR BRAZIL TO PIECES WITH GREATEST EVER SEMI-FINAL DISPLAY

Brazil suffered the worst defeat in their footballing history as they were crushed 7-1 by Germany in the World Cup semi-final in Belo Horizonte.As well as being Brazil's heaviest ever defeat -...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KLOSE SCORES 16TH WORLD CUP GOAL TO BREAK ALL-TIME RECORD

Germany striker Miroslav Klose scored after 23 minutes of the World Cup semi-final against Brazil on Tuesday to become the tournament's all-time leading scorer with 16 goals.Klose had moved level with...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 2

Ubao wa matokeo uwanja ukiosomeka Brazil 1 - Ujerumani 7 katika mechi ya nusu fainali ya Kombe la Dunia iliyochezwa jana.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 1

Benchi la ufundi la Brazil likiongozwa na Meneja Luis Fellipe Scolari wakimbembeleza mmoja wa wachezaji wa timu hiyo aliyekuwa akibubujikwa machozi baada ya kipigo cha mabao 7-1 walichokipata kutoka...

View Article
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live