Quantcast
Channel: ziro99blog
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 0

Ilikuwa kero tupu katikati ya jiji jana.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICHO LA TATU

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

YASEMAVYO MAGAZETI YA LEO JUMAPILI

   

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HELIKOPTA WALIYOPANDA MAKAMU WA RAIS, RC DAR NA KAMANDA KOVA YAANGUKA

Habari zilizotufikia hivi punde zinasema kuwa Makamu wa Rais, Dk Mohammed Gharib Bilal, Kamanda wa Kanda Maalumu Suleiman Kova, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Mecky Sadik na maofisa kadhaa wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 21

Gari la Kikosi cha Zimamoto mara baada ya kuzima dalili zozote za kutokea moto baada ya helikopta waliyopanda Makamu wa Rais, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam na Kamanda wa Kanda Maalum kuanguka Uwanja wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 20

Askari wa Zimamoto wakizima moto kwenye helikopta ya polisi waliyopanda viongozi mbalimbali mchana wa leo baada ya kuanguka uwanja wa JKN.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 19

Viongozi mbalimbali akiwemo Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania Gharib Bilal, Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Said Meck Sadick na kamanda wa polisi kanda maalum ya Dar es salaam Suleiman...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AZAM FC YATWAA UBINGWA LIGI KUU YA VODACOM

Hatimaye baada ya miaka kadhaa ya kuishia kushika nafasi ya pili, timu ya soka ya Azam imetawazwa rasmi kuwa mabingwa wapya wa Ligi Kuu ya Vodacom baada ya kuichapa Mbeya City mabao 2-1 katika mchezo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MZEE MUHIDIN GURUMO AFARIKI DUNIA

Mwanamuziki nguli wa muziki wa dansi nchini, Maalim Muhidin Gurumo amefariki dunia leo mchana kwenye Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Dar es Salaam alikokuwa amelazwa kwa matibabu.Gurumo ambaye alikuwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HUYU NDIYE MZEE MUHIDINI GURUMO NILIYEMFAHAMU

Mzee Muhidin Gurumo akivishwa beji na Rais Jakaya Kikwete katika kuonesha kuutambua mchango wa mzee huyo katika fani ya muziki wa dansi.Nyota imezimika. Mbuyu umeanguka. Ndivyo unavyoweza kukielezea...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 15

Rais Jakaya Kikwete akifurahia jambo na Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mwantumu Mahiza (kulia) pamoja na Mbunge mteule wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete wakati wakikagua uharibifu uliofanywa na mafuriko...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 14

Wajane wa Marehemu Edward Moringe Sokoine, Mama Napono Sokoine (kushoto) na Nakiteto Sokoine, wakiweka shada ya maua katika kaburi la Marehemu Edward Moringe Sokoine huko nyumbani kwao Monduli Juu.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 13

Mjane wa Baba wa Taifa Mama Maria Nyerere akiweka shada la maua kwenye kaburi la Marehemu Edward Sokoine.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

YASEMAVYO MAGAZETI YA LEO JUMATATU

   

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ASKOFU ATAKA KATIBA YA ZANZIBAR IFANYIWE MAREKEBISHO

Askofu wa Jimbo Teule la Dodoma la Kanisa la Methodist, Joseph Bundala amesema ili kudumisha Muungano ni vyema Katiba ya Zanzibar irekebishwe.Alisema anaomba katiba hiyo irekebishwe ili iwepo katiba...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UWANJA WA NDEGE DAR WAZINGIRWA MAJI

Vikosi vya Zimamoto vya Uwanja wa Kimataifa wa Julius Nyerere, jana vilikuwa na kazi ya kuondoa maji yaliyotokana na mvua yalioyokuwapo uwanjani hapo.Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MVUA YAKWAMISHA ABIRIA WA MIKOANI MASAA 12 NJIANI

Mvua iliyoanza kunyesha mwishoni mwa wiki, imeendelea kuleta kizaazaa katika maeneo mbalimbali nchini, ikiwemo  kusababisha maelfu ya abiria kukwama kusafiri kati ya Dar es Salaam na mikoa  mingine...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MVUA YA MAWE YAKOSESHA MAKAZI KAYA 65 KAHAMA

Familia  zaidi 65 hazina mahali pa kuishi katika kijiji cha Kabondo kata ya Mwanase wilayani Kahama mkoani Shinyanga.Hali hiyo inatokana na nyumba zao kusombwa na mvua ya mawe, iliyoambatana na upepo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

POLISI TABORA WAKANUSHA KUMUUA MKUYA

Polisi mkoani Tabora imekanusha kuhusika  na mauaji ya Mbeyu Mkuya (35), kama inavyodaiwa  na ndugu wa marehemu huyo.Taarifa iliyotolewa kwa vyombo habari mjini hapa na Kamanda wa  Polisi wa Mkoa wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGUFULI AAGIZA MATENGENEZO YA HARAKA DARAJA LA MPIJI

Waziri wa Ujenzi, Dk John Magufuli ametaka watendaji wa Wakala wa Barabara (Tanroads), kuharakisha matengenezo ya barabara karibu na Daraja la Mpiji ili kurejesha mawasiliano kati ya Dar es Salaam na...

View Article
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live