Quantcast
Channel: ziro99blog
Viewing all articles
Browse latest Browse all 4500

AZAM FC YATWAA UBINGWA LIGI KUU YA VODACOM

$
0
0
Hatimaye baada ya miaka kadhaa ya kuishia kushika nafasi ya pili, timu ya soka ya Azam imetawazwa rasmi kuwa mabingwa wapya wa Ligi Kuu ya Vodacom baada ya kuichapa Mbeya City mabao 2-1 katika mchezo mkali uliomalizika muda mfupi uliopita kwenye Uwanja wa Sokoine, jijini Mbeya.


Viewing all articles
Browse latest Browse all 4500

Trending Articles