Quantcast
Channel: ziro99blog
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live
↧

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERUKAMBA AWEKWA KITI MOTO MBELE YA KINANA

Mbunge wa Kigoma Mjini, Peter Serukamba amejikuta katika wakati mgumu kwenye mkutano wa Halmashauri ya CCM wilaya ya Kigoma Mjini, baada ya kudaiwa na baadhi ya wajumbe kwamba hana ushirikiano na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIBINDO WATAKA ADA ZA LESENI ZIONDOLEWE

Jumuiya ya Vikundi vya wenye Viwanda na Biashara Ndogo Tanzania (Vibindo), wameitaka Serikali kuondoa ada za leseni au kuzipunguza kufikia viwango ambavyo vitaruhusu biashara hizo kukua.Mwenyekiti wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TLTC YASHINDA TUZO YA KAMPUNI BORA

Kampuni ya Tumbaku TanzaniaĀ  (TLTC) yenye makao yake makuu mjini Morogoro,Ā  jana ilitangazwa kuwa Kampuni bora ya mwaka 2014 kwenye tuzo za heshima za Uluguru (Uluguru Awards), zilizofanyika mjini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAKULIMA WA MIWA KUPATIWA HATI ZA KIMILA

Serikali kupitia Mpango wa Kurasimisha Rasilimali wa BiasharaĀ  (MKURABITA) itatumia zaidi ya Sh milioni 60 kuwapatia wakulima wadogo wa miwa hati za kimila katika vijiji 10 vilivyopo Wilaya za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANAMKE ALIYECHOKA KUISHI ASAIDIWA KIFO AKIWA NA MIAKA 99

Mwanamke wa pili wa Kiingereza ambaye 'alichoka kuishi' amesaidiwa kufa kwenye kliniki ya kujitoa mhanga nchini Uswisi.Mwanamke huyo, ambaye alikuwa na umri wa miaka 99 akitokea London, hakuwa mgonjwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICHO LA TATU

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MZEE MUHIDIN GURUMO KUZIKWA KESHO KIJIJINI KWAKE KISARAWE

Waombolezaji wakiwa wamekusanyika nyumbani kwa marehemu Muhidin Gurumo maeneo ya Mabibo Makuburi, Dar es Salaam.Mke wa marehemu Gurumo (kulia) akifarijiwa na baadhi ya jamaa zake kwenye msiba wa mumewe...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 20

AbiriaĀ  wakiwa katika kituo cha mabasi Ubungo Dar es Salaam wakisubiri usafiri wa kwenda mikoani baada ya safari zinazotumia njia hiyo kusitishwa kufuatia barabara eneo la Daraja la Mto Ruvu, mkoani...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 19

Madereva wa bodaboda wilayani Sengerema, mkoa wa Mwanza wakisubiria abiria. Usafiri huo umezidi kuwa maarufu wilayani humo kutokana na unafuu wa nauli ukilinganisha na aina nyingine za usafiri.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 18

Wakazi wa Dar es Salaam wakitoka upande wa Magomeni kuelekea katikati ya jiji kwa miguu kupitia eneo la Jangwani baada ya barabara hiyo kufungwa kwa matumizi ya magari kutokana na uharibifu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 17

Askari kanzu wa Dar es Salaam wakiwa wamemdhibiti Kijana aliyejitambulisha kwa jina la Hamisi Andrew ambaye alijaribu kumwimbia mtalii kutoka China, Hao Shen kabla ya Mchina huyo kumdhibiti kijana huyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YASEMAVYO MAGAZETI YA LEO JUMANNE

Ā Ā 

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 15

Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli (kushoto) akimpongeza Mwenyekiti mpya wa Bodi ya Ushauri wa Wakala wa Ufundi na Umeme nchini (TEMESA), Balozi Hubert E. Mrango (kulia) baada ya uzinduzi wa bodi hiyo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 14

Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Sihaba Nkinga akiongea na vijana wa kujitolea wakati alipofungua semina yao ya siku tano jijini Dar es Salaam jana. Kushoto kwake ni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 13

Mkurugenzi wa udhibiti Ubora wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS) Tumaini Mtiti akizungumza na waabndishi wa habari Dar es Salaam jana kuhusiana shughuli mbalimbali za shirika hilo katika udhibiti wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 12

Mkazi wa eneo la Kigogo Jijini Dar es Salaam akibeba chaga ya kitanda kuelekea mahali ambako hakutaka kueleza mara moja, baada ya kuchoshwa na mazingira magumu ya kuishi eneo hilo kutokana na adha ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WALIOPATA DIVISHENI 1 HADI 3 SASA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO

Serikali imesema sifa za mwanafunzi atakayeendelea na masomo ya kidato cha tano kwa mwaka huu niĀ  waliopata daraja la kwanza hadi la tatu pointi 31.Aidha, katika kuhakikisha ufaulu wa wanafunzi wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATANO WAFARIKI DUNIA KWA KUSOMBWA NA MAJI

Wakazi hasa wa eneo la Tabata Matumbi Jijini Dar es Salaam na wapiti njia wakiangalia katika daraja la mto Msimbazi baada ya kuzagaa harufu ambayo inahisiwa kuwa ya binaadamu anayedaiwa kukwama eneo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HATI YA MUUNGANO HII HAPA, SASA KUHIFADHIWA MAKUMBUSHO YA TAIFA

Hatimaye baada ya upotoshwaji mkubwa wa baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, hasa waliojiundia kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kuwa Hati ya Muungano haipo, sasa Serikali imeweka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YATOA TAMKO KUHUSU BOMU LA ARUSHA

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe amesema watu 12 wamejeruhiwa baada ya kulipuka kwa bomu katika Klabu ya Usiku ya Night Park jijini Arusha.Akitoa taarifa ya serikali Bunge Maalum la...

View Article
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live