$ 0 0 Gari la Kikosi cha Zimamoto mara baada ya kuzima dalili zozote za kutokea moto baada ya helikopta waliyopanda Makamu wa Rais, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam na Kamanda wa Kanda Maalum kuanguka Uwanja wa Ndege wa Dar es Salaam leo mchana.