MWALIMU WA KIKE ATIMULIWA KAZI KWA KUNOGEWA MAPENZI NA MWANAFUNZI WAKE...
Gary Ralston akiwa kwenye chumba alicholala na mwalimu wake huyo (picha ndogo kushoto) usiku mzima.Mwalimu aliyeoolewa akiwa katikati ya kashfa ya ngono, amefutwa kabisa kwenye orodha ya...
View ArticleWATOTO WA KIKE WA KITANZANIA WASAFIRISHWA KWENDA KUFANYA UKAHABA CHINA...
Baadhi ya makahaba wenye umri mdogo wakiwa kwenye mawindo yao.Watoto wa kike wenye umri wa hadi miaka 14 wanadaiwa kufanyishwa biashara ya ukahaba China kutokana na kusafirishwa na baadhi ya Watanzania...
View ArticleMABEHEWA 'TRENI YA MWAKYEMBE' YAANGUKA...
Mvua zilizonyesha usiku wa kuamkia jana zimesababisha injini ya treni kutoka Stesheni kwenda Ubungo Maziwa, kuacha njia na kusababisha mabehewa kuanguka.Mabehewa hayo yalianguka katika eneo la...
View ArticleMWILI WA ALIYEKUWA MKUU WA MKOA WA MARA KUAGWA LEO...
Askari wa FFU wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa John Tupa tayari kwa kusafirishwa.Mwili wa Mkuu wa Mkoa wa Mara, John Tupa unaagwa leo katika ibada itakayofanyika viwanja vya Nyerere Square, mjini...
View ArticleBALOZI SEIF IDDI AKANUSHA KAULI YA MAALIM SEIF...
Balozi Seif Ali Iddi.Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), Balozi Seif Ali Iddi ametaka wananchi visiwani humo kutotishika na kauli iliyotolewa na Katibu Mkuu wa CUF, Seif...
View ArticleKURA YA SIRI, WAZI ZOTE KUTUMIKA KWA PAMOJA...
Hatimaye mvutano kuhusu kura gani itumike, kati ya wazi na siri kufanya uamuzi katika Bunge Maalumu la Katiba, umefikia tamati baada ya Kamati ya Kanuni na Haki za Bunge Maalumu, kuamua kura zote...
View ArticleOFISA WA JWTZ AHUKUMIWA KIFUNGO JELA KWA KUGHUSHI...
Mahakama ya Kisutu, Dar es Salaam.Mwanajeshi wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Meja Muhsin Kombo amehukumiwa kifungo cha miaka minne jela baada ya kupatikana na hatia ya...
View ArticleWAJUMBE BUNGE LA KATIBA WAANZA KUJUTIA MAMILIONI YA POSHO ZAO...
Baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wanajutia posho wanayoendelea kupata wakati bunge likivurugika mara kwa mara na kusababisha kuahirishwa, hivyo kuzua wasiwasi wa kutotekelezwa malengo...
View ArticleATAKA BUNGE MAALUMU LA KATIBA LIVUNJWE...
Mwenyekiti Samuel Sitta akisisitiza jambo.Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta ameshauriwa kumuandikia barua Rais Jakaya Kikwete, kuomba kuvunjwa kwa bunge hilo linaloendelea mjini Dodoma...
View ArticleMIKATABA YA MADINI KUREKEBISHWA MAENEO YA TOZO NA KODI...
Kazi ya uchimbaji madini ikiendelea huko Geita.Serikali kwa kushirikiana na Kampuni kubwa za uwekezaji katika sekta ya madini nchini, imekubaliana kufanya marekebisho katika mikataba iliyosainiwa...
View ArticleWAJUMBE WAKUBALIANA SUALA LA KURA KUPISHA MCHAKATO UENDELEE...
Wajumbe Bunge Maalum la Katiba wakipiga kura.Hatimaye Bunge Maalumu la Katiba limemaliza mvutano wa Kanuni, hasa kuhusu kura ya wazi au ya siri katika kufanya uamuzi wa kupitisha ibara na sura za...
View ArticleBAKWATA YAUNGANA NA KIKWETE, NAO WAKATAA SERIKALI TATU...
Mufti Issa Shaaban Simba (kulia) akiteta jambo na Rais Jakaya Kikwete.Baraza Kuu la Waislamu Tanzania(BAKWATA) limesema Waislamu wanataka Katiba itakayojali maslahi kwa wananchi wa pande zote mbili...
View ArticleAJALI YATAFUNA MAISHA YA WANAWAKE 12 KWA MPIGO WAKIENDA MSIBANI...
Kamanda Robert Boaz.Watu 14 wamefariki dunia na wengine 14 kujeruhiwa katika matukio tofauti yaliyohusisha ajali ya magari kugongana na wengine waliopoteza maisha baada ya kichwa cha treni kutumbukia...
View ArticleVYAMA VYA UPINZANI VYAUNDA UMOJA WAO WA KATIBA KUSHAWISHI WANANCHI...
Wajumbe wakifuatilia Bunge Maalumu la Katiba.Baada ya kuunda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) ndani ya Bunge Maalum la Katiba, vyama vya siasa vya upinzani, vimeunda umoja wa aina hiyo nje ya bunge...
View ArticleHII NDIO AJALI YA TRENI ILIYOKATISHA MAISHA YA WATU WAWILI MPWAPWA...
Ajali ya kichwa cha treni kilichotumbukia mtoni na kusababisha watu wawili kupoteza maisha na wengine saba kujeruhiwa huku wengine hawajulikani walipo.Kamanda wa Polisi mkoani Dodoma, David Misime...
View ArticleSHIVJI AONYA BUNGE LIKIPITISHA SERIKALI TATU HAKUNA MUUNGANO...
Profesa Issa Shivji.Gwiji wa masuala ya sheria za katiba nchini, Profesa Issa Shivji amewataka vijana kujiepusha na wanasiasa wenye uchu wa madaraka ambao kwa sasa wanang'ang'ania muungano wa serikali...
View ArticleWASSIRA ACHEKESHA WAOMBOLEZAJI KWENYE MSIBA WA RC TUPPA...
Stephen Wassira.Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Uhusiano na Uratibu), Stephen Wassira alisababisha kicheko kwa waombolezaji katika maziko ya Mkuu wa Mkoa wa Mara, John Gabriel Tuppa baada ya kulalamikia...
View Article