Quantcast
Channel: ziro99blog
Viewing all articles
Browse latest Browse all 4529

HII NDIO AJALI YA TRENI ILIYOKATISHA MAISHA YA WATU WAWILI MPWAPWA...

$
0
0
Ajali ya kichwa cha treni kilichotumbukia mtoni na kusababisha watu wawili kupoteza maisha na wengine saba kujeruhiwa huku wengine hawajulikani walipo.
Kamanda wa Polisi mkoani Dodoma, David Misime  alisema ajali hiyo ilitokea baada ya treni ya mizigo iliyokuwa ikitokea Dar es Salaam kwenda Kigoma kupata ajali na kusombwa na mkondo wa maji katika eneo la Gulwe Wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma. Tukio hili lilitokea juzi saa 8:00 usiku.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 4529

Trending Articles