Quantcast
Channel: ziro99blog
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZITTO KABWE ASISITIZA HATOKI CHADEMA, AASHIRIA KUGOMBEA UENYEKITI MWAKANI...

Kabwe Zitto alipokuwa akielezea msimamo wake mbele ya waandishi wa habari jana Dar es Salaam.Aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chadema, Kabwe Zitto, amesisitiza kwamba hatoki katika chama hicho, huku...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHULE TATU ZA SEKONDARI ZAFUNGWA KWA UKOSEFU WA CHAKULA...

Wanafunzi wakijipatia chakula shuleni.Shule  za  sekondari  tatu  za  bweni  mjini Sumbawanga zimelazimika kufungwa kutokana na  wanafunzi  kukosa chakula  baada  ya  wazabuni  kuzira  kuwasambazia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICHO LA TATU...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWILI WA MANAFUNZI ALIYEUAWA KENYA WAWASILI, KUZIKWA LEO KINONDONI...

Marehemu Jerry Mruma.Mwili wa mwanafunzi Mtanzania Jerry Mruma (23) aliyeuawa Nairobi nchini Kenya, umewasili nchini jana na kupokelewa na ndugu, jamaa na marafiki katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHADEMA KUTOLEA UFAFANUZI LEO SUALA LA AKINA ZITTO KABWE...

Kabwe Zitto akisisitiza jambo katika mkutano na waandishi juzi. Kushoto ni Dk. Kitilla Mkumbo.Baadhi ya wasomi wameitaka Chadema kutumia vikao vyake  kutafakari mgogoro unaoendelea baina ya viongozi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

INAUZWA HARAKA SANA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HATUA DHIDI YA ZITTO NA WENZAKE NI KAMA ILE YA AKINA CHACHA WANGWE...

John Mnyika akiteta jambo na Tundu Lissu wakati Chadema ilipokuwa ikitolea ufafanuzi hatua dhidi ya Zitto Kabwe na wenzake, mbele ya waandishi wa habari Dar es Salaam jana.Hatua iliyochukuliwa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICHO LA TATU...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMIA WAJITOKEZA DAR KUMZIKA MWANAFUNZI ALIYEUAWA NCHINI KENYA...

Jeneza lenye mwili wa Jerry Mruma likishushwa kaburini wakati wa mazishi kwenye makaburi ya Kinondoni, Dar es Salaam jana.Waziri mstaafu Cleopa Msuya jana aliongoza mamia ya watu waliojitokeza jijini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ALIYEJIFANYA NI ASKARI USALAMA BARABARANI APANDISHWA KIZIMBANI...

James Hassan.Kesi ya mkazi wa Dar es Salaam aliyejifanya askari wa usalama barabarani, James Hassan (45) imeanza kusikilizwa  katika Mahakama ya Wilaya  ya Ilala kufuatia kukamilika kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANDISHI WA HABARI MKONGWE AFARIKI DUNIA...

Marehemu Dunia Mzobora.Mhariri Mwandamizi wa magazeti ya Uhuru, Mzalendo na Burudani, Dunia Mzobora amefariki dunia.Mzobora, 49, alifariki dunia ghafla jana saa 12 asubuhi katika Hospitali ya Taifa ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UANACHAMA WA ZITTO KABWE SASA WAIPASUA KICHWA CHADEMA...

Kabwe Zitto.Uanachama wa aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chadema, Zitto Kabwe umetajwa kuwa ‘kaa la moto’ kwa uongozi wa chama hicho hata kabla ya kiongozi huyo kujibu mashitaka 11 yanayomkabili ili...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICHO LA TATU...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KESI YA MAUAJI DHIDI YA PAPAA MSOFE HADI DESEMBA 11...

Marijan Abubakar  ‘Papaa Msofe’.Kesi ya tuhuma za mauaji inayomkabili mfanyabiashara maarufu, Marijan Abubakar  ‘Papaa Msofe’ na mwenzake, imeahirishwa hadi Desemba 11 mwaka huu, kutokana na Wakili wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TUME YA MABADILIKO YA KATIBA YAONGEZEWA SIKU 14...

Mwenyekiti wa Tume hiyo, Jaji Joseph Warioba.Tume ya Mabadiliko ya Katiba, imeongezwa siku 14 kuanzia Desemba 16 ili iweze kukamilisha kazi yake, imeelezwa.Taarifa iliyotolewa jana na Ikulu Dar es...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

POLISI SASA KUTUMIKA KUFUNGA VYUO 'BUBU' VYA UFUNDI...

Philipo Mulugo.Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Philipo Mulugo, amesema ataanza kutumia Jeshi la Polisi, kufunga vyuo vyote vinavyoendeshwa bila ithibati ya Baraza la Taifa la Elimu ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICHO LA TATU...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAFUASI WA KAMBI MBILI ZA UCHAGUZI WAIBUKA CHADEMA...

Baadhi ya wafuasi wa Chadema katika moja ya mikutano ya chama hicho.Baada ya Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa kufunga mjadala wa mgogoro unaoendelea ndani ya chama hicho, agizo hilo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ACHOKA KULEA MAMA MKWE NA KUAMUA KUMUUA SINGIDA...

Kamanda Geofrey Kamwela.Watu wawili wamekufa katika matukio tofauti mkoani hapa, likiwamo la kikongwe kupigwa fimbo kichwani na mkwewe aliyedai kuchoka kumlea.Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Singida,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICHO LA TATU...

View Article
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live