Quantcast
Channel: ziro99blog
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICHO LA TATU...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AUA WANAFAMILIA NA KISHA KUJIUA KWA RISASI DAR...

Kamanda Marietha Minangi.Watu wawili wameuawa papo hapo baada ya mtu anayefahamika kwa jina la Gabriel Munisi kuvamia familia moja na kuwapiga risasi na kisha kujifyatulia risasi naye kufa hapo hapo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMATI NANE ZA BUNGE KWENDA MAFUNZONI NG'AMBO...

Kikao cha Bunge mjini Dodoma.Kamati nane za Bunge zinatarajiwa kwenda nje ya nchi kwa ziara za kikazi na mafunzo, huku zingine nane zikiendelea na shughuli mbalimbali nchini ikiwamo kutembelea...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KILIO CHA WAKULIMA CHAMPONZA WAZIRI WA FEDHA...

Dk William Mgimwa.Baada ya CCM kusema itamwomba Rais Jakaya Kikwete aruhusu baadhi ya mawaziri wake wafike mbele ya Kamati Kuu ya chama hicho kuhojiwa, wimbi hilo sasa limemkumba Waziri wa Fedha, Dk...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICHO LA TATU...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BABU SEYA, PAPII KOCHA KUSOTA JELA AMA KUACHIWA LEO...

Papii Kocha na Babu Seya wakiwapungia jamaa zao nje ya Mahakama ya Rufani, Dar es Salaam.Hatma ya mwanamuziki maarufu nchini mwenye asili ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Nguza Viking ‘Babu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSICHANA ALIYEUZA BIKRA YAKE PAUNI 485,000, SASA AAMUA KUINADI UPYA...

Catarina Migliorini.Mwanafunzi mmoja nchini Brazil ambaye aliuza bikra yake kwa Pauni za Uingereza 485,000 bado anaendelea kuinadi tena kwenye mnada mtandaoni, akidai mapatano ya awali hayakuwahi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIKU 10 ZA MGAWO WA UMEME ZAPUNGUZWA NA KUFIKIA TANO...

Miundombinu ya umeme.Makali ya mgawo wa umeme yameanza kupungua baada ya asilimia 80 ya gesi kutoka kisima cha Songosongo, kuanza kuzalisha umeme.Akizungumza na waandishi wa habari jana, Mkurugenzi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICHO LA TATU...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANNE WAPANDISHWA KIZIMBANI KWA KUJIUNGA KUNDI LA AL-SHABAAB...

Wanamgambo wa kundi la Al-Shabaab.Watu wanne wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na mashitaka ya kuwa wanachama wa kundi la kigaidi la Al Shabaab. Washitakiwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

OMBI LA BABU SEYA, PAPII KOCHA LATUPILIWA MBALI, SASA 'KUFIA' JELA...

Nguza Viking 'Babu Seya' (kushoto) na mwanawe Johnson 'Papii Kocha'.Ndugu na jamaa wakilia kwa uchungu mahakamani mara baada ya hukumu kutolewa jana.Mahakama ya Rufani Tanzania, imetupilia mbali ombi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZITTO KABWE NA WENZAKE WAVULIWA MADARAKA YOTE CHADEMA...

Kabwe Zitto.Sasa ni dhahiri kwamba Chadema inameguka na kubaki vipande, kutokana na uamuzi uliochukuliwa jana na Kamati Kuu yake kuwavua rasmi madaraka vigogo wake watatu. Mkutano wa siku mbili wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HIKI NDICHO ALICHOSEMA NGUGI WA THIONG'O KUHUSU VIONGOZI WA AFRIKA...

Profesa Ngugi wa Thiong’o.Mwanazuoni mkongwe na mwanafasihi wa lugha za Kiafrika aliyebobea duniani, Profesa Ngugi wa Thiong’o amesema si viongozi wa serikali za Afrika pekee waliotekwa na fikra za...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICHO LA TATU...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAOMBI YA TANESCO KUPANDISHA BEI YA UMEME YAPOKEWA NDIVYO SIVYO...

Maombi ya Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) ya kupandisha bei ya umeme, yamepokewa kwa hisia tofauti za kuungwa mkono na pia kupingwa.Waungaji mkono maombi hayo ni pamoja na Mbunge wa Nkasi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BINTI AUAWA KWA MPENZI WAKE AKISUBIRIA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE...

Mwanafunzi aliyehitimu kidato cha nne mwaka huu, Sharifa Abdallah (18) ameuawa kwa kuchomwa kisu shingoni na mbavuni chumbani kwa mvulana aliyedai  kuwa mpenzi wake maeneo ya Kimara Golani, Dar es...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICHO LA TATU...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HUU NDIO WARAKA ULIOMPONZA ZITTO KABWE NA WENZAKE CHADEMA...

Zitto Kabwe.Juzi uongozi wa juu wa Chadema ulichukua hatua kali za kuwavua madaraka ndani ya chama hicho vigogo wake watatu, Naibu Katibu Mkuu, Zitto Kabwe; Mjumbe wa Kamati Kuu, Dk Kitilla Mkumbo na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MFANYABIASHARA AJIPIGA RISASI AKISHINIKIZA KURUDIANA NA MKE ALIYEMTALIKI...

Mfanyabiashara maarufu mjini Tabora, Hakimu Hamdun,  mkazi  wa kata ya  Kanyenye anashikiliwa Polisi akituhumiwa kujaribu kujiua kwa kujipiga risasi kutokana na wivu wa mapenzi.  Kamanda wa Polisi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICHO LA TATU...

View Article
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live