Quantcast
Channel: ziro99blog
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 5

Mshambuliaji wa Uholanzi, Wesley Sneidjer akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la kusawazisha katika dakika ya 88 dhidi ya Mexico katika mechi ya Kombe la Dunia hatua ya 16 Bora jana. Uholanzi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 4

Wachezaji wa Costa wakishangilia mara baada ya mwenzao kufunga penalti ya mwisho na hivyo kuindosha mashindanoni Ugiriki kwa jumla ya penalti 5-3 baada ya timu hizo kutoka sare ya bao 1-1 katika dakika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 3

Mshambuliaji wa Mexico, Giovanni Dos Santos akishangilia bao aliloifungia timu yake katika dakika ya 48 dhidi ya Uholanzi katika mechi ya Kombe la Dunia hatua ya 16 Bora jana mjini Fortaleza. Hata...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DUTCH BREAK MEXICAN HEARTS WITH LATE DOUBLE

The Netherlands pulled off a staggering late comeback to beat Mexico 2-1 in Fortaleza and make the quarter-finals of the World Cup.A stunning goal from Giovani Dos Santos and a string of magical saves...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 1

Mshambuliaji wa Uholanzi, Arjen Robben akiwa ameangushwa chini na hivyo kuipatia timu yake penalti dhidi ya Mexico katika mechi ya Kombe la Dunia hatua ya 16 Bora jana. Penalti hiyo ilipigwa kiufundi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

10-MAN COSTA RICA BEAT GREECE ON PENALTIES

Goalkeeper Keylor Navas was Costa Rica's hero as his penalty shoot-out save put ten-man Costa Rica into the World Cup quarter-finals after a 1-1 draw in extra time against Greece.Los Ticos will face...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TRA KUTOA TIN, STIKA ZA MAGARI SABASABA

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) inatarajia kutoa huduma za namba ya utambulisho wa mlipa kodi (TIN) kwa watu binafsi, na stika za ada ya magari kwa mwaka katika maonesho ya Sabasaba.Aidha, imewataka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ALAT YAKUSANYA BILIONI 1.5/- KUMALIZA UHABA WA MADAWATI

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Serikali za Mitaa nchini (ALAT), Dk Didas Massaburi amesema wamekamilisha awamu ya kwanza ya mpango wao wa kukusanya Sh bilioni 1.5 kwa ajili ya kumaliza tatizo la uhaba wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WIZI WA NYAYA WASITISHA MAWASILIANO IKULU

Wizi wa nyaya za Kampuni ya Simu nchini (TTCL) na zile zinazounganishwa kwenye transfoma za Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) umesababisha ukosefu wa huduma ya mawasiliano ya uhakika ikiwamo Ikulu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SAMAKI WA 'KICHINA' WAPIGWA MARUFUKU ZANZIBAR

Bodi ya Chakula Madawa na Vipodozi imepiga marufuku uuzwaji  katika maeneo ya wazi kwa samaki walioingizwa nchini kutoka China na Kampuni ya Kauthar Sea food Ltd mjini Unguja kwa sababu za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SMZ YAANZA KUSOMESHA WATAALAMU MAFUTA

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema jumla ya wanafunzi 20 wanaendelea na masomo katika fani ya mafuta na gesi pamoja na utafiti.Waziri wa Ardhi, Makazi, Maji na Nishati, Ramadhan Abdallah Shaaban...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KORTI YAMWACHIA HURU MKURUGENZI ILALA

Aliyekuwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala, John Lubuva na wenzake wameachiwa huru baada ya upande wa Jamhuri kushindwa kuthibitisha kesi iliyokuwa ikiwakabili ya kutumia vibaya madaraka, kula njama na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KESI YA AKINA MADABIDA KUSIKILIZWA JULAI 28

Kesi ya kusambaza dawa feki za Ukimwi (ARVs), inayomkabili Mkurugenzi Mkuu wa Kiwanda cha kutengeneza dawa Tanzania Pharmaceutical Industries Ltd (TPL), Ramadhani Madabida na wenzake inatarajiwa kuanza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KESI YA DK MAHANGA DHIDI YA MSEMAKWELI YAFUTWA

Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imeifuta kesi ya madai ya kashfa iliyokuwa imefunguliwa na Naibu Waziri wa Kazi na Ajira,  Dk Makongoro Mahanga dhidi ya Mwanaharakati, Kainerugaba Msemakweli na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBEYA WAANDALIWA TAMASHA LA ISHARA, MIUJIZA

Shirika la Evangelical Mission SOS International kutoka Sweden, kwa kushirikiana na Baraza la Makanisa ya Kipentekoste (CPCT), Mkoa wa Mbeya, wameandaa tamasha la ishara na miujiza litakalofanyika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AMUUA MPENZI WAKE, AJIKATA KOROMEO

Mkazi wa Mtaa  wa Majengo ‘B’ mjini hapa, Cesilia Clement (22) ameuawa kikatili  kwa  kuchomwa kisu mwilini na mpenzi wake, aliyemtuhumu kutomjali  baada ya kuwa na  mahusiano  ya kimapenzi  na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BEI YA VYAKULA SOKONI YAPAA MARADUFU

Kutokana na kuanza kwa Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, baadhi ya wafanyabiashara katika mikoa mbalimbali nchini, wamepandisha bei za vyakula, hali iliyoanza kuleta usumbufu kwa wananchi.Mwandishi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

YASEMAVYO MAGAZETI YA LEO JUMANNE - JULAI 01

     

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

GERMANY DENY HEROIC ALGERIA IN EXTRA-TIME

Andre Schuerrle and Mesut Ozil scored in extra-time double to put Germany into the quarter-finals of the World Cup following a real test of their credentials against Algeria.The African side posed a...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 7

Mshambuliaji wa Ufaransa, Paul Pogba akiifungia timu yake bao kwanza dhidi ya Nigeria katika mechi ya Kombe la Dunia hatua ya 16 Bora jana. Ufaransa ilishinda mabao 2-0 na kutinga Robo Fainali.

View Article
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live