Quantcast
Channel: ziro99blog
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YASEMAVYO MAGAZETI YA LEO JUMAPILI - JUNI 29

 

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UVCCM YAPINGA SERIKALI YA UMOJA WA KITAIFA ZANZIBAR

Jumuiya ya Umoja wa Vijana ya Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) imesema kuundwa kwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar si tiketi itakayoweza kumsaidia Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF) Maalim Seif...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DC AMWAGA CHOZI KWENYE MKUTANO WA HADHARA

Mkuu wa Wilaya ya Igunga, Elibariki Kingu, juzi aliwashangaza wengi baada ya kuangusha machozi mbele ya wananchi waliofurika kumsikiliza kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kijiji cha Mtunguru, Kata...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PAPA FRANCIS ATIMUA ASKOFU KWA KUDHALILISHA WATOTO

Balozi wa zamani wa Vatican katika nchi ya Jamhuri ya Dominica, Monsinyori Jozef Wesolowski ametiwa hatiani na Mahakama ya Kanisa Katoliki kwenye tuhuma za kudhalilisha watoto.Kutokana na kutiwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAHASIBU, WAKAGUZI WA MADENI FEKI KUTIMULIWA KAZI

Muswada wa Sheria ya Fedha ya mwaka 2014 umepita jana huku Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, akitoa onyo kwa wahasibu watakaopeleka madai ya madeni yaliyochakachuliwa kuwa atawafukuza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAHARI YAZUA BALAA, BABA WA MTOTO AZUIWA KUZIKA

Familia mbili mjini hapa zimejikuta zikiingia katika uhasama mkubwa, kiasi cha kupigana fimbo na ngumi makaburini katika ugomvi wa kugombea kuzika mwili wa mtoto mwenye umri wa mwaka mmoja na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICHO LA TATU

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CRDB YAHADHARISHA WATEJA KUWA MAKINI NA MITANDAO

Benki ya CRDB imewaonya wateja wake kuwa makini na baadhi ya mitandao inayoibuka na kulaghai kwa kuwataka wananchi, kutoa taarifa zao muhimu za kibenki, jambo ambalo linahatarisha usalama wa fedha zao...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MOROGORO YAWEZESHA VIKUNDI VYA WANAOSHI NA HIV

Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro,imetoa hundi yenye thamani ya Sh milioni 22 kwa vikundi vya Wajasiriamali vya watu wanaoishi na Virusi vya Ukimwi (WAVIU) viendeleze shughuli za uzalishaji mali...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TIB YAWAKOPESHA TREKTA WAKULIMA BUNDA

Benki ya TIB imetoa mkopo wa trekta tatu zenye thamani ya zaidi ya Sh   milioni 83, kwa wananchama watatu wa chama cha kuweka akiba na kukopa (Chiringe Saccos) kilichoko mjini Bunda ili waweze...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

USAGAJI SEMBE NYEUSI WAFANYIWA MAJARIBIO

Sembe nyeusi itakayokuwa ikizalishwa katika kinu kikubwa cha kusaga na kuhifadhi nafaka cha mjini Iringa inatarajiwa kuingia sokoni wakati wowote kuanzia sasa baada ya jaribio la usagaji wake kufanyika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YASEMAVYO MAGAZETI YA LEO JUMATATU - JUNI 30

      

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

COSTECH YAFADHILI MAKUNDI BUNIFU 26 YA UZALISHAJI

Tume ya Sayansi na Teknolojia Tanzania (COSTECH) imetoa zaidi ya Sh milioni 200 kusaidia kongano bunifu  26 zinazozalisha na kutengeneza bidhaa za aina mbalimbali  hapa nchini kwa kipindi cha miaka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAJAWAZITO 900 WAJIFUNGULIA KWA WAKUNGA WA JADI

Wajawazito wapatao 900 wamejifungilia kwa wakunga wa jadi  wilayani Kalambo katika mkoa wa Rukwa kwa kipindi kilichoanzia Januari  hadi Mei mwaka huu.Mganga Mkuu wa Wilaya  ya Kalambo, Dk Akilimali...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZITTO KABWE ATAKA BUNGE KUDHIBITI WATENDAJI SERIKALINI

Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Zitto Kabwe amesema Bunge lina kila sababu kupitia sheria yake ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kulinda hadhi yake kutoka kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWILI WA NG'WANAKILALA KUZIKWA KESHO

Mwili  wa nguli katika tasnia ya habari, Nkwabi Ng'wanakilala unatarajia kuwasili leo jioni kutokea hospitali ya Rufaa ya Bugando jijini Mwanza, na kuzikwa kesho shambani kwake Kibamba CCM, jijini Dar...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BABA WA MAREHEMU ASUSA KUMZIKA MWANAWE

Baada ya vuta nikuvute  iliyosababisha uhasama mkubwa  baina ya familia mbili mjini hapa  wakigombea  kuuzika mwili  wa mtoto  mwenye umri  wa mwaka mmoja na nusu,  hatimaye  familia ya  baba mzazi wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MADEREVA WA MABASI KANDA YA ZIWA WAGOMA

Abiria waliokuwa wanasafiri kwa mabasi kutoka Kanda ya Ziwa kuelekea mikoa ya Pwani na Kaskazini, juzi walijikuta wakilazimika kuchelewa kufika mjini Singida kwa zaidi ya saa tatu kutokana na mgomo wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LAPF YAMWAGA MIKOPO KWA WANAOSOMA VYUO VIKUU

Mfuko wa Hifadhi ya Jamii (LAPF) umeanzisha huduma mpya ambayo itasaidia wananchama wake wenye mipango ya kupata elimu ya juu kuweza kujipatia mikopo kwa ajili ya kufanikisha adhama hiyo.Huduma hiyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICHO LA TATU

View Article
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live