Mshambuliaji wa Mexico, Giovanni Dos Santos akishangilia bao aliloifungia timu yake katika dakika ya 48 dhidi ya Uholanzi katika mechi ya Kombe la Dunia hatua ya 16 Bora jana mjini Fortaleza. Hata hivyo bao hilo halikutosha kuivusha timu yake na kujikuta ikichezea kichapo cha mabao 2-1.