Quantcast
Channel: ziro99blog
Viewing all articles
Browse latest Browse all 4503

Article 5

$
0
0
Mshambuliaji wa Uholanzi, Wesley Sneidjer akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la kusawazisha katika dakika ya 88 dhidi ya Mexico katika mechi ya Kombe la Dunia hatua ya 16 Bora jana. Uholanzi ilishinda mabao 2-1 na hivyo sasa katika hatua ya Robo Fainali watakutana na Costa Rica ambayo iliiondosha mashindanoni Ugiriki kwa mikwaju ya penalti 5-3.


Viewing all articles
Browse latest Browse all 4503

Trending Articles