USHAHIDI WA ALIYEKUWA BOSI WA TRA WAFUTWA KESI YA MRAMBA
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imefuta ushahidi wa aliyekuwa Kamishna wa Kodi wa Mamlaka ya Mapato (TRA), Felesian Msigala, uliokuwa umetolewa mahakamani hapo kwa ajili ya kumtetea aliyekuwa Waziri wa...
View ArticleKENYA SASA ROHO JUU BAADA YA MAGAIDI KUUA WATU 60
Hali ya usalama nchini Kenya ni tete kutokana na mfululizo wa mashambulizi yaliyofanyika jana na juzi katika Mji wa Mpeketoni na kusababisha vifo vya watu wapatao 60. Ikiachwa shambulizi la juzi...
View ArticleWABUNGE WAIBANA SERIKALI ITAFUTE VYANZO VIPYA VYA MAPATO
Wabunge wameendelea kuitaka Serikali kubuni vyanzo vipya vya mapato huku baadhi yao wakionesha wasiwasi kama Serikali itafanikiwa kukusanya Sh trilioni 19 kutokana na kukosa mbinu za upanuzi wa wigo wa...
View ArticleMUME WA FLORA MBASHA APANDISHWA KIZIMBANI KWA UBAKAJI
Mume wa Mwimbaji wa nyimbo za injili, Flora Mbasha, Emmanuel Mbasha (32) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala akikabiliwa na mashitaka mawili ya ubakaji.Mshitakiwa huyo ambaye ni...
View ArticleWATUHUMIWA WAWILI WA UJAMBAZI BENKI YA NMB WAUAWA
Watuhumiwa wawili wa ujambazi wameuawa jijini Dar es Dalaam na wananchi katika jaribio la kufanya tukio la uporaji katika eneo la benki ya NMB Wilaya ya Ilala.Watuhumiwa hao wanadaiwa kuwa walikuwa...
View ArticleWANAORUHUSU NGOMA YA 'BUNYEROBUNYERO' KUKAMATWA
Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam imesema itawachukulia hatua za kisheria wamiliki wa klabu za usiku zinazokiuka maadili kwa kuruhusu klabu zao kupiga ngoma ya ‘bunyerobunyero’.Ngoma hiyo iliibuka...
View ArticleMEXICO GOALKEEPING HEROICS HOLDS HOSTS BRAZIL
Guillermo Ochoa was the star as hosts Brazilcould not break down Mexicoin an atypically-entertaining 0-0 Group A draw.The Mexican keeper brought back memories of Gordon Banks’ dramatic save from Pele...
View ArticleLATE COMEBACK ENSURES BELGIUM START WITH WIN
Belgium survived an almighty scare by coming up from a goal down with 20 minutes remaining to beat Algeria 2-1 in Belo Horizonte.Algeria took a shock lead after Jan Vertonghen pulled back Sofiane...
View ArticleDUTCH DOWN BRAVE AUSSIES IN ANOTHER CLASSIC
Tim Cahill's wonderful strike gave Australiahope against Holland, but his side were eventually beaten in an end-to-end match that finished 3-2 to the Netherlands.With this result, Australia are almost...
View ArticleArticle 15
Maofisa wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), wakiongozwa na Meneja wa Mkoa wa Temeke, Ellentruda Mbogoro, wakichambua na kuhakiki fomu za wanachama waliowasilisha fomu za usajili kwa ajili ya...
View ArticleArticle 14
Waziri Mkuu mstaafu na Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa akizungumza na Shehe Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Sheikh Adam Zubeir wakati alipomtembelea kumjulia hali nyumbani kwake eneo la Maghorofa ya Kikuyu....
View ArticleArticle 13
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mohammed Aboud Mohammed akifungua warsha ya kuwajengea Uelewa wa Utekelezaji wa Miradi ya Ujenzi (PWP) katika Mpango wa Taifa wa Kunusuru...
View ArticleArticle 12
Washindi wa Bahati Nasibu ya "Shinda Ki-Brazili na MwanaSpoti", Issa Rashid (wa pili kushoto) na Michael Msumba (wa pili kulia) wakipokea zawadi zao kutoka kwa Ofisa Uhusiano wa Multichoice (DSTv),...
View ArticleEXIM BANK WATOA SHILINGI MILIONI 10 KWA TAASISI YA TPF
Benki ya Exim Tanzania imekabidhi hundi ya Sh milioni 10 kwa Taasisi ya Tushikamane Pamoja (TPF) ikiwa na lengo la kusaidia wazee wasiojiweza wanaoishi katika kaya zaidi ya 40 jijini Dar es...
View ArticleWAKILI KORTINI KWA KUMJERUHI MFANYAKAZI WAKE WA NDANI
Wakili wa kujitegemea, Yasinter Rwechungura (44) amefikishwa Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni kwa mashitaka ya kujeruhi mfanyakazi wake wa ndani. Rwechungura ambaye amenyimwa dhamana kwa kile...
View ArticleKITUO CHA DALADALA UBUNGO CHAGEUZWA SOKO
Kituo cha daladala cha Ubungo kilichokuwa kikitumiwa na magari kutoka maeneo tofauti, sasa kimegeuka soko. Hatua hiyo imetokana na ujenzi wa miundombinu ya mabasi yaendayo haraka ambao umesababisha...
View ArticleRITA SASA YAANDIKISHA VYETI VYA KUZALIWA MASHULENI
Katika kuongeza idadi ya Watanzania wenye vyeti vya kuzaliwa, Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA), imeamua kuzungukia shule kuandikisha wanafunzi wasiokuwa navyo. Kwa kuanzia, imeandikisha...
View ArticleMAGOFU YA KILWA YAREJESHEWA URITHI WA DUNIA
Magofu ya Kilwa Kisiwani na Songo Mnara yaliyokuwa yamewekwa katika orodha ya Urithi wa Dunia ulio hatarini kutoweka, yamerudishiwa hadhi yake ya awali ya Urithi wa Dunia.Uamuzi wa kuyarudishia hadhi...
View ArticleMWANAKIJIJI AUAWA KWA RISASI MGODI WA MWADUI
Mkazi wa Kijiji cha Masuguru, Kata ya Masagala wilayani Kishapu mkoani hapa, Juma Masalu (25) ameuawa kwa kupigwa risasi akituhumiwa kuvamia Mgodi wa Almasi wa Mwadui kwa lengo la kuiba mchanga wenye...
View Article