Quantcast
Channel: ziro99blog
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MFANYAKAZI WA TIGO AIBUKA KIDEDEA DUNIANI

Mfanyakazi wa Kampuni ya Mawasiliano ya Tigo, Obedi Laiser ameibuka kidedea katika shindano la kumtafuta mfanyakazi bora lililoshirikisha wafanyakazi 21 kutoka nchi mbalimbali za Afrika na Marekani ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAASWA KUNUNUA VIFAA IMARA VYA BODABODA

Waendesha pikipiki, maarufu ‘Bodaboda’ wameshauriwa kununua vifaa sahihi kwa ajili ya vyombo hivyo ili kuepuka madhara yanayoweza kuwatokea pindi wakitoa huduma ya usafiri.Ushauri huo ulitolewa jana...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATOTO WENYE HOMA YA MANJANO WAANIKWA JUANI

Watoto wanaozaliwa katika Hospitali ya Mkoa wa Dodoma wakiwa na ugonjwa wa homa ya njano, inasadikiwa wamekuwa wakianikwa juani kutokana na ukosefu wa mashine maalumu ya kufanya kazi hiyo. Hata hivyo,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JAPAN YASAIDIA SHILINGI BILIONI 24.1 ZA BAJETI

Serikali ya Tanzania imepata mkopo wa Sh bilioni 24.1 kutoka Serikali ya Japan ikiwa ni sehemu ya kuisaidia bajeti yake.Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum na Balozi wa Japan nchini, Masaki Okanda...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YASISITIZA KUFTWA HATI ZA MASHAMBA YA MKONGE

Serikali imesisitiza kufuta baadhi ya hati miliki za mashamba ya mkonge katika Mkoa wa Tanga na kugawia wananchi.Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Christopher Chiza,  aliliambia Bunge jana kuwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANAOVAA VIBAYA MARUFUKU MAHAKAMANI KINONDONI

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni, Dar es Salaam imeweka kibano kwa watu wenye mavazi yasiyo na staha kuingia makahamani hapo kwa kuwazuia mlangoni. Miongoni mwa mavazi ambayo akivaa mtu anazuiwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MADANGURO NA 'GESTI' VYAATHIRI WATOTO

Ukatili, udhalilishaji na ukiukaji wa haki za mtoto, ikiwemo tabia ya wazazi au walezi kuwatuma watoto  vileo na kwenda nao kumbi za starehe vinadaiwa kukithiri hali ambayo serikali imeshauriwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMPUNI YALIPA SHILINGI MILIONI 800 KUTAFITI GESI MTWARA

Moja ya kampuni nne zilizofikia makubaliano na Mamlaka ya Ukanda Maalumu wa Uwekezaji nchini (EPZA) kutoa huduma mbalimbali kwa kampuni kubwa zinazofanya utafiti wa mafuta na gesi mkoani Mtwara, imetoa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SUMATRA SASA YAKUNJULIA MAKUCHA YAKE UDA

Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA) imesisitiza kwamba, mabasi ya Shirika la Usafirishaji Dar es Salaam (UDA) yanatakiwa kupaka rangi kulingana na njia na si kuweka vibao...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MLIMA KILIMANJARO WAPOTEZA ASILIMIA 30 YA THELUJI YAKE

Mlima Kilimanjaro umepoteza takribani asilimia 30 ya theluji kuanzia mwaka 1912 mpaka sasa, Bunge limeelezwa. Naibu Waziri, Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira), Ummy Mwalimu, alisema  kuyeyuka kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MGOMO WA WAHADHIRI UDOM WAACHA NJIAPANDA WANAFUNZI 2,000

Wahadhiri wa Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom) wamegoma kusimamia mitihani wakishinikiza malipo ya posho za usimamizi wanazodai tangu muhula wa masomo uliopita. Mgomo  wa wanataaluma hao wa Shule ya Sayansi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ONGEZEKO DENI LA TAIFA LAZUSHA TAFRANI BUNGENI DODOMA

Kamati ya Kudumu ya Bajeti imeonesha wasiwasi kuhusu ongezeko la haraka la deni la taifa na kusema hali hiyo inatishia ukuaji endelevu wa uchumi.Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Andrew Chenge aliliambia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MUELLER HAT-TRICK AS GERMANY SLAY PORTUGAL

Sami Khedira of Germany, Thomas Mueller and Mario Goetze celebrate scoring their team's third goalThomas Mueller claimed a hat-trick as Germanythrashed 10-man Portugal 4-0 in their Group G match in...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DEMPSEY SCORES FIFTH FASTEST GOAL IN WORLD CUP HISTORY

1. Hakan Sukur (2002): 11 seconds29/06/2002 (Daegu, Daegu World Cup Stadium), third place play-offEleven seconds. That's all it took for a 40-year-old record to fall in the penultimate match of the...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS WA CHINA KUTEMBELEA TANZANIA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Watu wa China, Li Yuanchao anatarajiwa kufanya ziara  rasmi nchini kuanzia Juni 21 hadi 26.Hayo yalisemwa jana na Balozi wa Tanzania nchini China,  Abrahaman Shimbo wakati...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MENEJA TANZANITE ONE AFUKUZWA NCHINI

Meneja Mauzo wa Kampuni ya Tanzanite One, inayojishughulisha na uchimbaji, ununuzi na uuzaji wa madini ya Tanzanite nje ya nchi, amefukuzwa nchini. Mkuu wa Uhamiaji Mkoa wa Arusha, Daniel Namomba...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATU 30 MBARONI KWA KUFANYA VURUGU MULEBA

Watu zaidi ya 30 wanashikiliwa na polisi wilayani Muleba katika Mkoa wa Kagera wakituhumiwa kufanya vurugu na uharibifu wa mali  chanzo kikiwa kifo cha mfanyakazi wa ndani aliyefia mkoani Arusha....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MATUMIZI YA GESI YA SAMADI YASAIDIA KUHIFADHI MAZINGIRA

Matumizi ya gesi ya samadi inayotumia kinyesi cha ng’ombe na binadamu (Biogas), yamesaidia kwa kasi kubwa kuhifadhi mazingira katika mikoa nchini inayoongoza kwa ukataji miti kwa ajili ya kuni na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YATAMBA KUWANASA WALIPUAJI MABOMU ZANZIBAR

Serikali imesema ina uwezo wa kuwakamata wale wote waliohusika katika shambulizi la bomu lililosababisha kifo na kujeruhi wengine saba mwishoni mwa wiki iliyopita, mjini Zanzibar.Wakati Naibu Waziri wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KERO YA MAJI JIJINI DAR KUPUNGUA MWAKA UJAO

Maeneo yenye kero sugu ya maji jijini Dar es Salaam, yatapatiwa maji ifikapo Septemba mwakani, baada ya uwekaji wa bomba kubwa jipya kutoka mtambo wa Ruvu Juu kukamilika. Hayo yamesemwa na Meneja...

View Article
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live