Quantcast
Channel: ziro99blog
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICHO LA TATU...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WALIMU WALAZIMISHWA KUKAA SAKAFUNI MBELE YA WANAFUNZI WAO...

Chama cha Walimu Tanzania (CWT) Wilaya ya Serengeti mkoani Mara, kimelalamikia kitendo cha  Ofisa Elimu wa Wilaya hiyo, Josephat Maganga kudaiwa kudhalilisha walimu wa shule ya msingi ya Nyamoko katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PAPA BENEDICT KULIPWA MAFAO SHILINGI MILIONI 5 KILA MWEZI...

Papa Benedict XVI.Imebainika kwamba licha ya kustaafu kwa Papa, Kiongozi huyo bado ataendelea kupokea kitita kinono kwa maisha yake yote.  Wakati Papa Benedict XVI akijiuzulu juzi, mafao yake ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHEKA TARATIBU...

Jamaa kawapa ofa washikaji zake kwenda kunywa kwenye baa moja maeneo ya Kijitonyama. Baada ya masaa kadhaa, akaletewa bili iliyosomeka hivi; Manka 20,000/-, Pantaleo 30,000/-, Happy 25,000/-, Kiwosso...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SARATANI YAPOKA UHAI WA MWIGIZAJI WA "ONE DAY AT A TIME"...

Bonnie Franklin.Bonnie Franklin -- ambaye alikuwa nyota akicheza kama Ann Romano katika Kipindi cha Televisheni cha "One Day at a Time" -- amefariki dunia jana kufuatia matatizo ya saratani ya kongosho...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

POLISI WAUA DEREVA TAKSI KWA KUMFUNGA NA KUMKOKOTA KWENYE GARI MITAANI...

KUSHOTO: Mido Macia akikokotwa kwenye gari la polisi mitaani. KULIA: Mido akiwa na dada yake kabla ya mkasa huo.Maofisa wanane wa polisi wanaotuhumiwa kumfunga pingu dereva taksi Mido Macia kwenye gari...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KARDINALI WA AFRIKA APIGIWA DEBE KUMRITHI PAPA BENEDICT XVI...

Kardinali Peter Turkson.Kardinali Peter Turkson wa Ghana hawanii upapa, lakini ni dhahiri ana wanaomwunga mkono ambao wanaamini anatosha na wamebandika mabango yenye picha yake sehemu mbalimbali za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AMUUA MAMA YAKE KWA KUMKATA VIUNGO NA KUVITUPA MITAANI...

KUSHOTO: Tanya Byrd. JUU: Moja ya sehemu za mwili wa mama huyo. CHINI: Bahsid McLean.Picha ya kutisha imeibuka Jumamosi ikionesha mkazi wa Bronx anayetuhumiwa kuua na kukata viungo mwili wa mama yake,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICHO LA TATU...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBATIA AKATAA UTEUZI TUME YA MATOKEO KIDATO CHA NNE...

James Mbatia.Wakati Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiweka hadharani majina ya wajumbe wa Tume ya Taifa ya Kuchunguza Matokeo ya Kidato cha Nne jana, katika hali ya kushangaza, wadau muhimu wa elimu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHEKA TARATIBU...

Jamaa kaenda kununua chipsi eneo la jirani. Muuzaji akamuuliza aweke nini? Jamaa akajibu: "Chilitomato." Muuzaji akaweka Chilli na Tomato. Jamaa kuonja tu akaanza kufoka kwa hasira: "Chi nimekwambia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JARIDA JIPYA LA AL-QAEDA LAFUNDISHA JINSI YA KULIPUA MAGARI...

Al Qaeda imetoa toleo la hivi karibuni kabisa la jarida lake la propaganda linalochapishwa kwa lugha ya Kiingereza likielekeza wanaotaka kuwa askari jinsi ya kulipua magari yaliyoegeshwa na kusababisha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

POLISI 99,000 KULINDA UPIGAJI KURA UCHAGUZI MKUU WA KENYA LEO...

Leo ni leo, mamilioni ya Wakenya wanapiga kura kuamua hatma ya nchi yao. Huu ni uchaguzi mkuu wa kwanza kufanyika tangu Kenya ipate Katiba mpya.Wengi wao wanaamini kuwa machafuko yaliyotokea baada ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICHO LA TATU...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MTOTO WA MIAKA 7 AFIKA KILELE CHA MLIMA KILIMANJARO...

Mtoto Aaryan Balaji (7), raia wa India amefanikiwa kuweka rekodi  nyingine  ya  kufika kileleni  mwa mlima Kilimanjaro, kwa kupitia barabara ya Lemosho iliyopo wilayani Siha na kushukia  geti la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHEKA TARATIBU...

Walevi wawili walikuwa wakitembea kurudi nyumbani. Ghafla njiani wakaona kioo, mmoja akakiokota na kujiona sura yake akasema: "Hii sura sio ngeni machoni mwangu ila jina ndio sikumbuki!" Mwenzake...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HAKIKA TUMETOKA MBALI...

Ng'ombe hawa wakiwa kwenye eneo la Kiwanda cha Tanganyika Packers wakisubiria kuchinjwa na nyama kusambazwa katika mabucha mbalimbali jijini Dar es Salaam, mwaka 1960. Kiwanda hiki ambacho kiko maeneo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHEKHE PONDA, WENZAKE WAPATIKANA NA KESI YA KUJIBU...

Shekhe Ponda Issa Ponda (wa tatu kutoka kulia) akiwa mahakamani na wenzake kusikiliza kesi dhidi yao.Katibu wa Taasisi na Jumuiya za Kiislamu, Shehe Ponda Issa Ponda na wafuasi wake 49, wamekutwa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MTOTO MCHANGA APONA MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UKIMWI...

Mtoto aliyezaliwa na maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi, amepona baada ya kutibiwa, watafiti wameeleza. Mtoto huyo wa Mississipi nchini Marekani, kwa sasa ana miaka miwili na miezi sita na amethibitika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICHO LA TATU...

View Article
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live