Quantcast
Channel: ziro99blog
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANGELLA KAIRUKI ANG'ARA KIMATAIFA KWA VIJANA...

Angella Kairuki.Naibu Waziri  wa Sheria na Katiba, Angella Kairuki ameteuliwa kuwa miongoni mwa Kundi la Viongozi Vijana Duniani kwa mwaka huu. Kairuki aliteuliwa pamoja na Mwanzilishi na Mwenyekiti...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICHO LA TATU...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAHAKAMA YATUPILIA MBALI OMBI LA SHEKHE PONDA...

Shekhe Ponda Issa Ponda.Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetupilia mbali ombi la mapitio lililowasilishwa na Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Shekhe Issa Ponda kwa kuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MALALAMIKO YA TANZANIA BARA, ZANZIBAR KUWEKWA HADHARANI...

Jaji Joseph Warioba.Mweyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji mstaafu Joseph Warioba, ametaja malalamiko 10 ya kila upande wa Muungano, ambayo yanatishia kuvunja Muungano wa Tanganyika na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MCHINA ALIYEKAMATWA NA MENO YA TEMBO 81 JELA MIAKA 20...

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemhukumu kifungo cha miaka 20 jela raia wa China, Yu Bo baada ya kupatikana na hati ya kukutwa na pembe za ndovu, zenye thamani ya Sh milioni 978.Hakimu Mkazi Devotha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICHO LA TATU...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JAJI WARIOBA AWACHANGANYA WAJUMBE BUNGE LA KATIBA...

Jaji Joseph Warioba.Baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, wamekiri kuchanganywa kutokana na hotuba ya Mwenyekiti wa Tume ya Marekebisho ya Katiba, Jaji Joseph Warioba ambayo walidai imeibua...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICHO LA TATU EXTRA...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HOTUBA YA RAIS KIKWETE YASUBIRIWA KWA HAMU DODOMA...

Rais Jakaya Kikwete.Uongozi wa juu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), kesho utahamia katika Makao Makuu ya Tanzania, Dodoma, kushuhudia hotuba ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BODABODA WATAKAOINGIA KATIKATI YA JIJI KUNYANG'ANYWA LESENI...

Waendesha bodaboda na 'bajaji'ambao watakiuka agizo la kutoingia katika Eneo la Katikati ya Jiji (CBD),  watanyang'anywa leseni zao za biashara, kwa kukiuka  sheria.Hayo yameelezwa na Kamishna wa Kanda...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SITTA KUWASHUGHULIKIA WAPINGA MUUNGANO WOTE KISHERIA, KIKANUNI...

Samuel Sitta (kulia) akiwa kazini bungeni.Mwenyekiti wa Bunge Maalumu, Samuel Sitta, amesisitiza msimamo wake wa kuwashughulikia wajumbe wa Bunge hilo  wenye nia ya kuvunja Muungano uliodumu kwa miaka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WALIMU WAPYA KUISHI KIFALME KIGOMA, KUPELEKEWA VITOWEO MAJUMBANI...

Sehemu ya mji wa Kigoma.Katika utekelezaji wa Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN), Halmashauri ya Wilaya Kigoma, imeamua kuwapokea walimu wapya 430, kwa mbinu ya pekee ili wabaki katika vituo vyao vya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICHO LA TATU...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUTANO KUJADILI UJANGILI KUFANYIKA DAR MWEZI UJAO...

Serikali imeendelea kuweka mikakati ya kupambana na ujangili nchini kwa kushirikiana na mashirika ya kimataifa.Imeandaa mkutano wa kuwezesha utekelezaji wa shughuli za kuzuia ujangili  na kupiga...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BABA MZAZI AUA MWANAWE KIKATILI KWA KIPIGO TUNDUMA...

Kamanda Msangi.Mtoto mwenye umri wa miaka saba, mjini Tunduma wilayani Momba, ameuawa kwa kushambuliwa kwa kipigo na baba yake mzazi akimtuhumu kwa uzururaji.Irene Mbembela ambaye alikuwa akisoma shule...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE KUNGURUMA BUNGE LA KATIBA LEO SAA 10 JIONI...

Rais Jakaya Kikwete, leo anatarajiwa kuhutubia Bunge Maalumu la Katiba na hotuba yake kurushwa moja kwa moja na Televisheni ya Shirika la Utangazaji (TBC). Hotuba hiyo ya Rais, imekuwa ikisubiriwa kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KESI YA WALIOTOROSHA TWIGA YAAHIRISHWA...

Mahakama ya hakimu mkazi mjini Moshi jana imelazimika kuahirisha kesi ya utoroshwaji wa Twiga kwenda Uarabuni baada ya hakimu mkazi Simon Kobelo anayesikiliza kesi hiyo kukabiliwa na majukumu mengine...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MUUNDO WA SERIKALI TATU WAMTISHA RAIS KIKWETE...

Rais Jakaya Kikwete akisisitiza jambo alipolihutubia Bunge la Katiba jana.Rais  Jakaya Kikwete amesema muundo wa serikali tatu uliopendekezwa na Tume ya Marekebisho ya Katiba inayoongozwa na Jaji...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICHO LA TATU...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PENDEKEZO LA WANANCHI KUWANG'OA WABUNGE LAPINGWA...

Rais Jakaya Kikwete wakati akizindua Bunge la Katiba jana.Rais Jakaya Kikwete amepinga pendekezo la rasimu ya Katiba ambalo linataka wananchi wawe na haki ya kuwaondoa wabunge wao kwa vile linaweza...

View Article
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live