KANISA LAENDESHA BAHATI NASIBU YA BUNDUKI ILI KUVUTIA WATU WENGI...
KUSHOTO: Tangazo la bahati nasibu. KULIA: Kanisa la Grace Baptist.Kanisa moja lililoko mjini New York limejinadi kutoa bure bunduki aina ya AR-15 kwenye bahati nasibu itakayofanyika baadaye mwezi huu,...
View ArticleMAKATIBU WA BUNGE MAALUMU WAAPISHWA RASMI...
Rais Jakaya Kikwete akimkabidhi nyaraka Dk Thomas Kashililah mara baada ya kumwapisha jana.Yahya Hamis Hamad kutoka Zanzibar ndiye Katibu wa Bunge Maalumu la Katiba. Katibu huyo jana aliapishwa na Rais...
View ArticleSITTA AONYA WAJUMBE 'WAROPOKAJI' BUNGENI KUKIONA CHAMOTO...
Samuel Sitta akila kiapo kuwa Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba jana.Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta ameanza kazi na kuwaonya wajumbe wa bunge hilo ambao wamekuwa na tabia ya...
View ArticleWATOTO WA DARASA LA SABA KIZIMBANI KWA MADAI YA KUOANA RUKWA...
Mwanafunzi aliyehitimu Darasa la Saba mwaka jana, jina tunalo amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu wa Wilaya ya Nkasi mkoani Rukwa, kwa madai ya kumuoa msichana waliyekuwa wakisoma naye darasa...
View ArticleNEEMA YA DAMPO PUGU, SASA MALIPO GONJWA LA KIPINDUPINDU...
Moja ya familia zilipata chakula ndani ya neti kuepuka nzi wanaoambukiza kipindupindu.Katika harakati za kujikinga na maradhi na usumbufu wanaoupata wa nzi majumbani, wakazi wanaoishi karibu na eneo la...
View ArticleJAMBAZI AFIA KWA MGANGA WA KIENYEJI TARIME...
Mkazi wa Kijiji cha Kemakorere, Kata ya Nyarero iliyopo Tarafa ya Inchage, Tarime, Nchagwa Marwa Yusuph (35) aliyekuwa akisakwa kwa tuhuma za unyang'anyi wa kutumia silaha wilayani hapa, amekutwa...
View ArticleMTOTO WA KIKWETE AANZA KAMPENI KUWANIA UBUNGE CHALINZE...
Ridhiwani Kikwete katika moja ya mikutano yake ya kampeni.Wakati leo ni siku ya uchaguzi mdogo wa ubunge katika Jimbo la Kalenga mkoani Iringa, mgombea wa ubunge katika uchaguzi mwingine mdogo jimboni...
View ArticleSIMU ILIYOKUWA KWENYE CHAJA YAUA MSIKILIZAJI ZANZIBAR...
Ali Bakari Ali (20) mkazi wa Kisima Majongoo mjini Unguja amekufa baada ya simu yake aliyokuwa akitumia ambayo ilikuwa imeunganishwa na chaja ya umeme kupata hitilafu. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mjini...
View ArticleMWANAMKE ALBINO AUA MWANAWE SINGIDA, AMCHUNA NGOZI...
Kamanda Geofrey Kamwela.Polisi mkoani Singida inawashikilia wanawake wawili, mmoja wao akiwa mlemavu wa ngozi `albino’, kwa tuhuma ya kuua na kumchuna ngozi mtoto mwenye umri wa mwaka mmoja na...
View ArticleSAMUEL SITTA AANZA KWA KASHFA BUNGE MAALUMU LA KATIBA...
Samuel Sitta (kushoto) alipokuwa akikabidhiwa kiti na Pandu Ameir Kificho.Akiwa ndiyo kwanza ametoka kuapishwa na kuanza kazi, Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta amepingwa na mjumbe wa...
View ArticleCCM YAONGOZA MATOKEO YA AWALI UCHAGUZI JIMBO LA KALENGA...
TOSA Na.1 CCM 98 ,Chadema 20, CHAUSTA 0IPAMBA Na.2CCM 104, Chadema 10,CHAUSTA 0ISAKULILOCCM 83,Chadema 8,CHAUSTA 0KILINDI A CCM 69 ,Chadema 23, CHAUSTA 0 OFISI YA KIJIJI (KILINDI) CCM 117, Chadema 53,...
View ArticleFOLENI SUGU YA KIMARA KUANZA KUPUNGUA WIKI HII...
Ujenzi ukiendelea Barabara ya Morogoro.Kampuni ya Strabag inayoendelea na ujenzi wa barabara chini ya mradi wa mabasi yaendayo haraka, imeruhusu upande mmoja wa barabara uliokamilika, kutumika...
View ArticleMVAMIZI KIWANJA CHA MWALIMU NYERERE AMPUUZA MKUU WA WILAYA...
Ukuta uliojengwa kwa siku mbili kwenye kiwanja cha Nyerere.Ni wazi sasa kuwa mvamizi katika kiwanja cha Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, ana kiburi na jeuri kwa kuwa ameamuru ujenzi kuendelea...
View ArticleRAIS KIKWETE KUHUTUBIA BUNGE LA KATIBA JUMATANO...
Ukumbi wa Bunge la Katiba.Tunaweza kusema ni wiki muhimu kwa wabunge wa Bunge Maalumu la Katiba, kutokana na kutengewa siku tatu za kujadili rasimu ya Katiba itakayowasilishwa leo na Jaji Joseph...
View ArticleWATU WANNE WAUAWA KIKATILI BUHONGWA....
Watu wanne wameuawa na kundi la watu wasiojulikana, wakituhumiwa kuiba ng’ombe katika Kijiji cha Igwambiti Kata ya Buhongwa, jijini Mwanza.Mtendaji wa Kata ya Buhongwa, Benedict Kabadi alisema alipokea...
View ArticleWANANCHI WA ZANZIBAR WAKATAA MUUNDO WA SERIKALI TATU...
Sehemu ya mji wa Unguja.Asilimia 60 ya wananchi wa visiwani Zanzibar waliotoa maoni yao kwenye Tume ya Mabadiliko ya Katiba, wametaka muundo wa Muungano wa serikali ya mkataba na hakuna hata mwananchi...
View Article