Article 0
Beki wa Brazil, David Luiz akiwa haamini kilichotokea baada ya timu yake kupokea kichapo cha mabao 7-1 kutoka kwa Ujerumani jana.
View ArticleBENKI M YAPATA FAIDA SHILINGI BILIONI 5.05
Benki M Tanzania imeweka rekodi baada ya kupata faida kabla ya kodi hadi kufikia asilimia tisa katika robo ya mwaka iliyoishia Juni 2014.Ofisa Mtendaji Mkuu, Jacqueline Woiso alisema jijini Dar es...
View ArticleWAKAZI WATATU WA BAHI WAKANA KUMUUA MAMA YAO
Wakazi watatu wa kijiji cha Uhelela wilaya ya Bahi, mkoani Dodoma wamekana shtaka linalowakabili la mauaji ya kukusudia ya mama yao mzazi, ambapo wanadaiwa kumshambulia kutokana na kitendo chake cha...
View ArticleSUMAYE AFICHUA RUSHWA ZINAZOITESA TANZANIA
Waziri Mkuu mstaafu Frederick Sumaye, ametaja aina tatu ya rushwa zinazoitafuna nchi, ambazo ni rushwa kujikimisha haramu, rushwa ulafi na rushwa madaraka uroho.Alisema hayo jana alipokuwa akizindua...
View ArticleMATUTA YA KUZUIA AJALI HAYATAKUWEPO TENA
Waziri wa Ujenzi, Dk John Magufuli amesisitiza Serikali haitaweka matuta ya vizuizi vya kupunguza ajali katika barabara zote zilizoko nchini. Alisema hayo juzi katika Kijiji cha Igogo wilayani Igunga...
View ArticleMAHUJAJI WANAOENDA KUHIJI MAKKA WAONYWA
Shirikisho la Taasisi za Hijja Tanzania(TAHAFE) limewatahadharisha waumini wote wa dini ya Kiislamu, wanaotarajia kwenda katika Ibada ya Hijja nchini Saudi Arabia, kuwa makini na matapeli.Matapeli hao...
View ArticleANAYEDAIWA KUMNG'ATA MFANYAKAZI WA NDANI AACHIWA
Mtuhumiwa wa kesi ya kujeruhi kwa kumng'ata sehemu mbalimbali za mwili mfanyakazi wa ndani, inayomkabili Amina Maige (42) amepatiwa dhamana jana baada ya mahakama kuthibitisha kuwa hasira kutoka kwa...
View ArticleUPEPO KUENDELEA KUICHACHAFYA PWANI YA TANZANIA
Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA) imeendelea kuhadharisha juu ya upepo mkali unaoambatana na mawimbi makubwa katika maeneo yote ya ukanda wa Pwani ulioanza jana. Upepo huo unaotarajiwa kuendelea hadi kesho...
View ArticleMABOMU ARUSHA YAIWEKA PABAYA KAMATI YA ULINZI YA MKOA
Kikao cha Kamati ya Ushauri Mkoa wa Arusha (RCC) kimetaka polisi na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa, kuacha kutoa matamko ya haraka, badala yake wachunguze kubaini chanzo cha milipuko ya mabomu...
View ArticleUBIA WA TANZANIA NA ALGERIA KWENYE GESI WAIVA
Tanzania na Algeria zinakamilisha majadiliano ya kuanzisha kampuni ya ubia, itakayohusika na ujenzi wa miundombinu ya kusambaza umeme.Pia, itaanzishwa kampuni ya ubia ya kujenga mtambo wa kusindika...
View ArticleKIKWETE AAGIZA MAABARA SHULE ZOTE IFIKAPO NOVEMBA
Rais Jakaya Kikwete ameagiza ifikapo Novemba mwaka huu, shule zote za sekondari nchini, ziwe na maabara kwa ajili ya masomo ya sayansi. Ameagiza Wakuu wa Mikoa na Wilaya kuhakikisha wanashirikiana na...
View ArticleKADA WA CCM KUSOMEWA MASHITAKA KITANDANI MUHIMBILI
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Agosti 11 mwaka huu inatarajia kuhamia katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili kwa ajili ya kusikiliza utetezi wa kada wa CCM, Rajab Maranda anayekabiliwa na kesi ya wizi...
View ArticleArticle 16
Washiriki wa Kongamano la nne la Makatibu Muhtasi Tanzania kutoka maeneo mbalimbali wakifuatilia mada mbalimbali mapema leo kwenye Hoteli ya Malaika, jijini Mwanza.
View ArticleArticle 15
Rais Jakaya Kikwete akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa nyumba za gharama nafuu zilizojengwa na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) katika wilaya ya Nkinga, mkoani Tanga jana.
View ArticleArticle 14
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipanda treni kutoka Reading kwenda jijini London, Uingereza baada ya kuzungumza na Watanzania waishio Reading jana.
View ArticleArticle 13
Shehe Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Sheikh Alhad Mussa Salum akizungumza na wageni waalikwa wakati wa futari iliyoandaliwa BancABC kwa wateja na wafanyakazi wa benki hiyo kwenye Hoteli ya Serena, Dar...
View ArticleWAKANDARASI WA BARABARA WAIDAI SERIKALI SHILINGI BILIONI 600
Wakandarasi wanaojishughulisha na ujenzi wa barabara katika maeneo mbalimbali nchini wanaidai Serikali zaidi ya Sh bilioni 600, hali inayosababisha kuzorota kwa utekelezaji wa baadhi ya miradi hiyo na...
View Article