UFAULU JUU MATOKEO KIDATO CHA SITA, SHULE KONGWE ZAANGUKA
Ufaulu katika mtihani wa Kidato cha Sita mwaka jana, umeongezeka kwa asilimia 8.13 huku shule za mikoani zisizo na majina makubwa zikichomoza katika orodha ya kumi bora. Matokeo hayo yalitangazwa jana...
View ArticleMEYA AMSHUTUMU MBUNGE KUTETEA WAMACHINGA
Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa amemtaka Mbunge wa Ilala, Musa Zungu kutafuta njia sahihi ya kuwasaidia wafanyabiashara ndogo maarufu kama wamachinga, lakini si kuwatetea waendelee kufanya...
View ArticleKICHAA CHA MBWA CHAIBUKA MKOANI DODOMA
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dk Rehema Nchimbi ametangaza mlipuko wa ugonjwa wa kichaa cha mbwa na kutaka mamlaka husika kuhakikisha wanadhibiti hali hiyo.Dk Nchimbi alisema hayo kwenye mkutano wa...
View ArticleMOTO WAZUKA TENA SIKU NA MUDA ULEULE TEGETA
Moto wa ajabu umezuka ghafla na kuteketeza mali zilizokuwa zimehifadhiwa katika ghala la vifaa vya ujenzi na umeme lililopo maeneo ya Tegeta Kibaoni, Wilaya ya Kinondoni.Moto huo uliozuka bila chanzo...
View ArticleHOUSE OF PEACE WAOMBA KUFUFUA HUDUMA ZA MAKAZI
Shirika lisilo la serikali linalotetea haki za wanawake na watoto la House of Peace limeombwa kufufua huduma za makazi walizokuwa wakizitoa kwa wanawake na watoto wanaofanyiwa vitendo vya ukatili wa...
View ArticleKAMATI KUU CHADEMA YAKUTANA LEO
Kamati Kuu ya Chama Demokrasia na Maendeleo (Chadema) inakutana leo jijini Dar es Salaam.Kikao hicho cha kawaida ni cha siku mbili na pamoja na mambo mengine kitakajadili masuala ya mchakato wa Katiba...
View ArticleKESI YA AKINA MRAMBA KUSIKILIZWA SEPTEMBA 9
Kesi ya matumizi mabaya ya ofisi na kuisababishia Serikali hasara ya Sh bilioni 11.7 inayomkabili aliyekuwa Waziri wa Fedha, Basil Mramba na wenzake, inatarajia kuendelea kusikilizwa Septemba 9 hadi 12...
View ArticleKAMANDI YA ANGA KUADHIMISHA MIAKA 32 TANGU KUASISIWA
Kamandi ya Jeshi la Anga linatarajia kufanya maadhimisho ya miaka 32 tangu kuanzishwa kwake mwaka 1982.Hayo yalisemwa jana na Mkuu wa Kamandi hiyo, Meja Jenerali Joseph Kapwani wakati akizungumza na...
View ArticleWANAOJIPITISHA KUWANIA URAIS WAZIDI KUBANWA
Makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliopewa adhabu kutokana na kuanza harakati za kuomba ridhaa kugombea urais, baadhi yao wako katika hatihati ya ama kuongezewa adhabu au kuenguliwa kwenye...
View ArticleTANZANITE ZA SHILINGI BILIONI 10 ZAIBWA
Watu wanaosadikiwa ni majambazi wamepora madini ya tanzanite ya Kampuni ya TanzaniteOne ya Mirerani, wilayani Simanjiro, mkoani Manyara yenye uzito wa kilo 40 na thamani ya zaidi ya Sh bilioni...
View ArticleTRAFIKI 27 WATIMULIWA KAZI KWA RUSHWA
Askari 27 wa Kikosi cha Polisi cha Usalama Barabarani wamefukuzwa kazi ndani ya kipindi cha miezi sita kutokana na kujihusisha na makosa ya rushwa. Kikosi hicho ambacho kimeonya dhidi ya unyanyasaji...
View ArticleWATUHUMIWA 17 WA UGAIDI WAFIKISHWA KORTINI CHINI YA ULINZI MKALI
Watu 17 wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na mashitaka ya kujihusisha na vitendo vya ugaidi.Washitakiwa hao walifikishwa mahakamani hapo jana saa 7:30 mchana...
View ArticleArticle 19
Stunned:Ukrainians inspect the wreckage of MH17 as coal miners, farmers and other volunteers help with the grisly task of clearing up the crash sites after the Malaysia Airlines jet was shot down by a...
View ArticleArticle 18
Political storm: Russian President Vladimir Putin has blamed Ukraine for the Malaysian Airlines tragedy that claimed the lives of all 298 people on board
View ArticleArticle 17
Horrific: Flight MH17, a Boeing 777-200 on its way from Amsterdam to Kuala Lumpur, exploded into flames at 33,000ft after it was hit by a surface-to-air missile
View ArticleArticle 16
Crumpled: Wreckage of the Malaysia Airlines jet carrying 298 people from Amsterdam to Kuala Lumpur a day after it crashed, near the town of Shaktarsk, in east Ukraine
View ArticleDID MALAYSIA AIRLINES FLIGHT MH17 PILOT DIVERT INTO THE DANGER ZONE?
Aviation expert claims captain made last-minute change of course over Ukraine because he 'felt uncomfortable'The pilot of MH17 radioed that he 'felt uncomfortable' about the route he was flying while...
View Article