Quantcast
Channel: ziro99blog
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

80 CHILDREN AMONG THE 298 WHO PERISHED ON DOOMED PLANE

Eighty children were among the victims killed when a passenger jet was shot out of the sky at 32,000ft by a surface-to-air missile yesterday.Two Indonesians aged just three and five who were flying...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VODACOM YAADHIMISHA SIKU YA NELSON MANDELA

Wafanyakazi Ubalozi wa Afrika Kusini nchini na baadhi ya wafanyakazi wa kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania, jana waliungana na taasisi na wananchi kutoka sehemu mbalimbali duniani katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIONGOZI WOTE WA JUU CHADEMA KIGOMA WAJIENGUA

Waliokuwa viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa Kigoma wamejiuzulu nyadhifa zao zote ndani ya chama hicho kwa kile wanachoeleza kukiukwa kwa misingi ya Demokrasia ndani ya chama...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATOTO WENGI NCHINI HAWANA VITAMIN 'A'

Zaidi ya watoto 37  kati ya 100 walio na umri chini ya miaka mitano katika Mkoa wa Dar es Salaam, wana upungufu wa Vitamini A.Mkuu wa Mkoa huo, Said Meck Sadiki alisema hayo wakati akizungumzia utoaji...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI KUFUMUA SHERIA ZA NDOA, MIRATHI

Serikali imesema iko katika mchakato wa kufanyia kazi mapendekezo yaliyotolewa na Tume ya Kurekebisha sheria kwa sheria 29 kandamizi zikiwemo za ndoa na mirathi.Aidha iko katika utaratibu wa kuweka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

YASEMAVYO MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI - JULAI 19

     

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MTAALAMU AONYA KUHUSU NYAMA MBICHI, MAZIWA

Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi imewatahadharisha wananchi hasa wa jamii za wafugaji kuacha mazoea ya kunywa maziwa yasiyochemshwa pamoja na kula nyama mbichi ili kujiepusha na hatari ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAJI YA KEMIKALI YABABUA WATOTO MIGUU

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira), Dk Binilith Mahenge amekataa kuwapa cheti cha utunzaji wa mazingira kiwanda cha nguo cha Nida kilichopo Tabata katika Manispaa ya Ilala, Dar es...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATU 409 WAKAMATWA KWA UJANGILI SUGU

Watu 409  wanaosadikiwa  kuwa majangili  sugu wamekamatwa wakifanya  ujangili  katika Hifadhi ya Taifa  ya Katavi  wilayani Mlele  mkoa wa Katavi katika kipindi kilichoanzia Juni 2013 hadi Juni mwaka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KARDINALI PENGO AKUNWA NA UFAULU SHULE ZA KANISA

Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo ameelezea kufurahishwa na ufaulu mzuri wa wanafunzi wa kidato cha sita katika shule ya Sekondari ya St....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICHO LA TATU

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UKAWA SASA KUREJEA BUNGENI KWA MASLAHI YA TAIFA

Viongozi wanaounda kile kinachoitwa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), wamesema hawako tayari kushiriki Uchaguzi Mkuu ujao wa mwaka kesho huku nchi ikiwa na Katiba ya zamani, hivyo keshokutwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIGOGO SABA MBARONI KWA KILO 40 ZA TANZANITE

Wafanyakazi saba wa kampuni ya Tanzanite One, wakiwemo viongozi wakuu wa idara ya ulinzi ya kampuni hiyo wanashikiliwa na jeshi la polisi kwa tuhuma za wizi wa madini aina ya tanzanite yenye uzito wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AUA MTOTO WA TAJIRI YAKE NA KULA UBONGO

Simanzi na vilio vilitawala jana katika Kijiji cha Samanga, Kata ya Marangu Mashariki wilaya ya Moshi Vijijini mkoani Kilimanjaro, baada ya mtu mmoja kumuua kwa kumcharanga mapanga mtoto wa bosi wake...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHELSEA SIGN FILIPE LUIS FROM ATLETICO MADRID

Chelsea have announced the signing of Atletico Madrid defender Filipe Luis on a three-year-deal.The Blues reached an agreement to sign the left-back from the Spanish champions on Wednesday and have now...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

YASEMAVYO MAGAZETI YA LEO JUMATATU - JULAI 21

       

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

IRINGA YAADHIMISHA SIKU YA CHIFU MKWAWA

Kwa mara ya kwanza Mkoa wa Iringa umeadhimisha Siku ya Kumbukumbu ya Chifu wa Wahehe, Mtwa Mkwawa tangu afariki kwa kujiua mwenyewe miaka 116 iliyopita.Maadhimisho hayo yalifanyika juzi, ambapo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MUHONGO ADAI BEI YA UMEME TANZANIA NI YA CHINI ZAIDI

Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amesema Tanzania ndiyo nchi pekee miongoni mwa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), ambayo bei ya umeme ni ya chini zaidi.Pamoja na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AJALI ZA BODABODA ZAMTISHA RAIS KIKWETE

Kasi ya ajali za pikipiki imemtisha Rais Jakaya Kikwete na ameeleza wasiwasi kwamba ikiendelea hivyo, utafika wakati idadi ya watu watakaokufa itakuwa kubwa kuliko wanaopoteza maisha kutokana na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANACHAMA 'MIZIGO' RUKSA KUONDOKA CHADEMA

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amesema uongozi wake, utakilinda chama kwa gharama yoyote na kuwa milango iko wazi kwa watu wasio na nia ya dhati kuondoka.Mbowe...

View Article
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live