Quantcast
Channel: ziro99blog
Browsing all 4593 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHEKA TARATIBU...

Mwanafunzi mmoja mtukutu kakutana na mwalimu wake na mambo yakawa hivi. Mwalimu: "Wewe kwanini kila siku unachelewa kufika shuleni?" Mwanafunzi: "Nakaa mbali sana". Mwalimu: "Mbali mbinguni?"...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DK. KIMEI ANG'ARA MCHAKATO WA KINARA WA BENKI AFRIKA...

Dk Charles Kimei.Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk Charles Kimei amechaguliwa kwenye mchakato wa kumtafuta kinara wa Benki wa Afrika kwa mwaka 2013, unaoendeshwa na African Banker Awards chini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHEKHE PONDA ARIDHIA KIFUNGO CHAKE CHA MWAKA MMOJA NJE...

Shekhe Issa Ponda akilakiwa na jamaa zake mara baada ya huku hiyo kwenye Mahakama ya Kisutu, Dar es Salaam, jana.Pamoja na kuhukumiwa kifungo, Katibu wa Taasisi na Jumuiya za Kiislamu, Shekhe Issa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ATAKAYETAJA WALIORUSHA BOMU KANISANI ARUSHA KUZAWADIWA MILIONI 50/-...

IGP Said Mwema.Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini, Inspekta Jenerali Saidi Mwema ameahidi kutoa donge nono  la Sh milioni 50 kwa atakayeweza kutoa taarifa ya kumfichua mhusika au wahusika wengine wa tukio...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RUBANI JASIRI WA KIKE AANGUKA NA HELIKOPTA KATIKATI YA MTAA...

Vikosi vya waokoaji wakishuhudia ajali hiyo.Rubani mmoja wa kike wa helikopta amepongezwa kama shujaa baada ya kuanguka nayo ardhini kutoka umbali wa futi 3,000 katikati ya jiji lenye pilika nyingi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MZAHA WA LEO...

*****************************Hata uwe na kasi kiasi gani, huwezi kukimbilia kifo!***************************** 

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YAWATOLEA MAKUCHA YAKE WACHOCHEZI WA KIDINI...

Dk Emmanuel Nchimbi.Serikali imesema kuanzia sasa haitakuwa na kigugumizi kukabiliana na wachochezi wa chuki za kidini miongoni mwa Watanzania na kukiri kuwa hali imefikia hapo kutokana na Serikali...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RASIMU YA MWONGOZO UUNDAJI MABARAZA YA KATIBA YATOLEWA...

Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 2005.Tume ya Mabadiliko ya Katiba imetoa rasimu ya mwongozo wa uundwaji wa mabaraza ya Katiba yatakayoundwa na kuendeshwa na taasisi, asasi, vyama na...

View Article


MZAHA WA LEO...

**************************************Ujinga usio na hasara ni bora kuliko elimu isiyo na faida!!**************************************

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAASKOFU WASEMA SASA IMETOSHA MAKANISA KUSHAMBULIWA...

Baadhi ya waombolezaji wakishiriki mazishi ya watu watatu waliouawa kwenye shambulio la bomu kanisani mjini Arusha Jumapili iliyopita.Wakristo wametakiwa kutolipiza kisasi juu ya maovu yaliyofanywa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WALIOJIFANYA MASISTA WAKAMATWA WAKISAFIRISHA DAWA ZA KULEVYA...

Wanawake hao watatu waliobambwa na dawa za kulevya.Wanawake watatu wamekamatwa kwa madai ya kujaribu kusafirisha dawa za kulevya kupitia uwanja wa ndege wakiwa wamevalia kama masista.Wasafirishaji hao...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHEKA TARATIBU...

Mchungaji mmoja baada ya kuwafungisha ndoa 'mashoga' wawili, akapata wakati mgumu kutamka kwamba "Sasa ninyi ni MKE na MUME". Alishindwa kutamka hivyo kwa kuwa wote wawili ni wanaume. Baada ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUZOROTA AFYA YA 'PAPA' BENEDICT XVI KWAITISHA VATICAN...

Benedict XVI (kushoto) akisalimiana na Papa Francis I.Kuzorota kwa afya ya Papa Emeritus Benedict XVI kumemfanya kubakia nusu ya umbile lake la siku za nyuma, imedaiwa jana.Kardinali wa Ujerumani...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICHO LA TATU...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

POLISI ALIYEUA MTOTO KWA KUMPIGA RISASI MARA ATIWA MBARONI...

Kamanda Justus Kamugisha.Askari Polisi wa Kituo cha Tarime mkoani Mara mwenye namba D. 4662 Koplo Mathew, anashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za uzembe uliosababisha kifo kwa risasi cha mwanafunzi wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI SASA YAZINDUKA USINGIZINI MIKATABA YA MADINI...

Wachimbaji wakiwa kazini katika mchimbo ya madini ya Mererani.Waziri wa Nishati na Madini, Profesa  Sospeter Muhongo amecharuka na kuagiza Serikali kuwa na hisa katika migodi yote ya madini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHEKA TARATIBU...

Rasta mmoja alienda kumtembelea ndugu yake anayeishi kwenye nyumba ya chumba kimoja maeneo ya Manzese na kugonga mlango. Sauti ikatoka kwa ndani: "We nani?" Rasta akajibu: "Jah Man, King of Reggae,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ALIYEZINDUKA BAADA YA AJALI NA KUJIGUNDUA MJAMZITO, AJIFUNGUA MTOTO WA KIUME...

Gemma akiwa amembeba mtoto wake, Ruben.Mwanamke mmoja ambaye alizinduka baada ya kuzirai na kugundua ana ujauzito wa wiki nne amesimulia furaha yake baada ya kujifungua mtoto 'kamilifu' wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICHO LA TATU...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MFANYABIASHARA ANAYELAWITI WANAFUNZI MWANANYAMALA ATIWA MBARONI...

Kamanda Charles Kenyela.Jeshi la  Polisi  Mkoa wa Kinondoni  linamshikilia  Ahmad  Mohamed  Sharif (38), mfanyabiashara na mkazi wa Mwananyamala Msisiri ’A’ kwa tuhuma za kuwaingilia kinyume cha...

View Article
Browsing all 4593 articles
Browse latest View live