Quantcast
Channel: ziro99blog
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live
↧

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIFAA VYAANGUKA KUTOKA KWENYE INJINI YA NDEGE YENYE ABIRIA 256 IKIWA ANGANI...

Ndege hiyo baada ya kutua kwenye Uwanja wa Hearthrow.Vifaa vya injini ya ndege vimeanguka kutoka umbali wa futi 15,000 kwenye kijiji cha Heretfordshire wakati ikishika kasi kutoka Uwanja wa ndege wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHEKHE PONDA ADAIWA KUUAWA KWA RISASI MOROGORO...

Shekhe Ponda Issa Ponda.Habari zilizopatikana muda mfupi uliopita zinadai kwamba Mhubiri mashuhuri wa dini ya Kiislamu nchini, Shekhe Ponda Issa Ponda amepigwa risasi mjini Morogoro mapema leo.Kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DAWA ZA KULEVYA ZAMPONZA OFISA WA ZAMU UWANJA WA NDEGE DAR...

Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere.Ofisa  wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege (TAA), aliyekuwa zamu siku dawa za kulevya zilipopitishwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICHO LA TATU...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS MUGABE ASAINI MKATABA WA SIRI NA IRAN KUSAFIRISHA URANI...

Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe, anaonekana hapa akipeana mikono na Rais wa zamani wa Iran, Mahmoud Ahmadinejad mwaka 2006.Zimbabwe imesaini mkataba wa siri kusafirisha urani kwenda Iran kwa ajili ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MADUKA MTAA WA SAMORA YABOMOLEWA HUKU BIDHAA ZIKIWA NDANI...

Mtaa wa Samora, Dar es Salaam.Nyumba zilizopo Mtaa wa Samora, Dar es Salaam zinazomilikiwa na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) ambazo pia zilikuwa na maduka mbalimbali zimebomolewa chini ya ulinzi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MATUMIZI YA TINDIKALI SASA NI KWA LESENI MAALUMU...

Tindikali.Baada ya kukithiri kwa matukio ya uhalifu kwa kutumia tindikali, Serikali imeamua kudhibiti uingizaji, usambazaji na uuzaji wa rejareja wa tindikali zinazotumika viwandani, katika maabara na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YA JAPAN KUJENGA VIWANDA VYA BODABODA TANZANIA...

Pikipiki maarufu kama 'Bodaboda' zikisubiria abiria.Kutokana na Tanzania kuwa eneo linalofaa kwa uwekezaji kwa sababu ya kuwa na mazingira rafiki, Serikali ya Japan imeiteua kuwa kitovu chake cha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WASICHANA WALIOMWAGIWA TINDIKALI ZANZIBAR WASIMULIA MKASA MZIMA...

Wasichana hao wakisindikizwa hospitalini mara baada ya kuwasili nchini Uingereza juzi.Majeraha ya mmoja wa wasichana walioshambuliwa kwa tindikali yalizidi kuwa katika hali mbaya baada ya msamaria...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AUAWA KWA KIPIGO BAADA YA MPENZI WAKE KUMPIGIA KELELE ZA MWIZI...

Kamanda Dhahiri Kidavashari.Mzozo wa wapenzi wawili usiku, umesababisha mmoja wa kike kupiga mayowe ya kumuita mwenzake mwizi, akavamiwa na watu waliompiga na kumchoma moto hadi kufa.Kisa hicho...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICHO LA TATU...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AMTUPA CHATU KICHAKANI BAADA YA KUKATALIWA KUPANDA NAYE KWENYE TAKSI...

Chatu huyo anaaminika amekuwa akirandaranda kwenye mitaa ya mjini Portsmouth.Nyoka aina ya chatu anazagaa katikati ya jiji baada ya kuwa ametupwa kwenye uzio wa miti iliyooteshwa pale dereva taksi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NI KWELI SHEKHE PONDA AJERUHIWA BEGANI, ANATIBIWA MUHIMBILI...

Shekhe Ponda Issa Ponda akiwa wodini katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili.Katibu wa Jumuiya ya Taasisi ya Kiislamu, Shekhe Ponda Issa Ponda, amelazwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, baada ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAKIMBIZI HARAMU ZAIDI YA 7,000 WAREJESHWA KWAO...

Baadhi ya wakimbizi wakiwa njiani kurejea makwao.Baada ya agizo la Rais Jakaya Kikwete kutaka wahamiaji haramu kuondoka kupata mafanikio, muda wowote kuanzia sasa operesheni maalumu kusaka waliokaidi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWALIMU WA KIKE ASHITAKIWA KWA KUFANYA MAPENZI NA MWANAFUNZI DARASANI...

Mwalimu Bridgette Miller akiwa mbele ya shule hiyo.Mwalimu ameshitakiwa kwa madai ya kufanya mapenzi na mwanafunzi wa kiume ndani ya chumba cha darasa lake baada ya kwanza kufanya naye ndani ya gari la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICHO LA TATU...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWALIMU ALIYEMWAGIWA TINDIKALI ZANZIBAR ARUHUSIWA KUTOKA HOSPITALINI...

Kirstie Trup (kushoto) ameruhusiwa kutoka hospitalini hapo (pichani).Mmoja wa wasichana waliomwagiwa tindikali katika kisiwa cha Zanzibar ameruhusiwa kutoka hospitalini juzi usiku.Kirstie Trup, mwenye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MUHIMBILI WASHINDWA KUBAINI KILICHOMJERUHI SHEKHE PONDA...

KUSHOTO: Shekhe Ponda Issa Ponda akiwa hospitalini. KULIA: Wafuasi wa Shekhe Ponda wakilizingira gari la polisi mkoani Morogoro.Wakati Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata), Mkoa wa Dar es Salaam,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SPIKA MAKINDA, UTOUH WATETEA KODI YA SIMU ZA MIKONONI...

Spika Anne Makinda (kushoto) na Ludovick Utouh.Wakati utata wa suala la kodi ya simu ya Sh 1,000 ukitarajiwa kumalizwa katika Bunge lijalo, Spika wa Bunge, Anne Makinda na Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWILI WA BIBI HARUSI WAKUTWA UKINING'INIA NYUMBANI KWAKE...

KUSHOTO: Simone akiwa na mumewe, Mohammed Jabakhanji siku ya harusi yao. KULIA: Simone JabakhanjiBi harusi ambaye alitania kuhusu mume wake mpya 'alimvunja miguu yake' amekutwa amekufa nyumbani kwao...

View Article
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live