ASKOFU ALIYETIMULIWA KWA KUTEMBEA NA MWANAKWAYA AGOMA KUACHIA NYUMBA...
JUU: Sheila Graziano. CHINI: Dk Reid akiwa na mkewe Ruth. KULIA: Askofu Dk Michael Reid.Askofu ambaye aligoma kuachia nyumba yake wakati alipofukuzwa kwa kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mwanakwaya...
View ArticleCHADEMA YAKANA TUHUMA ZA KUUA WATU...
Singo Kigaila.Huku kukiwa na madai kuwa Chadema inahusika na matukio ya kula njama za utekaji na kuteka, kupiga na kuua watu, chama hicho kimekuja juu na kukanusha madai hayo.Pamoja na kukanusha,...
View ArticlePOLISI ATETEA UHALIFU KWA KUMTISHIA MAISHA MWENYEKITI...
Mwenyekiti wa kitongoji cha mjini Bunda anadai kuishi kwa hofu baada ya kutishiwa maisha na askari wa Polisi, akimtuhumu kufuatafuata wahalifu.Akizungumza jana kwenye matembezi maalumu ya kuhamasisha...
View ArticleSABUNI YA UNGA YA KLIN YAPIGWA MARUFUKU KWA KUKOSA UBORA...
Baadhi ya pakiti za sabuni ya Klin.Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limeagiza kuondolewa sokoni kwa sabuni ya unga iitwayo Klin, kwa sababu haina viwango vya ubora vinavyotakiwa.Aidha, limeutaka umma...
View ArticleMREMA AKABIDHI URAIS KWA LOWASSA MWAKA 2015...
Augustine Mrema (kushoto) na Edward Lowassa.Mwenyekiti wa TLP, Augustine Mrema amesema biashara ya kugombea urais mwaka 2015 haiwezi kamwe na ametaka ifanywe na Waziri Mkuu wa zamani, Edward...
View ArticleWANANCHI WALIA NA PETROLI, DIZELI, SIMU KWENYE BAJETI...
Waziri wa Fedha, Dk William Mgimwa.Wananchi wa kada mbalimbali nchini wameendelea kutoa maoni yao kuhusu bajeti ya serikali iliyosomwa bungeni Alhamisi na Waziri wa Fedha, Dk William Mgimwa.Mhadhiri wa...
View ArticleMLIPUKO WAMKATA VIGANJA MWENDESHA PIKIPIKI DAR...
Mkazi wa Mbagala Chemichem, Abdul Said ambaye ni mwendesha pikipiki amekatika viganja vya mikono miwili baada ya kulipukiw a na kitu alichopewa kushika.Hata hivyo Said anashikiliwa na polisi na...
View ArticleHUKUMU YA UPATU WA DECI KUTOLEWA JULAI 26
Baadhi ya wanachama wa DECI wakiwa wamekusanyika nje ya makao makuu ya ofisi za DECI, Mabibo, Dar es Salaam mara baada ya serikali kutangaza kufungwa ofisi hizo.Hukumu ya kesi ya kuendesha na...
View ArticleBOMU LALIPUKA MKUTANO WA CHADEMA NA KUACHA SABA MAHUTUTI ARUSHA...
Baadhi ya majeruhi wa mlipuko kwenye mkutano wa Chadema, Arusha jana.Mwezi mmoja baada ya kutokea mlipuko katika Kanisa Katoliki la Joseph Mfanyakazi la Olasiti mjini hapa mlipuko mwingine umetokea...
View ArticleBINTI ACHOMWA MOTO HADI KUFA KWA KUOMBA AOLEWE NA MTU WA UKOO WAKE...
Anju Yadav (kushoto) na Ranjit Yadav.Msichana wa miaka 19 amechomwa moto hadi kufa na mama yake kupigwa baada ya kuwaomba wazee wa kijiji kuruhusiwa kuolewa na mvulana mmoja kutoka kijijini hapo na...
View ArticleMAMLAKA YA HEWA YAHADHARISHA MAWIMBI MAKUBWA BAHARINI...
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imehadharisha upepo kuwapo na upepo mkali baharini unaopiga kilometa 40 kwa saa na mawimbi yenye ukubwa unaozidi mita 2.0.Taarifa ya hali ya hewa iliyotolewa...
View ArticleNASSARI ALAZWA HOSPITALI KUFUATIA KIPIGO KIKALI...
Joshua Nassari.Habari zilizopatikana kutoka Arusha zinasema kwamba Mbunge wa Arumeru Mashariki ambaye alikuwa ni Meneja Kampeni wa Chadema katika uchaguzi wa Kata ya Makuyuni wilayani Monduli, mkoani...
View ArticleCHEKA TARATIBU...
Baba kamuuliza mwanawe: "Vipi mtihani ulikuwaje?" Mtoto: "Rahisi mno, kila swali jibu lake nimejaza YESU!" Baba: "Kwa vipi?" Mtoto: "Wakati nikiwa njiani kwenda shule, nikaona bango limeandikwa YESU NI...
View ArticleWABUNGE WAANZA KUICHAMBUA SERIKALI DODOMA LEO...
Kikao cha Bunge la Jamhuri ya Muungao mjini Dodoma.Leo Wabunge wanaanza kujadili kwa siku saba mfululizo bajeti ya Serikali ambayo ilisomwa na Waziri wa Fedha, Dk William Mgimwa wiki iliyopita. Bajeti...
View ArticleCHADEMA WAGOMEA BUNGE KUFUATIA SHAMBULIO LA BOMU ARUSHA...
Baadhi ya wabunge wa Chadema wakiwa nje ya jengo la Bunge mjini Dodoma. Kutoka kushoto ni Mchungaji Peter Msigwa, Godbless Lema, John Mnyika na Tundu Lissu.Wakati Jeshi la Polisi nchini limesema...
View ArticleBINTI AMCHINJA KICHWA BABA YAKE BAADA YA KUBAKWA...
Baadhi ya wanakijiji wakiwa wameweka ulinzi mkali kuzuia binti huyo asikamatwe na polisi.Binti mmoja amekata kichwa cha baba yake na kukitenganisha na kiwiliwili kwa kutumia panga baada ya baba huyo...
View Article