Quantcast
Channel: ziro99blog
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAJAWAZITO WASIOONGOZANA NA WENZA WANYIMWA MATIBABU KLINIKI

Idadi kubwa ya wajawazito katika Tarafa  ya Mwese, Halmashauri ya Wilaya  ya  Mpanda  mkoani Katavi,  wanalazimika  kutohudhuria kliniki na kujifungulia  nyumbani, kwa madai ya kukataliwa kuhudumiwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MADIWANI MONDULI WAMSIKITISHA LOWASSA

Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa ameelezea kusikitishwa kwake na utendaji usioridhisha wa madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli, akitolea mfano kushindwa kutekeleza maamuzi ya vikao vya Baraza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JWTZ KUJENGA DARAJA MABWEPANDE

Manispaa ya Kinondoni imeingia makubaliano na Shirika la Mzinga Holdings la Jeshi la Wananchi (JWTZ) mkoani Morogoro kwa ajili ya ujenzi wa daraja katika eneo korofi la Mabwepande.Makubaliano hayo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI ASEMA TANZANIA INA HIFADHI YA KUTOSHA YA NAFAKA

Tanzania ina hifadhi ya kutosha ya chakula cha mazao ya nafaka, kinachofikia tani 244,830.Chakula hicho kilichohifadhiwa  katika Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula nchini (NFRA). Waziri wa Kilimo,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SEKRETARIETI YA AJIRA YABAINI VYETI 1,035 VYA KUGHUSHI

Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma imeshabaini  vyeti vya kughushi  1,035 kutoka kwa baadhi ya waombaji  kazi tangu  mpango wa kuhakiki vyeti ulipoanza hadi  mwezi  Mei mwaka huu.Hayo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS WA MALAWI AOA KWA SHILINGI MILIONI 155

Baada ya miaka 30 ya kuishi bila ya ndoa, Rais mpya wa Malawi, Profesa Peter Mutharika, hatimaye amefunga pingu za maisha na mbunge wa zamani wa Jimbo la Balaka, Gertrude Maseko.Kabla ya ndoa yao...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VYAMA VINGI NCHINI VYAMKUNA RAIS KIKWETE

Rais Jakaya Kikwete amesema mfumo wa vyama vingi vya siasa ni mzuri, umeleta matumaini kwa kupanua wigo na kufungua zaidi uwanja wa kisiasa na kuiwajibisha Serikali.Hata hivyo, Rais Kikwete amesema...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DALADALA LAACHA NJIA NA KUUA WATU SITA, LAJERUHI ZAIDI YA 12

Watu sita wamekufa na wengine 12 kujeruhiwa katika ajali, iliyohusisha magari manne kugongana.Yaligongana katika barabara ya Bagamoyo, eneo la njia panda ya Lugalo katika Manispaa ya Kinondoni jijini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

YASEMAVYO MAGAZETI YA LEO JUMAPILI - JUNI 22

         

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICHO LA TATU

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KLOSE EQUALS RECORD AS GERMANY AND GHANA DRAW EPIC

Miroslav Klose equalled Ronaldo’s World Cup scoring record, finding the net with his first touch after coming on in Germany’s exhilarating 2-2 draw with Ghana.A cagey first half saw few clearcut...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANGAZO LA NAFASI ZA MASOMO KWA WALIOMALIZA KIDATO CHA NNE 2004-2013

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI Simu:022-2120412/2120403/2120417 Faksi:022-2113271, Tovuti: www.moe.go.tzTANGAZO LA NAFASI ZA MASOMO KIDATO CHA TANO KWA TAHASUSI ZA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 18

Peter Odemwingie akishangilia na wenzake bao pekee aliloifungia timu yake ya Nigeria dhidi ya Bosnia katika mechi ya Kundi F ya Kombe la Dunia iliyochezwa kwenye Uwanja wa Pantanal mjini Cuiaba jana....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 17

Mshambuliaji wa Ujerumani, Miroslav Klose akishangilia baada ya kufunga bao la kusawazisha dhidi ya Ghana katika mechi ya Kundi G ya Kombe la Dunia iliyochezwa kwenye Uwanja wa  Castelao mjini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 16

Mchezaji wa Iran, Mehrdad akirusha daluga lake hewani kuwania mpira na  mshambuliaji wa Argentina, Sergio Kun Aguero katika mechi ya Kundi F kuwania Kombe la Dunia baina ya timu hizo iliyochezwa kwenye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 15

Wachezaji wa Costa Rica (kutoka kushoto) Giancarlo Gonzalez, Patrick Pemberton na Oscar Duarte wakilia kwa furaha baada ya timu yao kuichapa Italia bao 1-0 katika mechi ya Kundi D ya kombe la Dunia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LAST-GASP ORIGI FIRES BELGIUM INTO THE LAST 16

Divock Origi struck a late winner as Belgium booked their place in the last 16 with an unconvincing 1-0 win over Russia at the Maracana.The Lille forward came off the bench to crash high into the net...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 13

Wachezaji wa timu ya Taifa ya Ubelgiji wakimpongeza mwenzao, Divock Origi baada ya kufunga bao pekee lililoivusha timu yao kuingia kwenye hatua ya 16 Bora ya Fainali za Kombe la Dunia zinazoendelea...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TBL YACHIMBA KISIMA KING'ONG'O

Zaidi ya familia 700 katika mtaa wa Kimara King’ongo Kata ya Saranga,jijini Dar es Salaam,  zinatarajiwa kunufaika na msaada wa mradi wa kisimacha maji uliotolewa na Kampuni ya Bia nchini (TBL)...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANASHERIA 400 KUJIUNGA NA TAASISI YA MAFUNZO

Taasisiya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo Tanzania (LST) inatarajia kudahili wanafunzi takribani 400 kwa ajili ya mafunzo kwa vitendo, yanayotarajia kuanza Agosti mwaka huu.Akizungumza juzi Ofisa...

View Article
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live