Quantcast
Channel: ziro99blog
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 0

Kaimu Meneja wa Mafao ya Matibabu Dk. Lucy Simbila akizungumza kabla ya Kumkaribisha Mgeni Rasmi Kaimu Mganga Mkuu Mkoa wa Geita Dk. Ndinisyu Daniel (kushoto) kufungua zoezi hilo. Wengine ni Dr. Ali...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAFANYABIASHARA WALIOPOTEZA MALI MCHIKICHINI WAORODHESHWA

Wiki moja baada ya moto kuteketeza soko la Mchikichini, wafanyabiashara wa soko hilo waliopoteza mali zao wameorodheshwa majina yao ili kusaidiwa ikiwemo orodha hiyo kupelekwa kwenye taasisi za fedha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 16

Kaburi la aliyekuwa mwongozaji filamu maarufu nchini Tanzania, George Otieno Okumu maarufu kama 'Tyson' mara baada ya mazishi yake yaliyofanyika kijijini kwao Siaya, nchini Kenya jana. Tyson alifariki...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 15

Jeneza lenye mwili wa marehemu George Tyson likiwa limewekwa tayari kwa waombolezaji kuanza zoezi ya utoaji heshima za mwisho kwa mwili wa marehemu kijijini kwake Siaya, Kenya jana.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 14

Waombolezaji wakipita mbele ya jeneza lenye mwili wa marehemu George Otieno Okumu 'Tyson' kutoa heshima za mwisho kabla ya mazishi yaliyofanyika kijijini kwake Siaya, nchini Kenya jana.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 13

Waombolezaji wakiwa wameketi kusubiria zoezi la kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa aliyekuwa mwongozaji maarufu wa filamu nchini Tanzania, George Otieno Okumu 'Tyson' kijini kwake Siaya, nchini Kenya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DC AAGIZA KUKAMATWA WAGANGA WA JADI WANAOSAIDIA WAJAWAZITO

Mkuu wa Wilaya Kibondo, Venance Mwamotto ametoa agizo kukamatwa kwa waganga wa kienyeji wanaowapa wajawazito dawa za kuwasaidia kujifungua.Mkuu huyo wa Wilaya amesema kwamba vitendo hivyo vinasababisha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

EAC KUREKEBISHA SHERIA YA SOKO LA PAMOJA

Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kwa kushirikiana na nchi wanachama inazifanyia kazi sheria ambazo ni vikwazo kwa utekelezaji wa Itifaki ya Soko la Pamoja iliyosainiwa mwaka 2010.Katibu Mkuu wa EAC,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PROFESA MWANDOSYA AONYA WASOMI KUTEGEMEA VYETI

Wasomi wengi nchini wameshindwa kujiajiri kutokana na kutojua kuwa  elimu waliyonayo imewafungua akili ili waweze kufanya mambo yao wakiwa na uelewa mzuri hali inayowafanya kutegemea vyeti...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JARIBIO CHANJO YA MALARIA LAONYESHA MAFANIKIO

Tanzania ni nchi ya kwanza katika bara la Afrika kufanya jaribio la chanjo ya ugonjwa wa malaria ambapo watu watatu waliofanyiwa majaribio ya chanjo hiyo imeonesha mafanikio makubwa.Chanjo hiyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TMAA YAOKOA BILIONI 1.6/- VITA YA UTOROSHAJI MADINI

Wakala wa Ukaguzi wa Madini Tanzania (TMAA) umefanikiwa kudhibiti utoroshaji wa madini yenye thamani takribani Sh bilioni 15.72 katika viwanja vitatu vya ndege hapa nchini tangu mwezi Julai 2012 hadi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MADEREVA WATATU WA BODABODA WAFA KWA AJALI

Madereva watatu wa bodaboda wamekufa katika matukio matatu tofauti yaliyohusisha ajali za barabarani.Katika tukio la kwanza, Ally Omary (29) amekufa papo hapo na abiria wake kupata majeraha baada ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WABUNGE WANOGESHA MIAKA 25 YA UASKOFU WA NGALALEKUMTWA

Spika wa Bunge la Tanzania, Anne Makinda ameongoza wananchi wa Mkoa wa Iringa waishio Dar es Salaam kwenye harambee ya kuchangia Jubilee ya Miaka 25 ya Askofu Tarcisius Ngalalekumtwa wa Jimbo Kuu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANAUME AJINYONGA KWA WIVU WA MAPENZI

Mwanaume mmoja aliyejulikana kwa jina la Cosmas Njiliwi (45) mkazi wa Kijiji cha Msikisi, Kata ya Namatutwe Halmashauri ya Wilaya Masasi mkoani Mtwara, amejinyonga kwa kutumia shuka yake kwa kile...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSAKO WA VITA DHIDI YA UJANGILI SASA ANGANI NA ARDHINI...

Ahadi za wadau wa uhifadhi na vita dhidi ya ujangili nchini wameanza kutimiza ahadi zao baada ya jana kukabidhi helikopta ya kisasa itakayotumika katika kazi hiyo maalumu kwa ajili ya Pori la Akiba la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS MPYA MALAWI KUOA WIKI IJAYO, ALIISHI MIAKA 30 BILA MKE

Wiki mbili baada ya kuitwaa rasmi Ikulu ya Malawi, Rais mpya wa nchi hiyo, Profesa Peter Mutharika anatarajiwa kufunga ndoa na Gertrude Maseko Jumamosi ijayo, baada ya kuishi maisha ya ukapera kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHUHUDA ASIMULIA MWENZAO ALIVYOUAWA KWA BOMU ZANZIBAR

Siku moja baada ya mlipuko wa kitu kinachosadikiwa kuwa ni bomu na kusababisha kifo na kujeruhi watu saba eneo la Darajani mjini Unguja, mmoja wa majeruhi ameelezea jinsi mwenzao alivyouawa wakati...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

COSTA RICA SHOCK WOEFUL URUGUAY

Costa Rica pulled off the first shock of the 2014 World Cup with a richly deserved 3-1 Group D win over Uruguay in Fortaleza.Having fallen behind to an Edinson Cavani penalty, Costa Rica hit back with...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ITALY'S BALOTELLI CONDEMNS ENGLAND TO OPENING DEFEAT

Mario Balotelli headed the winner as England made a losing start at the World Cup, going down 2-1 to Italy in Manaus.The striker pounced on Antonio Candreva's back=post cross early in the second half...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

GERVINHO AND BONY STRIKE AS IVORY COAST SINK JAPAN

Gervinhoheaded the winner as Ivory Coast scored a quick-fire double to come from behind and beat Japan2-1 in their Group C clash in Recife.The former Arsenalforward nodded in Serge Aurier's delicious...

View Article
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live