Quantcast
Channel: ziro99blog
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LEO NI MAADHIMISHO YA SIKU YA MAZINGIRA DUNIA

Waziri wa nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira, Dk. Binilith Mahenge leo atafungua maadhimisho ya siku ya Mazingira dunia yatakayofanyika kitaifa katika mkoani hapa.Akizungumza na waandishi wa habari...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DC APONGEZWA KUPIGA MARUFUKU STAILI YA 'KATA K'

Mkuu wa Wilaya  ya Sumbawanga, Mathew Sedoyeka amepongezwa na vijana wilayani  humo  kwa uamuzi  wake  wa  kuwapiga  marufuku  vijana  wote  wa kiume  popote wilayani  humo  kuvaa  suruali kwa mtindo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UMATI YATOA BAISKELI 40 KWA WAHUDUMU WA AFYA RUFIJI

Chama cha Uzazi na Malezi Bora Tanzania (UMATI) kimekabidhi  baiskeli  40 zenye thamani ya sh milioni 4.8 wahudumu wa afya ya uzazi na ujinsia ngazi ya jamii waliopo katika Kata za Chumbi 'A' na Bungu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIKIKA YATAKA WABUNGE WAPIGIE DEBE BAJETI YA AFYA

Asasi ya kiraia ya SIKIKA imewataka wabunge kuishawishi Serikali kuongeza bajeti ya Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, kwa lengo la kukabiliana na tatizo la ukosefu wa dawa muhimu na vifaa tiba katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YAWAONYA MAKANDARASI MAFISADI

Serikali imeonya makandarasi wenye tabia ya kuhonga watumishi wa Serikali ili wapatiwe zabuni za ujenzi wa miradi mbalimbali kuacha mara moja.Onyo hilo lilitolewa  mwishoni mwa wiki na Katibu Mkuu wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LAPF WAWEKA KIWANGO CHA MISAADA KWA JAMII

Mfuko wa Pensheni LAPF umesema kuanzia sasa misaada ya kijamii  itakayotolewa na mfuko huo utakuwa ni kati ya Sh 500,000 na Sh milioni tatu.Uamuzi huo unatokana na mfuko huo kupokea maombi mengi,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WASIOONA WAOMBA KUPATIWA MSAADA WA FIMBO NYEUPE

Chama cha Wasioona Tanzania (TLB) Manispaa ya Dodoma wamewaomba wasamaria kuwasaidia kupata fimbo nyeupe  zitakazowatambulisha.Mratibu wa mradi wa Ulingo wa majadiliano kuhusu uwezeshwaji, ujumuishwaji...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAJAMBAZI WAUA, WAPORA SHILINGI MILIONI 20 ARUSHA

Watu wawili wanaosadikiwa kuwa ni majambazi wakiwa na silaha aina ya shortgun wamepora kiasi cha Sh milioni 20 kutoka kwa mtumishi wa duka la kubadilishia fedha za kigeni la Northern Bureua de Change...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHILINGI BILIONI 7 ZATENGWA KUKABILI KERO YA MAJI DAR

Serikali imetenga Sh bilioni saba katika mwaka wa fedha 2014/15, kwa ajili ya  kulipa fidia kwa wananchi ili kupisha mradi wa bwawa la Kidunda, litakalotumika kukabili adha ya maji jijini Dar es...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMA MZAZI WA ZITTO KABWE AFARIKI DUNIA KWA SARATANI

Mama mzazi wa Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto, Shida Salum, amefariki dunia baada ya kusumbuliwa kwa muda mrefu na maradhi ya saratani. Akizungumza na mwandishi, Dar es Salaam jana, mtoto wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MTOTO WA BOKSI KUZIKWA KWA HESHIMA ZOTE

Msiba wa mtoto Nasra Mvungi (4), aliyeteswa kwa kufungiwa katika boksi kwa zaidi ya miaka mitatu, ambako ndiko alikokuwa akipewa chakula, kwenda haja kubwa na ndogo na kulala, imeibua simanzi jijini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICHO LA TATU

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YASEMAVYO MAGAZETI YA LEO JUMATATU - JUNI 2

       

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 17

Meneja Kiongozi wa Idara ya Uhusiano na huduma kwa Wateja wa Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Eunice Chiume akifurahia jambo na Mhariri Mtendaji wa  New Habari (2006), Absalom Kibanda wakati...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 16

Daladala zikipita kwenye kituo cha Mwenge, Dar es Salaam bila kusimama popote ikiwa ni siku ya kwanza tangu wasafirishaji hao kuamriwa kuacha kutumia kituo hicho na kuanza kutumia Kituo cha Makumbusho...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 15

Warembo 12 wanaotarajiwa kuwania taji la Mrembo wa Mkoa wa Kilimanjaro mwaka 2014 wakiwa katika pozi la picha kwenye Hoteli ya Sal Salnero mjini Moshi. Shindano hilo linatarajiwa kufanyika Juni 6,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 14

Mwenyekiti wa Kikundi cha Wanawake wafanyakazi wa Airtel Tanzania "Airtel Diva", Aminitin Mbamba (kulia) akikabidhi kwa niaba ya wenzake msaada wa moya kati ya viti viwili vya magurudumu, machela za...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

FRANK LAMPARD ANNOUNCES CHELSEA DEPARTURE

Chelsea's all-time record goalscorer Frank Lampard announced on Monday he was leaving the Londoners after a 13-year spell with the Stamford Bridge club.The England World Cup midfielder, who joined the...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

"CONFUCIUS" WA UDOM WATOA MISAADA KWA YATIMA

Taasisi ya 'Confucius' ya Chuo Kikuu cha Dodoma kimetoa misaada ya huduma za utafiti wa afya na dawa zenye thamani ya Shilingi milioni moja kwa Kituo cha watoto yatima cha Matumaini kilichopo mjini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAITI AKUTWA AKIELEA MACHIMBO YA KOKOTO TEMEKE

Maiti  mwanamume aliyetambulika kwa jina la Hussein Seif (40) amekutwa akielea kwenye mashimo ya machimbo ya kokoto, Wilaya ya Temeke. Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Temeke, Engelbert Kiondo alisema,...

View Article
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live