Quantcast
Channel: ziro99blog
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAZARA YATAKIWA KULIPA FIDIA KWA KUSTAAFISHA KABLA YA UMRI

Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imeiamuru Mamlaka ya Reli Tanzania na Zambia (TAZARA) iwalipe fidia wafanyakazi 270 kwa kuwastaafisha kwa lazima kabla ya umri halali wa kustaafu. Wafanyakazi hao...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PINDA KUSHIRIKI MKUTANO WA MASHAURIANO DART

Mkutano wa mashauriano ya uwekezaji wa awamu ya kwanza ya Mradi wa Mabasi yaendayo Haraka Dar es Salaam (Dart) unafanyika leo huku mgeni rasmi akitarajiwa kuwa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda. Katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TRENI YA KWENDA BARA KUANZA SAFARI LEO

Huduma ya usafiri wa treni ya abiria  kuelekea bara zinaanza rasmi leo, huku, Kampuni  ya Reli ya Tanzania (TRL) ikiwahakikishia wananchi kutokuwa na hofu juu ya usafiri huo. Usafiri huo ulisitishwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HATARI! MACHINJIO 20 TU YALIYOSAJILIWA KATI YA 900

Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) imesema kati ya machinjio zaidi ya 900 yaliopo nchini, ni 20 pekee yamesajiliwa jambo linalochangia huduma mbovu isiyozingatia viwango vinavyotakiwa. Imesema ilitoa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NBAA WAZINDUA MITAALA MIPYA YA MASOMO

Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu za Serikali (NBAA) imezindua mitaala  mipya ya masomo na imetakiwa kutoa elimu inayokidhi viwango na kumuwezesha mhitimu kufanya kazi mahali popote...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DPP AIOMBA MAHAKAMA KUU ITUPE OMBI LA SHEHE PONDA

Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP), ameiomba Mahakama Kuu  Kanda ya Dar es Salaam kutupilia mbali ombi la Katibu wa Taasisi na Jumuiya za Kiislamu Shekhe  Issa Ponda kusimamisha kesi ya uchochezi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ALOE VERA NI SALAMA KWA UTENGENEZAJI VIPODOZI

Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamiii imesema matumizi  ya mmea wa Aloe Vera ni salama katika utengenezaji wa vipodozi. Kutokana na hali hiyo, ndio maana Mamlaka ya Chakula, Dawa  na Vipodozi (TFDA) hadi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATUMISHI 11 WA SERIKALI WAKAMATWA KWA MIHADARATI

Watumishi 11 wa vitengo vinavyodhibiti dawa za kulevya, wamekamatwa au kuhusishwa na biashara ya dawa za kulevya katika maeneo mbalimbali nchini. Hayo yalisemwa  bungeni mjini hapa jana na Naibu Waziri...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ALIYEUAWA NA MAJAMBAZI KATIKA UPORAJI ARUSHA ATAMBULIWA

Aliyekuwa katika tukio la uporaji wa Sh milioni 20 kutoka kwa mtumishi wa duka la kubadilishia fedha za kigeni la Northern Bureau de Change,  ametambuliwa kuwa ni mwalimu mstaafu wa jijini  Arusha,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AJIANDAA KUZUIA SIKU 60 ZA NYONGEZA BUNGE LA KATIBA

Mjadala wa Bunge Maalumu la Katiba, umeanza kuibuka upya wakati Bunge la Bajeti likienda ukingoni ambapo Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Tanzania Bara, Mwigulu Nchemba ameibuka na hoja ya kupinga nyongeza ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICHO LA TATU

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YASEMAVYO MAGAZETI YA LEO JUMANNE - JUNI 03

       

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 17

Kamanda wa Polisi mkoani Iringa, Ramadhani Mungi akionesha lori la Kampuni ya Dhandho lililochomwa moto na dereva na utingo wake baada ya kufaulisha mali zote kwa lengo la kuiba kando ya barabara ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 16

Waziri Mkuu Mizengo Pinda akifungua mkutano wa Majadiliano wa Kutangaza Mradi wa Mabasi yaendayo Haraka (Dar Rapid Transit) kwenye ukumbi wa Mlimani City, jijini Dar es Salaam leo.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 15

Mkurugenzi wa Masoko wa BASATA, Vivian Shalua akisisitiza jambo kwa waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa Siku ya Msanii (Msanii Day) kwenye Hoteli ya Sea Cliff, Dar es Salaam mapema leo. Kulia ni...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 14

Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa , Eng. Angelina Madete akijibu maswali ya walimu wa Shule ya Sekondari Lumala iliyoko wialayani Ilemela, mkoa wa Mwanza (hawapo pichani) aliyoulizwa kuhusu suala...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

FASTJET YAONGEZA SAFARI ZA MBEYA NA MWANZA

Kampuni ya ndege ya Fastjet imetangaza kuongeza safari zake hapa nchini ambapo sasa itaruka kwenda Mbeya mara mbili kwa siku na Mwanza mara tatu.Meneja wa Uchumi na Biashara wa kampuni hiyo, Jean Uku...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAWILI KORTINI KWA KUSAFIRISHA NA KUUZA MENO YA TEMBO

Wafanyabiashara wawili wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashitaka ya kusafirisha na kuuza meno ya tembo yenye thamani ya Sh bilioni 5.4.Washitakiwa hao...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATAKA MAPATO YA GESI YATUMIKE KWENYE AFYA NA ELIMU

Asilimia kubwa ya watanzania waliohojiwa na taasisi ya utafiti wamesema mapato yatakayopatikana kutokana na gesi yatumike katika huduma za afya na elimu.Hayo yalisemwa jana, Dar es Salaam na Mtafiti wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

"MRADI WA DART KUTOA FURSA YA UBUNIFU AFRIKA"

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  amesema Tanzania ni miongoni mwa nchi za kwanza katika Jumuiya ya Afrika Mashariki kuingia kwenye ubia na sekta binafsi katika mradi mkubwa wa usafirishaji abiria.Alitoa...

View Article
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live