Quantcast
Channel: ziro99blog
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live
↧

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICHO LA TATU...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AJALI YA BARABARANI YAUA WANAFUNZI WATANO MTWARA...

Zelothe Steven.Siku tatu baada ya kutokea ajali mkoani Lindi na Singida zilizogharimu maisha ya Watanzania 27, wakazi wa Mtwara nao wameingia katika majonzi baada ya gari dogo kupamia wanafunzi wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBUNGE WA CHALINZE KUZIKWA KESHO KIJIJINI KWAKE BAGAMOYO...

Said Bwanamdogo.Mbunge wa Chalinze, Said Bwanamdogo (46),  aliyefariki dunia jana katika Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Mishipa ya Fahamu Muhimbili (Moi), Dar es Salaam, alikokuwa amelazwa kwa matibabu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAJUMBE 201 WATAKAOUNDA BUNGE LA KATIBA KUTANGAZWA WIKI IJAYO...

Waziri Mkuu Mizengo Pinda akikagua marekebisho ya ukumbi wa Bunge kwa ajili ya Bunge la Katiba.Maandalizi ya Bunge Maalumu la Katiba, yamefikia hatua nzuri zaidi na wiki ijayo majina  201 ya wajumbe wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICHO LA TATU...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TICTS YAKATAA MALIPO YA HUDUMA KWA SHILINGI KUANZIA JUMATATU IJAYO...

Huduma ya makontena bandarini Dar es Salaam inayofanywa na kampuni ya TICTS.Kampuni ya Kuhudumia Kontena Bandarini (TICTS), imepiga marufuku wateja wake kulipa kwa Shilingi kuanzia Jumatatu na kutaka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAHAKAMA YAAMURU BINTI WA MIAKA 20 ABAKWE NA KUNDI LA WANAUME...

KUSHOTO: Polisi wakiwa wamewakamata baadhi ya watuhumiwa. KULIA: Binti huyo akiwasili hospitalini.Mwanamke mwenye miaka 20 ametelekezwa akiwa mahututi hospitalini jana baada ya mahakama moja ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KLABU YA YANGA YATOA TAMKO KUHUSU SUALA LA EMMANUEL OKWI...

Uongozi wa Yanga umeamua kuweka hadharani ukweli kuhusiana na usajili wa mshambuliaji wake wa kimataifa kutoka nchini Uganda, Emmanuel Okwi ambaye kamati ya maadili na hadhi za wachezaji imemzuia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANAFUNZI WALIOFELI KIDATO CHA PILI KURUDIA DARASA...

Wanafunzi wa Kidato cha Pili wakiwa katika maandalizi ya mtihani wa Taifa.Imeelezwa kuwa, licha ya matokeo ya kidato cha pili kutolewa 'kimyakimya'  kupitia ofisi za Elimu za Kanda na kubandikwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICHO LA TATU...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MILIONI 10/- ZAKWAMISHA SHEKHE KWENDA INDIA KWA MATIBABU...

Shekhe wa Mkoa wa Mara, Athuman Magee, amelazwa katika Hospitali ya Muhimbili jijini Dar es Salaam kwa takribani wiki moja sasa akisumbuliwa na matatizo ya pingili za uti wa mgongo huku shilingi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PINDA ARIDHISHWA NA KAZI YA UTANDAZAJI WA BOMBA LA GESI...

Mafundi na wataalamu wa kigeni wakiendelea na kazi ya utandazaji bomba la gesi.Waziri Mkuu Mizengo Pinda amesema kazi ya kutandaza mabomba ya gesi itokayo Mtwara kwenda Dar es Salaam itakamilika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAGASHEKI AIPONDA RIPOTI YA OPERESHENI TOKOMEZA UJANGILI...

Balozi Khamis Kagasheki akitangaza kujiuzulu wadhifa wake bungeni mjini Dodoma.Aliyekuwa Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi Khamis Kagasheki amekosoa ripoti ya Kamati ya Bunge ya Maliasili, Ardhi na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BARABARA YA MOROGORO-DODOMA SAFI, MKULIMA AKWAMA JUU YA MTI KWA SAA SABA...

Magari ya mizigo kutoka pande zote barabara ya Morogoro- Dodoma, yakipita kwenye daraja la Mkundi - Magole, wilaya ya Kilosa Mkoa wa Morogoro, baada ya jana asubuhi kukamilishwa na kuruhusiwa kupita...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BASI LA TAQWA LAGONGANA USO KWA USO NA LORI NZEGA...

Basi la Taqwa.Dereva wa basi la kampuni ya Taqwa, Adam Ibrahim (50) amekufa papo hapo huku abiria kumi wakijeruhiwa baada ya basi alilokuwa anaendesha kutoka Dar es Salaam kwenda Bujumbura, Burundi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MLINZI WA KIONGOZI WA CHADEMA AMDHALILISHA MEYA KIGOMA...

Meya Bakari Beji.Wakati mvua ikisambaratisha mikutano ya Chadema mkoani hapa, tafrani imezuka jukwaani kwa mmoja wa walinzi wa viongozi walio kwenye msafara wa chama hicho kumkunja shati na kumtoa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICHO LA TATU...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIJIJI VYOTE LINAKOPITA BOMBA LA GESI KUPATIWA UMEME...

Moja ya vijiji lilikopita bomba la gesi.Waziri Mkuu Mizengo Pinda amesema njia pekee ya kuondokana na hujuma dhidi ya bomba la gesi linalosafirisha gesi Mtwara - Dar es Salaam ni kuviwekea umeme vijiji...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MIMBA ZA WANAFUNZI ZAMTIA MATATANI OFISA MBEYA...

Serikali mkoani Mbeya imetoa muda wa siku saba kwa ofisa mtendaji wa kata ya Nanyala, Theofrida Hankungwe kuhakikisha amewasilisha taarifa zilizochukuliwa kwa wanafunzi watano waliopata mimba mwaka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICHO LA TATU...

View Article
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live