Quantcast
Channel: ziro99blog
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MFANYABIASHARA WA MADINI AJIUA KWA RISASI ARUSHA

Mfanyabiashara wa madini, Richard Lucas (29) anadaiwa kujiua kwa kujipiga risasi kichwani baada ya kusababisha ajali mbili tofauti. Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Arusha, Liberatus Sabas alisema...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANASHERIA MKUU Z'BAR ALIA NA TUME YA PAMOJA YA FEDHA

Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), Othman Masoud Othman, amesema kushindwa kuanza kazi kwa Tume ya Pamoja ya Fedha ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ndiyo chanzo kikubwa cha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WABUNGE WA TANZANIA EAC WAPINGA SPIKA KUNG'OLEWA

Wabunge wa Tanzania katika Bunge la jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA), wamesisitiza kutounga mkono hoja ya kumng’oa Spika wa bunge hilo, Margaret Zziwa, kwa kuwa haina maslahi na Tanzania na wana...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WASHITAKIWA KESI YA 'MTOTO WA BOKSI' KUHOJIWA UPYA POLISI

Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Morogoro, imekubali ombi la upande wa mashitaka, katika kesi ya kula njama na kufanya ukatili dhidi ya mtoto Nasra Mvungi (4), kutaka washitakiwa wahojiwe upya Polisi,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HUU NDIO MKOA WENYE GHARAMA ZAIDI KATIKA TANZANIA

Wakati Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka Dar es Salaam (Dart) awamu ya kwanza, unapanga kuongeza nauli za daladala kwa wakazi wa Dar es Salaam ili kukabiliana na tatizo sugu la foleni, taarifa ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 3

Rais Jakaya Kikwete akishiriki dua pamoja na waombolezaji wengine kumwombea msanii maarufu wa vichekesho Said Ngamba 'Alwatan Small' wakati alipokwenda kuhani msiba nyumbani kwa marehemu Tabata...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 2

Mke wa Rais, Mama Salma Kikwete akimpa pole mjane wa marehemu Said Ngamba 'Mzee Small' wakati alipokwenda kuhani msiba wa msanii huyo nyumbani kwake Tabata Kimanga jana.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 1

Rais Jakaya Kikwete akisaini kitabu cha maombolezo nyumbani kwa marehemu Mzee Small, Tabata Kimanga, Dar es Salaam jana. Kulia ni mtoto wa marehemu na kushoto ni Rais wa Shirikisho la Filamu nchini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 0

Baadhi ya waombolezaji wakiendelea na dua nyumbani kwa marehemu Said Ngamba 'Mzee Small' jana.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

YASEMAVYO MAGAZETI YA LEO - JUNI 11

      

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SUMATRA YATAKA USHIRIKIANO KUDHIBITI KUPAA NAULI ZA DALADALA

Wananchi wametakiwa kutoa ushirikiano kwa Mamlaka ya Usafiri wa Nchikavu na Majini (Sumatra) kuondoa tatizo la magari ya abiria kupandisha nauli kiholela.Meneja Mawasiliano wa Sumatra, David Mziray...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NHC YAKABIDHI NYUMBA 40 BENKI KUU

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC),  Felix Maagi jana alikabidhi nyumba 40 ambazo zimenunuliwa na Benki Kuu ya Tanzania (BoT) huku akizitaka taasisi nyingine kujitosa kujengewa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DAWASCO YAELEZA CHANZO CHA SHIDA YA MAJI DAR

Shirika la Maji Safi na Maji Taka Dar es Salaam (Dawasco), limesema tatizo la maji katika baadhi ya maeneo jijini limetokana na kuzimwa kwa mitambo pamoja na kupasuka kwa bomba la maji  Ruvu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MUUNGANO WA MAKANISA KUOMBEA KATIBA MPYA

Muungano wa makanisa uitwao Africa Let’s Worship (AFLEWO) umeandaa mkesha wa kusifu, kuabudu na maombi kwa Taifa kwa ajili ya mchakato wa Katiba mpya na Uchaguzi Mkuu mwakani.Kwa mujibu wa waandaaji wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NKASI WAITAKA 'CHAPA' YA DAGAA WA KIGOMA

Mkurugenzi Mtendaji  wa Halmashauri  wa Wilaya  ya Nkasi mkoani Rukwa, Kilimuka Garigunga anataka dagaa ambao wamepewa jina la ‘dagaa wa Kigoma’ kubadilishwa na kuitwa wa Nkasi kwa kile alichodai...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MCHIMBAJI MADINI ALAZWA BAADA YA KUJIPIGA RISASI

Mchimbaji madini wa Kampuni ya TanzaniteOne wa Mji mdogo wa Mirerani wilayani Simanjiro katika Mkoa wa Manyara, Mosses Komba (28) anadaiwa kujipiga risasi akiwa ndani ya gari. Komba ambaye amelazwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TRL YASITISHA SAFARI ZA TRENI YA BARA

Uongozi wa Kampuni ya Reli Tanzania (TRL) umesitisha safari za treni ya abiria kutokana na kutetereka kwa  mojawapo ya madaraja katika Bonde la Mto Ruvu katika  reli ya kati. Taarifa iliyotolewa jana...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAMACHINGA WATAWANYWA KWA MABOMU MWANZA

Polisi  mkoani hapa wamelazimika kutumia mabomu ya machozi  kuwatawanya machinga waliocharuka baada ya kuona vibanda vyao walivyojenga maeneo yasiyoruhusiwa  vikibomolewa.Machinga zaidi ya 10...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PROFESA TIBAIJUKA ANUSURIKA KIFO AJALI YA GARI

Waziri wa  Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi,  Anna Tibaijuka juzi alinusurika kifo baada ya gari alilokuwa akisafiria kutoka Bukoba kwenda Dodoma kupata ajali  kwa kugonga punda katika Kijiji cha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BAJETI KUU KUSOMWA LEO BUNGENI DODOMA

Watanzania leo wanaelekeza macho na masikio yao mjini Dodoma, kusikiliza Hotuba ya Bajeti ya Serikali, inayotarajiwa kusomwa saa 10 kamili bungeni na Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum.Tayari Waziri...

View Article
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live