Quantcast
Channel: ziro99blog
Browsing all 4652 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIKONGWE WA MIAKA 97 ASAKA MTOTO WA NDOA

Babu aliyefunga ndoa mwaka 2011 akiwa na umri wa miaka 94, Mathias Kisokota  mkazi wa Kitongoji  cha Isunta, Namanyere  wilayani Nkasi  ambaye kwa sasa ana umri wa miaka 97, amehamia na mkewe katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKING NEWS!! GWIJI WA VICHEKESHO MZEE SMALL AFARIKI DUNIA

Habari zilizotufikia muda mfupi uliopita zinasema kwamba, msanii mkongwe wa vichekesho nchini Said Ngamba, maarufu kama Mzee Small amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Taifa ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DAR WAELEZEA KILIO CHA ENEO LA KUFANYIA BIASHARA

Baadhi ya wafanyabiashara ndogo wa Dar es Salaam ambao wamegoma kuondoka katika maeneo yasiyoruhusiwa, wamesema suluhisho pekee ni wao kutafutiwa maeneo mazuri ya kufanyia shughuli zao.Wafanyabiashara...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KALAMBO YATUMIA SHILINGI MILIONI 8.5 KUKABILI UKIMWI

Ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Kalambo Mkoa wa Rukwa kupitia kitengo cha Ukimwi, imetumia Sh milioni 8.5 kuimarisha mapambano dhidi ya ugonjwa huo. Fedha hizo zimetumika kununulia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ATAKA WANAVYUO KUIAMINI CCM

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimewahakikishia wanavyuo kwamba changamoto zote wanazokabiliana nazo ikiwamo suala la mikopo pamoja na mazingira yasiyo rafiki kwao, vitaendelea kufanyiwa ufumbuzi na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BOKO HARAM YATAWANYA WASICHANA MATEKA NJE YA NIGERIA

Mamia ya wasichana waliotekwa na kundi la Boko Haram nchini hapa wanadaiwa kuonekana wakioga na kuwapikia wanamgambo wa kundi hilo. Aidha taarifa zinaeleza wengi wa wasichana hao wanashikiliwa  katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YATENGA BANDARI KAVU KWA MATAIFA JIRANI

Serikali kupitia Wizara ya Uchukuzi imetenga ardhi itakayotumika kama bandari kavu kwa nchi jirani zinazotumia bandari ya Dar es Salaam. Hatua hiyo ya kutenga ekari 160 katika eneo la Jitegemee, upande...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHADEMA YABOMOKA CHUO KIKUU MWANZA

Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye amepeleKa ‘msiba’ Chadema, baada ya kusomba wanachama wa chama hicho wanaosoma katika Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustine (Saut),...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIKWETE AAGIZA POLISI KUPELELEZA MAOFISA USHIRIKA WEZI

Wizi na ubadhirifu katika vyama vya ushirika, mwisho wake upo karibu baada ya Rais Jakaya Kikwete kuagiza Jeshi la Polisi, kuanza upelelezi wa maofisa ushirika wanaoshiriki vitendo hivyo na kuwanyima...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

GAZETI LA MAWIO LATAKIWA KUOMBA RADHI

MkurugenziMtendaji wa Kampuni ya AP Media & Consult Ltd, Peter Keasi ametaka gazeti la Mawio limlipe Sh bilioni mbili kama fidia, kwa kile anachodai kuchapisha habari ambazo zimesababisha kushuka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BAJETI KUU YA MATRILIONI YASUBIRIWA KWA HAMU

Bunge linaendelea na mkutano wake wa 15 mjini Dodoma leo, huku shughuli kubwa wiki hii ikiwa ni kuwasilishwa kwa Bajeti Kuu ya Serikali ya matrilioni ya shilingi. Bajeti hiyo ni ya mwaka wa fedha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHANZO WA UGONJWA WA WASICHANA KUANGUKA SHULENI CHATAJWA

Ugonjwa wa kuanguka na kupiga kelele unaowakumba baadhi ya  wasichana katika shule mbalimbali nchini, umetajwa kusababishwa  na  maambukizi ya hofu inayosababisha mwili kupata dalili za magonjwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YASEMAVYO MAGAZETI YA LEO JUMATATU - JUNI 09

             

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NBAA, BOT WATAKIWA KUFANYA KAZI PAMOJA KUSAIDIA UMMA

Waziri wa Viwanda na Biashara, Abdallah Kigoda ametaka Benki Kuu Tanzania (BoT) kwa kushirikiana na Bodi ya Uhasibu Tanzania (NBAA), kuhakikisha wanaboresha utoaji huduma za kifedha, ili kupanua wigo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAADHIMISHO SIKU YA KUCHANGIA DAMU KUFANYIKA KIGOMA

Maadhimisho ya siku ya wachangia damu duniani inatarajiwa kufanyika kitaifa mkoani  Kigoma huku Mwenyekiti wa Taasisi  ya Wanawake na Mandeleo (Wama) Mama Salma Kikwete akitarajiwa kuwa mgeni rasmi....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHERIA YA KUSIMAMIA TAASISI NDOGO ZA HUDUMA ZA FEDHA YAANDALIWA

Muswada wa Sheria ya Kusimamia Taasisi ndogo za Huduma za Fedha, zikiwemo Vicoba, unaandaliwa na serikali. Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba alipojibu swali la mbunge wa Nkenge,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAREKANI KUENDELEA KUSAIDIA MAENDELEO

Serikali ya Marekani imehakikishia Tanzania kwamba itadumisha uhusiano kudumisha  na kazi iliyoko mbele ni kuhakikisha inapiga hatua zaidi na siyo kurudi nyuma. Balozi Mark Childress alisema hayo jana...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YAANDAA KANUNI KUDHIBITI MATUMIZI YA MTANDAO

Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Profesa Makame Mbarawa amesema kuwa wizara yake inatayarisha Kanuni, zitakazodhibiti matumizi mabaya ya mtandao wa intaneti, ikiwemo uwekezaaji wa picha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAPACHA WA MIAKA 6 WAFA MAJI WAKIOKOANA

Watoto pacha wenye umri wa miaka sita, wamekufa baada ya kutumbukia kwenye kisima cha maji wakati wakicheza. Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Pwani, Ulrich Matei alisema watoto hao  walitumbukia kwenye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UPELELEZI WA KESI YA RWAKATARE NA WENZAKE BADO

Upelelezi wa kesi ya kula njama ya kudhuru kwa sumu inayomkabili Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chadema, Wilfred Rwakatare na mwenzake Ludovick Joseph, haujakamilika. Wakili Mwandamizi wa Serikali,...

View Article
Browsing all 4652 articles
Browse latest View live