Quantcast
Channel: ziro99blog
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATAKIWA KUACHA KUDHALILISHA BARAZA LA MAWAZIRI

Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika  Mashariki, Dk, Richard Sezibera ameasa wabunge wa Bunge la  Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA) kuacha  tabia ya kudhalilisha  Baraza la Mawaziri. Amesema baraza hilo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBUNGE WA UKEREWE AACHIWA HURU TUHUMA ZA UCHOCHEZI

Mbunge wa Ukerewe, mkoani Mwanza,  Salvatory  Machemli  ameachiwa huru na Mahakama baada ya upande wa mashitaka kushindwa kuthibitisha mashitaka ya uchochezi yaliyokuwa yakimkabili. Hukumu  hiyo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

OFISA MASOKO KIZIMBANI KWA TUHUMA ZA KUIBA MILIONI 69.8/-

Ofisa Masoko wa Kampuni ya NN General Supplies Simon Lyatuu (47) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na mashitaka ya wizi wa Sh milioni 69.8.Lyatuu alifikishwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DK BILAL AHIMIZA UMUHIMU WA UTUNZAJI MAZINGIRA

Katika kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi, umetolewa mwito wa uhifadhi na utunzaji wa mazingira  kufanyika kila siku badala ya kusubiri Siku maalumu ya Maadhimisho ya Mazingira Duniani.Makamu wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YAANZA KUSAMBAZA KOMPYUTA VYUONI

Waziri Mkuu Mizengo Pinda amesema Serikali kwa sasa imeanza kusambaza kompyuta katika vyuo vikuu nchini kwa lengo la kuboresha elimu kwa wanafunzi.Pia, amesema baadaye Serikali itaanza kusambaza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HALMASHAURI DAR ZAASWA KUTUNZA MAZINGIRA

Halmashauri za Jiji la Dar es Salaam zimeaswa  kushirikiana na Serikali za Mitaa kusimamia sheria ya utunzaji wa mazingia ili kufikia malengo ya kuimarisha usafi. Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MTOTO AFARIKI DUNIA BAADA YA KUTUMBUKIA KISIMANI

Mtoto Jeremiah Nyamuhanga (2) mkazi wa Machimbo amekufa baada ya kutumbukia kwenye kisima cha maji karibu na nyumbani kwao.Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ilala, Marietha Minangi alisema, mtoto huyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAHISANI WAANZA KUTEKELEZA AHADI BAJETI YA 2013/2014

Kilio cha wabunge kuhusu baadhi ya wizara kukosa fedha kama zilivyoidhinishwa na Bunge katika Bajeti inayoisha,  kimesikika ambapo mazungumzo kati ya Serikali na wahisani, yamezaa matunda kwa baadhi ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BAJETI KUU YA SERIKALI YASUKWA

Kamati ya Bajeti  ya Bunge la Jamhuri ya Muungano, jana ilianza vikao vya siku sita na Serikali ili kutayarisha Bajeti Kuu ya Serikali, ambayo itasomwa Juni 12, mwaka huu na Waziri wa Fedha, Saada...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UGOMVI WA BABA NA MAMA WASABABISHA KIFO CHA MTOTO

Polisi mkoani  Rukwa inamshikilia baba  mzazi  huku ikimsaka  mama wa mtoto mwenye umri wa mwezi mmoja, Denis Umera aliyefariki dunia kutokana na kilichodaiwa ni ugomvi wa wazazi hao uliotokana na wivu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MACHANGUDOA WA KINYARWANDA WATIWA MBARONI DODOMA

Wanawake wanne raia wa Rwanda wametiwa mbaroni mjini Dodoma kutokana na kuingia nchini kinyemela na kujihusisha na biashara ya ukahaba. Watuhumiwa  watatu kati ya hao, Saidat  Umotoni (28), Asha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICHO LA TATU

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YASEMAVYO MAGAZETI YA LEO IJUMAA - JUNI 6

    

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 8

Waziri Mkuu mstaafu na Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa akifunua kitambaa kuashiria uzinduzi wa bwawa kubwa la maji la Leken katika kata ya Seleli wilayani Monduli leo. Bwawa hilo ambalo limegharimu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 7

Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk Fenella Mukangara (kulia), Afisa Mtendaji Mkuu wa Zantel, Pratap Ghose (kushoto) pamoja na viongozi wa Chama cha ngumi Tanzania (BFT) wakiunganisha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 6

Afisa wa Mambo ya Nje, Naomi Zegezege akipanda mti kwa niaba ya wafanyakazi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa katika kuadhimisha Siku ya Mazingira Duniani.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 5

Baadhi ya Warembo wanaowania taji la Miss Arusha wakimsikiliza kwa makini Dk Sober Mzighani wa Hospitali ya Maria Stopes ya jijini humo wakati wakipatiwa mafunzo mbalimbali yahusuyo masuala ya afya ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMPUNI 400 KUSHIRIKI MAONESHO YA 38 YA BIASHARA

Jumla ya kampuni 400 za nje zinatarajiwa kushiriki katika Maonesho ya 38 ya biashara ya kimataifa yanayotarajiwa kuanza Juni 28 mwaka huu katika viwanja vya maonesho vya Mwalimu Nyerere, Dar es Salaam...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBUNGE ALIA NA MRADI WA UMEME WA UPEPO SINGIDA

Mbunge wa Viti Maalumu, Christina Mughwai ameitaka serikali ieleze kwa nini inachelewa kutekeleza  Mradi wa Umeme wa Upepo Singida. “Katika jitihada za kutatua tatizo la umeme nchini, serikali...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TPSF YAHIMIZA MAADILI KWENYE BIASHARA

Wafanyabiashara wametakiwa kufuata maadili ya biashara ili kuepusha rushwa katika biashara.Hayo yalisemwa jana na Mkurugenzi Taasisi ya sekta binafsi(TPSF), Gideon Kaunda (pichani kushoto) katika...

View Article
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live