Quantcast
Channel: ziro99blog
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIONGOZI, WAFANYABIASHARA WA DRC WATINGA NCHINI

Viongozi pamoja na wafanyabiashara kutoka jimbo la Katanga katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) wamewasili nchini kwa ziara inayolenga kuimarisha uhusiano wa kibiashara kati ya nchi hiyo na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZANIA, UHOLANZI KUIMARISHA USALAMA SEKTA YA ANGA

Wizara ya Uchukuzi imesaini mkataba na Uholanzi kwa ajili ya kuongeza wigo wa safari za ndege  baina ya nchi  hizo (BASA)  kukabili changamoto za usafiri wa anga  pamoja na kuongeza ulinzi na usalama...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAZI YA KUSAJILI VIZAZI KUFANYWA NA SERIKALI ZA MITAA

Wizara ya Katiba na Sheria imeanza kuboresha kazi ya kusajili vizazi kwa kugatua majukumu hayo kutoka serikali kuu kwenda serikali za mitaa.Mkakati huo tayari  umeanza  kutekelezwa katika wilaya ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HOJA YA KUMNG'OA SPIKA BUNGE AFRIKA MASHARIKI BADO IKO HAI

Wabunge wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA) wamesisitiza kuwa mpango wa  kumng’oa Spika wa Bunge hilo, Margaret Zziwa liko pale pale licha ya wabunge watatu wa Tanzania kuondoa saini zao....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DIT WAANDAMANA KUPINGA KUZUIWA KUFANYA MITIHANI

Wanafunzi wa Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT) jana waliandamana kwenda Wizara ya Sayansi na Teknolojia wakidai hawajaridhishwa na uamuzi wa uongozi wa chuo kuwazuia wanafunzi 684 kufanya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TIBA ASILI WANAODAI KUTIBU UKIMWI SASA KUKAMATWA

Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii imeagiza vyombo vya dola, kukamata waganga wa jadi, wanaojitangaza kutibu magonjwa ya Ukimwi, kisukari na shinikizo la damu.Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Afya na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BABA WA 'MTOTO WA BOKSI' AKWAMA KUMZIKA MWANAWE

Safari ya mwisho ya mtoto Nasra Mvungi (4), iliyokuwa ya mateso hapa duniani, imefikia mwisho jana katika makaburi ya Kola, Manispaa ya Morogoro, bila kusindikizwa na baba yake mzazi, Rashid...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAULI ZA DALADALA DAR KUPANDA HADI SHILINGI 800

Hatimaye picha halisi ya gharama ya Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka Dar es Salaam (Dart) awamu ya kwanza, imeonesha nauli ya basi kutoka maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam kwenda na kurudi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

FABREGAS SHOULD REJOIN ARSENAL, SAYS CARZOLA

Arsenal midfielder Santi Cazorla would love to see Spanish compatriot Cesc Fabregas rejoin the London side with a return to the Premier League mooted for the Barcelona player.Fabregas, who came through...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICHO LA KATUNISTI

*Katuni kwa Hisani ya Mchoraji Said Michael

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YASEMAVYO MAGAZETI YA LEO JUMATANO - JUNI 04

     

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 3

Baadhi ya wasanii wa filamu nchini wakiweka sawa jeneza lenye mwili wa Mwongozaji filamu mashuhuri nchini, George Otieno Okomu 'Tyson' tayari kwa zoezi la kutoa heshima za mwisho kwenye Viwanja vya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 2

Aliyekuwa mke wa marehemu George Tyson, Yvonne Cherry 'Monalisa' akiwa na binti yake pekee aliyezaa na Tyson, kabla ya zoezi la kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa marehemu kwenye Viwanja vya Leaders...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 1

Mwendeshaji wa kipindi cha televisheni cha The Mboni Show, Mboni Masimba (wa pili kushoto) akionekana mwenye mawazo mno muda mfupi kabla ya kuuaga mwili wa George Otieno 'Tyson' mapema leo kwenye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 0

Mwendeshaji wa kipindi cha televisheni cha Wanawake Live, Joyce Kiria (katikati) akili kwa uchungu wakati akielezea alivyomfahamu marehemu George Otieno 'Tyson' kabla ya zoezi ya kuuaga mwili wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 16

Music Coordinator wa ZIFF, Edward Lusela akisisitiza jambo wakati wa mkutano na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusiana na wasanii watakaotoa burudani kwenye Tamasha la Kimataifa la Filamu la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 15

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na wabunge, kutoka kushoto Sylvester Mabumba (Dole), Zainab Kawawa (Viti Maalum), Vita Kawawa (Namtumbo) na Mwanaharakati wa Haki za Wanawake na Watoto, Mama...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 14

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad akizungumza na Balozi Mdogo wa Misri anayemaliza muda wake, Walid Ismail, wakati balozi huyo alipomtembelea ofisini kwake Migombani, mjini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 13

Baadhi ya wafanyakazi wa Wizara ya Uchukuzi na Taasisi zake wakiwa kwenye zoezi la usafi wa mazingira katika eneo la ufukwe wa Bandari ya Dar es Salaam wakati wa maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YARIDHISHWA NA KITENGO CHA USALAMA TPA

Serikali imeeleza kuridhishwa na utendaji kazi wa kitengo cha usalama cha Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) kutokana na kilivyoimarisha ulinzi katika bandari na hivyo kuchangia kuongeza ufanisi. Waziri...

View Article
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live