Quantcast
Channel: ziro99blog
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BIASHARA YA NGONO YADAIWA KUCHOCHEA MAAMBUKIZI YA UKIMWI

Biashara ya ngono kuingiliana kinyume na maumbile pamoja na matumizi ya dawa za kulevya vimetajwa kuwa kikwazo katika mapambano dhidi  ya ugonjwa wa Ukimwi. Mwakilishi wa Tume ya Taifa ya kudhibiti...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MVUA SASA KUNYESHA KWA WASTANI

Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini (TMA) imesema  mvua zitakazoendelea kunyesha kwa sasa ni za kiasi.Wakati TMA ikitoa taarifa hiyo jana, usafiri wa mabasi yaendayo mikoani kutoka jijini Dar es Salaam jana...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AOMBA WABUNGE KUCHANGIA POSHO ZAO KWA WAATHIRIKA WA MAFURIKO

Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Profesa Mark Mwandosya ameomba Bunge Maalumu la Katiba, kukata posho ya siku moja ya wajumbe wote wa Bunge hilo ili kuwapa pole waathirika wa mafuriko nchini, ikiwa ni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KINANA AGEUKA MBOGO KUHUSU ZABUNI ZA UJENZI

Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana, amejikuta akigeuka mbogo na kuwaomba radhi wakazi wa kata ya Kirema, wilayani Mpanda mkoani Katavi, baada ya kubaini kuwa, watendaji wa Serikali wamempatia zabuni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WALALAMIKIA BARABARA YA SINZA - MAGOMENI MOROCCO

Watumiaji  wa Barabara ya Sinza  hadi Magomeni Morocco kupitia eneo la kwa Mtogole, wameilalamikia  Manispaa ya Kinondoni  kwa kuchelewesha upanuzi wa barabara hiyo na hivyo kuhatarisha usalama...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKAPA AHIMIZA WAFUGAJI KUPELEKA WATOTO SHULENI

Rais mstaafu Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa ametaka jamii ya wafugaji wa Kimasai wilayani Monduli mkoani Arusha kuhakikisha inapeleka watoto wao. Ameshauri wahakikishe wanasimamia na kufuatilia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CRDB YACHANGIA SHEREHE ZA MUUNGANO WASHINGTON DC

Benki ya CRDB imekabidhi Sh 800,000 kwa ubalozi wa Tanzania nchini MarekaniÊ kuchangia gharama za maandalizi ya maadhimisho ya kihistoria ya miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Akikabidhi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICHO LA TATU

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 24

Kazi ya kuuhifadhi mwili wa nguli wa muziki wa dansi nchini, Muhidin Gurumo ikiendelea huko Kisarawe jana.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 23

Mmoja wa waigizaji mahiri wa filamu hapa nchini, Mahsen Awadhi 'Dk Cheni' (wa kwanza kushoto waliokaa) alikuwa miongoni wa maelfu ya waombolezaji kwenye msiba wa Mzee Gurumo jana.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 22

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Mohammed Gharib Bilal akimpa mkono wa pole Mzee Kassim Mapili kufuatia msiba wa mkongwe mwenzake Mzee Muhidin Gurumo, jana.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BARABARA ZILIZOATHIRIWA NA MVUA SASA ZAANZA KUPITIKA

Sehemu kubwa ya barabara zilizoathiriwa na mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbali mbali  hususani jijini Dar es Salaam, zimeanza kupitika baada ya matengenezo ya dharura.Msemaji wa Wizara ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 20

Kutolewa hadharani kwa Hati ya Muungano, kumeanza kuwachanganya baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba waliojiundia kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).Hali hiyo imejitokeza wakati...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAJAMBAZI YAPORA FUKO LA FEDHA BENKI YA BARCLAYS

Majambazi wenye silaha wamepora fedha zinazokisiwa kufikia Sh milioni 300 katika Benki ya Barclays tawi la Kinondoni `TX  Market' jijini Dar es Salaam.Mashuhuda wa tukio hilo, wamedai kuwa uporaji huo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SUMATRA YAONYA UPANDISHAJI HOLELA WA NAULI

Mamlaka ya Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (SUMATRA) imeonya wanaopandisha  kiholela nauli za mabasi wakati maandalizi ya sikukuu ya Pasaka.Ofisa Mfawidhi wa Sumatra Kanda ya Mashariki, Conrad Shiyo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANAFUNZI, SHULE ZINAZOFANYA VEMA KUZAWADIWA

Katika kutekeleza Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN) katika sekta ya Elimu, Serikali itazawadia wanafunzi na shule zilizofanya vyema katika mitihani ya Elimu ya msingi na Sekondari.Hayo yalisemwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

POLISI YATANGAZA DAU MILIONI 10/- KUMNASA MLIPUAJI MABOMU

Baada ya mlipuko wa bomu kutokea juzi jijini Arusha, polisi imesihi wananchi kuchukua hadhari, hususan maeneo yenye mkusanyiko na kutoa taarifa  juu ya wanaowahisi mienendo yao si mizuri.Aidha polisi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAFURIKO DAR YAUA WATU 41

Mafuriko yaliyotokea Jijini Dar es salaam mwishoni mwa wiki yamesababisha vifo vya watu 41. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadiki alisema vifo 25  vimethibitishwa. Ameagiza polisi kufanya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UJENZI WA MTANDAO WA MAWASILIANO WA SERIKALI WAANZA

Serikali imesaini mikataba miwili na Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) pamoja na Soft Net kwa ajili ya ujenzi wa mtandao wa mawasiliano wa serikali utakaohusisha taasisi 72.Akizungumza jana Dar es Salaam...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VETA KUPIMA VYUO KWA KUANGALIA WANAOJIAJIRI

Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi (VETA) imesema wataanza kuvipima vyuo vyake binafsi kwa kuangalia idadi ya wahitimu wanaojiajiri na kuajiriwa huku wakisema somo la ujasiriamali ni lazima katika...

View Article
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live