Quantcast
Channel: ziro99blog
Browsing all 4571 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATAKA MFUKO WA NHIF UGHARIMIE NAULI ZA WAGONJWA

Baadhi ya wanachama wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), wametaka kuongezwa kwa huduma za malipo ya nauli na posho kwa wanachama wanaokwenda kwenye matibabu ya rufaa nje ya vituo vyao, sambamba na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

YASEMAVYO MAGAZETI YA LEO ALHAMISI - SEPTEMBA 18

       

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PINGAMIZI LA MWANASHERIA MKUU DHIDI YA TLS LATUPILIWA MBALI

Pingamizi la Mwanasheria Mkuu (AG) dhidi ya ombi la kibali cha kufungua kesi ya kupinga vikao vya Bunge Maalumu la Katiba vinavyoendelea mkoani Dodoma limetupiliwa mbali katikaMahakama Kuu Kanda ya Dar...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANAFUNZI AJIUA KWA KULAZWA HOSPITALINI

Katika hali isiyotarajiwa, mwanafunzi wa Kidato cha Tano katika Shule ya Sekondari ya Wavulana Ihungo Manispaa ya Bukoba mkoani Kagera, Ezra Gerald (19), amejinyonga hadi kufa kwa kutumia shuka ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MTUHUMIWA KESI YA UGAIDI ALALAMIKIA POLISI

Mtuhumiwa katika kesi ya ugaidi, Abdallah Maginga, ameiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha, kumruhusu kutohudhuria siku za kesi na abaki magereza, kutokana na maumivu makali anayodai anayapata sehemu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAFA KATIKA AJALI WAKITOKA KUZIKA MWENZAO MUSOMA

Watu wawili wamekufa na wengine watano kujeruhiwa baada ya magari mawili, likiwamo basi dogo la abiria walilokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori la mafuta.Kwa mujibu wa Kaimu Kamanda wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ASKARI WA DORIA WASHAMBULIWA KWA BOMU SONGEA

Siku chache baada ya majambazi kuvamia Kituo Kikuu cha Polisi wilayani Bukombe mkoani Geita, kuua askari wawili na kuiba silaha za moto, watu wasiofahamika wamewajeruhi askari watatu waliokuwa doria...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAANDAMANO YA CHADEMA MARUFUKU, VYUO VIKUU 14 VYAYALAANI

Jeshila Polisi nchini limepiga marufuku maandamano ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), yaliyotarajiwa kuanza kufanyika leo katika maeneo mbalimbali nchini.Jeshi hilo limeonya kuwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MABINTI PACHA WALIOUNGANA KUHITIMU KIDATO CHA NNE MAKETE

Hatua ya kwanza ya ndoto ya kuzama katika elimu ya mabinti pacha walioungana kiwiliwili, Consolata na Maria Mwakikuti (18) wa Kijiji cha Ikonda wilayani Makete  mkoa mpya wa Njombe, inatarajiwa kutimia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

YASEMAVYO MAGAZETI YA LEO IJUMAA - SEPTEMBA 19

           

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MABORESHO ELIMU YAONGEZA PhD MPYA 79 MLIMANI, CHUO KIKUU HURIA

Wakati Serikali ikipambana kuhakikisha wimbi la wanafunzi wanaomaliza kidato cha sita nchini, wanapata fursa ya kujiunga na elimu ya juu, wanafunzi 9,649 wenye sifa ya kupata mikopo  ili wajiunge na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KATIBA PENDEKEZWA IMEKOSEWA, SASA KUCHAPISHWA UPYA

Uongozi wa Bunge Maalumu la Katiba, umemuagiza Mpigachapa Mkuu wa Serikali, kupiga chapa upya Katiba Inayopendekezwa, baada ya kubaini makosa ya uchapaji, ikiwemo kuandikwa kwa makosa kwa mjumbe wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BINTI WA MBUNGE WA TEMEKE ATWAA TAJI LA MISS TANZANIA 2014

Siti, binti wa Mbunge wa Temeke Abbas Mtemvu, usiku wa kuamkia leo ameibuka kidedea katika kinyang’anyiro cha kumsaka mrembo wa Tanzania  (Redd’s Miss Tanzania 2014) katika shindano lililofanyika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

YASEMAVYO MAGAZETI YA LEO JUMATATU - OKTOBA 13

     

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANAFUNZI WAPEWA MAFUNZO YA MATUMIZI BORA YA FEDHA

Benki ya Barclays tawi la Iringa imetoa mafunzo ya utunzaji wa fedha kwa wanafunzi wa shule ya sekondari ya Highlands ya mjini hapa waliokiri matumizi ya pombe yanazifanya baadhi ya familia zao kukosa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAONESHO YA BIASHARA YA TIBA ASILI YA MWAFRIKA YAJA

Tanzania inatarajiwa kuwa mwenyeji wa Maonesho ya Biashara ya Kimataifa ya Tiba Asili ya Mwafrika yatakayofanyika kuanzia Novemba 16, mwaka huu kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja, Dar es Salaam.Maonesho...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KACHERO WA KENYA ATOA USHAHIDI MAHAKAMANI DAR

Mkuu wa Uchunguzi wa Maandishi wa Jeshi la Polisi Kenya, John Kimani ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam kuwa saini zinazodaiwa kusainiwa na Ramadhani Balenga katika hati ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAWEKEZAJI WA GESI NA MAFUTA WAMIMINIKA ZANZIBAR

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema taasisi mbalimbali za kimataifa zinazojishughulisha na masuala ya mafuta na gesi zimeanza kujitokeza kuomba fursa ya kuwekeza katika sekta hiyo.Maombi hayo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YASEMAVYO MAGAZETI YA LEO ALHAMISI - OKTOBA 16

      

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

OFISI YA TAKWIMU YASAMBAZA MATOKEO YA SENSA

Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), jana imezindua rasmi usambazaji wa matokeo ya sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012 kimkoa na kuanza na Mkoa wa Pwani.Uzinduzi huo uliambatana na semina kwa watendaji...

View Article
Browsing all 4571 articles
Browse latest View live