Quantcast
Channel: ziro99blog
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JELA MIAKA 15 KWA KUMCHEZEA MTOTO SEHEMU ZA SIRI

Mahakama ya Wilaya ya Ilala, imemhukumu kifungo cha miaka 15 jela, Hassan Suleiman (23) mkazi wa Kitunda, kwa kupatikana na hatia ya kumdhalilisha mtoto wa miaka mitatu kwa kumchezea sehemu zake za...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIKWETE AFANYA ZIARA YA GHAFLA UWANJA WA NDEGE DAR

Rais Jakaya Kikwete, amefanya ziara ya kushtukiza katika maeneo kunakofanyika maandalizi ya kukinga nchi dhidi ya maambukizi ya virusi vinavyosababisha homa hatari ya ebola, ikiwemo katika Uwanja wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MCHAKATO KATIBA MPYA WASITISHWA, SASA KUREKEBISHWA ILIYOPO

Mchakato wa kuandika Katiba mpya kabla ya Uchaguzi Mkuu ujao umekwama, baada ya viongozi wa vyama vya siasa vyenye wabunge na Rais Jakaya Kikwete, kukubaliana kusitisha mchakato huo.Badala yake...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

IPTL YAMDAI ZITTO KABWE FIDIA YA SHILINGI BILIONI 500

Kampuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL), imefungua kesi ya madai katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, wakimtaka Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe awalipe fidia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TIGO WAANZA KUTOA GAWIO KWA WATEJA WAKE

Katika kuhamasisha utunzaji wa fedha ulio salama hasa kwa wakazi wa vijijini, Kampuni ya simu za mkono ya Tigo imeanza kutoa gawio la faida kwa wateja wake wanaoweka fedha zao katika Tigo-Pesa kama...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WABUNGE WAPENDEKEZA WALARUSHWA WANYONGWE

Baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wamesema wala rushwa pamoja na wahujumu uchumi adhabu yao iwe ni kunyongwa. Wametaka  Katiba mpya inayoenda kuandikwa itamke hivyo ili kufanya viongozi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANAFUNZI WA KIKE WANUSURIKA KUFA KWA MOTO

Zaidi ya wanafunzi 96 wa kike wa Kidato cha Nne katika Shule ya Sekondari African Muslim iliyopo mjini Moshi, wamenusurika kifo baada ya bweni walilokuwa wakilala, kuteketea kwa moto usiku wa kuamkia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UTULIVU WATAWALA MITIHANI DARASA LA SABA

Wanafunzi wa darasa la saba mkoani hapa wamefanya mitihani yao ya kuhitimu elimu hiyo kwa utulivu na usalama mkubwa kutokana na kuwepo kwa maandalizi ya kutosha.Ofisa Elimu wa Mkoa, Raymond Mapunda...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

YASEMAVYO MAGAZETI YA LEO ALHAMISI - SEPTEMBA 11

     

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KESI YA TRAFIKI FEKI YAENDELEA KUPIGWA KALENDA

Kesi ya aliyejifanya askari polisi wa usalama barabarani, James Hassan (45) imeendelea kupigwa kalenda kutokana na mshitakiwa kutofika mahakamani hapo licha ya kuwepo kwa mashahidi wawili.Kesi hiyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSAKO WA BODABODA ZENYE NAMBA ZA NJANO WAANZA

Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (SUMATRA) imesema usajili wa pikipiki maarufu kama ‘bodaboda’ utafanywa pamoja na kukagua namba zenye rangi ya njano huku zikiwa zinafanya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BOT ILIHUSIKA KUMPATA MZABUNI KUKAGUA DHAHABU, ADAI YONA

Aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, Daniel Yona (73) ameieleza Mahakama kuwa, Benki Kuu (BoT)  ilihusika kusimamia mchakato wa kutafuta kampuni ya kukagua uzalishaji wa dhahabu nchini kwa njia ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWAKYEMBE AJIVUNIA KUFUFUA TRL, KUPOKEA MABEHEMU 3,345

Moja ya mafanikio ya wazi ya Serikali ya Awamu ya Nne katika usafirishaji, ni kufufuliwa kwa Shirika la Reli Tanzania (TRL), ambalo lilikuwa limekufa na kupoteza uwezo wake wa kiuendeshaji.Akizungumza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ABAKWA, ANYONGWA KISHA MWILI WAKE KUTUPWA

Mkazi wa Kijiji cha Bupu wilaya ya Mkuranga mkoani Pwani, Forodesi Ntabegera (30) ameuawa kwa kubakwa, kisha kunyongwa na watu wasiojulikana, kisha mwili wake kutupwa kichakani.Kaimu Kamanda wa Polisi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DAWA ZA KUONGEZA UCHUNGU NI HATARI KWA WAJAWAZITO

Matumizi ya dawa za kienyeji kwa ajili ya kuongeza uchungu na kujifungua mapema, imeelezwa kuchangia zaidi vifo kwa wajawazito.Mganga Mkuu wa Mkoa Kigoma, Dk Leonald Subi alisema hayo mjini Kigoma...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RASIMU YA KATIBA MPYA KUPIGIWA KURA SEPTEMBA 21

Wakatikundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) likishinikiza Bunge Maalumu la Katiba lisitishwe haraka iwezekanavyo, Bunge hilo limejiandaa kuwasilisha Katiba inayopendekezwa Septemba 21.Hatua hiyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HAWA NDIO WATAKAOCHEZESHA MECHI ZA LIGI KUU YA VODACOM

Ikiwa imebaki siku moja kufunguliwa kwa pazia la Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2014-15, mambo tayari yamenoga baada ya kukamilika kwa safu ya waamuzi watakaochezesha mechi za ufunguzi wiki hii.Ofisa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WABUNIFU WA MAJENGO KUKUTANA LEO DAR

Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili,  Ali Hassan Mwinyi, leo anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika ufunguzi wa mkutano wa 22 wa wataalamu wa wabunifu majengo na wakadiriaji majenzi utakaofanyika kwa siku moja...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UTALII WACHANGIA SHILINGI TRILIONI 3 KWENYE PATO LA TAIFA

Sekta ya Utalii nchini imekuwa ikichangia pato la Taifa kwa kiasi kikubwa, ambapo kwa mwaka jana ilichangia dola bilioni 1.8 (Sh trilioni 3) katika pato hilo.Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Utalii...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBIO ZA MWENGE KUZINDUA MIRADI 72 MKOANI MWANZA

Miradi 72 ya maendeleo ya Sh bil. 23 inatarajiwa kuzinduliwa na Mwenge wa Uhuru, utakaokimbizwa kwa siku nane mkoani hapa, ambao utapokelewa leo kutoka mkoa wa Simiyu.Hayo yalielezwa jana na Mkuu wa...

View Article
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live