Quantcast
Channel: ziro99blog
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAKIMBIZI 162,156 WA BURUNDI WAPEWA URAIA WA TANZANIA

Rais Jakaya Kikwete ametoa hati za uraia wa Tanzania kwa wakimbizi 162,156 kutoka nchi jirani ya Burundi na ambao wameishi nchini kwa miaka 42, tangu mwaka 1972.Alitoa hati hizo juzi mjini Tabora,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MVUVI AJERUHIWA NA KIBOKO, WAWILI WAPONEA CHUPUCHUPU

Shukurani Kando (34) ambaye ni mvuvi na mkazi kitongoji cha Kalumo kijiji cha Nambubi, Kata ya Kisorya amejeruhiwa kwa kung’atwa na kiboko na wengine wawili kunusurika wakati wakivua katika Ziwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUU WA WILAYA AKAANGWA KWENYE TUME YA MAADILI

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe, Anna Mwalende ameanika mbele ya Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma ushahidi wake dhidi ya Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, Mrisho Gamba na kueleza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KOMBANI ANUSURU AJIRA ZA DC, DEC MAABARA ZA 'KIKWETE'

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Celina Kombani ametoa msaada muhimu wa Sh milioni 40 na bati 300 kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa vyumba vya maabara katika shule 12 za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

POLISI YAZUNGUMZIA WIMBI LA UTEKAJI WATOTO DAR

Wakati hofu juu ya usalama wa watoto katika maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam ikizidi kutanda miongoni mwa wazazi na walezi, Polisi imekanusha kuwapo kwa matukio ya utekaji nyara watoto...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WALIOKUFA LORI LA PETROLI WAFIKIA WATANO, POLISI ALIYEJARIBU KUZUIA AAMBULIA...

Idadi ya watu waliokufa kutokana na ajali ya moto wa lori lililopinduka na kisha kulipuka baada ya watu kulivamia kwa lengo la kujipatia mafuta, imeongezeka na kufikia watano kutoka vitatu vya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MDAU WA BLOGU YA ZIRO99 AAMUA KUCHANA NA UKAPERA...

Ilikuwa furaha, nderemo na vifijo!! Wakiwa na nyuso za furaha Bwana Elijah Eusebio Kitosi na Bi Upendo Deogratius Lufundya mara baada ya kufunga pingu za maisha kwenye Kanisa Katoliki la Maximillian...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TBS YAFUNGIA KIWANDA CHA KUZALISHA JUISI ZA U-FRESH

Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limekifunga kwa muda usiojulikana kiwanda cha U-Fresh Food Limited cha Tegeta Dar es Salaam, kwa kuzalisha juisi ya U-Fresh chini ya kwa kiwango cha ubora...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATOTO 53 WAONDOKA LEO KWENDA INDIA KWA MATIBABU

Watoto 53 wanaougua maradhi mbalimbali ya moyo wanaondoka nchini leo kwenda India kwa upasuaji ambapo wataagwa na Makamu wa Rais, Dk Ghalib Bilal.Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mratibu wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LOWASSA APONGEZA AMANI KISIWANI ZANZIBAR

Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa amewapongeza Wazanzibar na Serikali ya mseto visiwani humo kwa kudumisha amani.Akitoa salamu zake Krismasi katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT),...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANANDOA WAUAWA KWA KUCHARANGWA MAPANGA MKOANI MARA...

Watu wawili ambao ni wanandoa wameuawa kwa kukatwa mapanga na watu wasiojulikana na kisha wauaji hao kuchukua baadhi ya viungo vyao katika kitongoji cha Mwabasabi, wilaya ya Bunda, mkoani Mara.Kamanda...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HOTUBA KAMILI YA RAIS KIKWETE ALIPOZUNGUMZA NA WAZEE WA DAR ES SALAAM

HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA JAKAYA MRISHO KIKWETE, AKIZUNGUMZA NA WAZEE WA MKOA WA DAR ES SALAAM, TAREHE 22 DESEMBA, 2014ShukraniMheshimiwa Makamu wa Rais;Mheshimiwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KRISMASI YASHEREHEKEWA KWA AMANI DAR

Hali ya usalama katika jiji la Dar es Salaam imeelezwa kuwa shwari katika sikukuu ya Krismasi huku ulinzi ukiimarishwa zaidi kuelekea mwisho wa mwaka.Jiji hilo lenye mikoa mitatu ya Kipolisi ya Ilala,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ALIYELAWITI MTOTO WA MIAKA SITA ATUPWA JELA

Mfanyakazi wa nyumbani, Hatibu Adamu (20) amehukumiwa kifungo cha maisha jela baada ya kupatikana na hatia ya kumlawiti mtoto wa kike wa miaka sita.Akitoa hukumu hiyo, Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VITONGOJI 11 HAVIKUPIGA KURA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA

Wakazi wa vitongoji 11 katika  vijiji vitatu vya  halmashauri ya wilaya ya Kilombero mkoani Morogoro, wameshindwa kupiga kura kuchagua viongozi wa serikali za vitongoji na vijiji, kutokana nna migogoro...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BUBU AFANYIWA UNYAMA, ABAKWA NA WATU WATANO

Mkazi  wa kitongoji cha Chingale, kijiji cha Mtakuja kata ya Temeke katika Halmashauri ya mji wa Masasi mkoani Mtwara ambaye ni bubu, Asumini Fakihi amebakwa na watu watano wasiojulikana na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

POLISI ACHOMWA MKUKI UBAVUNI MKOANI MARA

Polisi wa kituo cha Kinesi wilayani Rorya mkoani Mara, Konstebo Deogratius amejeruhiwa kwa kuchomwa mkuki ubavuni.Alichomwa mkuki wakati akiwa na wenzake walipokuwa wakipambana kujaribu kuwaondoa zaidi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

YASEMAVYO MAGAZETI YA JUMANNE - DESEMBA 30

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DEREVA WA BODABODA AUAWA NA KUTUNDIKWA KWENYE MTI

Mwendeshapikipiki (bodaboda), mkazi wa Kitongoji cha Buriba katika mji mdogo wa Sirari wilayani Tarime mkoani Mara, Mrimi Nyabikwi (23), amekutwa amekufa na mwili wake kukutwa umening'inizwa kwenye mti...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATU 21 WANUSURIKA KIFO AJALINI WAKITOKA HARUSINI

Mtummoja amekufa na wengine 21 kujeruhiwa, baada ya basi dogo aina ya Coaster walilokuwa wakisafiria kutoka Shinyanga kwenye harusi, kurejea nyumbani kwao Morogoro kupinduka katika kijiji cha Ikugha...

View Article
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live