Quantcast
Channel: ziro99blog
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIJANA 1,200 WANUFAIKA NA MAFUNZO YA UCHIMBAJI MADINI

Vijana 1,200 watafaidika kupata mafunzo ya uchimbaji wa madini na gesi yatakayotolewa nchini kupitia Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi na Wizara ya Mambo ya Nje, Biashara na Maendeleo ya Canada...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAJUMBE BUNGE LA KATIBA WAIVAA TUME YA JAJI WARIOBA

Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wamewajia juu waliokuwa Wajumbe wa Kamati ya Kukusanya Maoni ya Katiba wakidai kuwa kazi yao ilishaisha, hivyo kuendelea kujadili masuala kuhusu Rasimu ya Katiba si...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICHO LA TATU

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

FEDHA ZA MAPATO YA GESI KUANZA KUINGIA MWAKA 2020

Mapato yatokanayo na uwekezaji katika miradi ya gesi asilia, baada ya wawekezaji kutoa gharama zao za utafiti na uwekezaji, yataanza kupokewa nchini 2020. Rais Jakaya Kikwete alisema hayo juzi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI WA ZAMANI SMZ AREJESHWA RUMANDE

Aliyekuwa Waziri katika Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) na Mwakilishi wa Jimbo la Kiembesamaki, Mansour Yussuf Himid, amefikishwa mbele ya Mahakama ya Mkoa Vuga, akikabiliwa na makosa matatu na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SURA ZOTE BUNGE MAALUMU KUJADILIWA BILA KUPIGIWA KURA

Mwenyekitiwa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, amejibu mapigo ya wanaozungumzia mchakato wa Katiba mpya nje ya Bunge Maalumu.Amesema Bunge hilo lipo kihalali na lina haki ya kujadili na hata...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YASEMAVYO MAGAZETI YA LEO ALHAMISI - AGOSTI 07

   

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SWALA OIL KUJIORODHESHA DSE KESHOKUTWA

Kampuni ya Swala Oil & Gas inayojihusisha na masuala ya uchimbaji wa mafuta na gesi, itajiorodhesha rasmi katika Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) keshokutwa. Hatua hiyo inatokana na kukamilika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MANISPAA TEMEKE YATOA MITAJI KWA WENYE VIRUSI 150

Halmashauri ya Manispaa ya Temeke imetoa mitaji ya Sh milioni 50 kwa wananchi 150 waishio na virusi vya Ukimwi baada ya kupatiwa mafunzo ya ujasiriamali na Benki za Maendeleo Vijijini (VICOBA) ili...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ALIYEMBAKA MTOTO WAKE WA KAMBO ATIWA MBARONI

Watu watano wanashikiliwa na jeshi la Polisi wilayani Muleba mkoani Kagera kwa tuhuma mbili tofauti, akiwamo aliyembaka mtoto wake wa kambo. Kamanda wa Polisi mkoani humo, Henry Mwaibambe alisema tukio...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YASEMAVYO MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI - AGOSTI 10

      

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YAONGEZA NGUVU KUKABILIANA NA UGONJWA WA EBOLA

Serikali imeongeza nguvu ya kukabiliana na mlipuko wa ugonjwa wa ebola iwapo utatokea, kwa kuwapima wasafiri na wageni wanaoingia nchini kupitia viwanja vikubwa vitano vya ndege.Vipimo hivyo vitafanywa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZANIA KUUNDA JESHI LA KULINDA AMANI AFRIKA

Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) limeendelea kung’ara kimataifa, ambapo jana jeshi hilo lilitamkwa kuwa miongoni mwa majeshi ya nchi za Afrika, yatakayounda Jeshi la Kulinda Amani Afrika.Taarifa za...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MFUMUKO WA BEI WAONGEZEKA KIDOGO

Ofisa ya Takwimu ya Taifa (NBS) imesema mfumko wa bei wa mwezi Julai, umeongezeka kidogo kutoka asilimia 6.4 ilivyokuwa Juni hadi  asilimia 6.5.Hata hivyo, alisema  bei za bidhaa za vyakula,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KESI YA 'WATOTO WA MBWA' YAAHIRISHWA

Kesi inayowakabili vijana saba wanaojiita ‘watoto wa mbwa’, imeahirishwa hadi Agosti 15 mwaka huu, kutokana na hakimu anayesikiliza shauri hilo, kutokuwepo mahakamani.Akiahirisha shauri hilo juzi,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICHO LA TATU

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DARAJA LA KIGAMBONI KUKAMILIKA JUNI MWAKANI

Ujenzi wa Daraja la Kigamboni katika Manispaa ya Temeke, Dar es Salaam umekamilika kwa asilimia 60 na linatarajiwa kuanza kutumika Juni mwakani.Waziri wa Ujenzi, Dk John Magufuli alifanya ziara ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MIKASA YAANZA KUMWANDAMA MCHUNGAJI RWAKATARE

Unaweza kusema ni mikasa imeaanza kumwandama Mchungaji Getrude Rwakatare baada ya Wizara ya Ardhi, Nyumba na Makazi kuvunja nyumba nne zilizojengwa ndani ya kiwanja namba 314 zilichopo eneo la Mbezi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BABA MZAZI ASAKWA KWA KUMPA UJAUZITO BINTI YAKE

Mkazi wa Kijiji cha Bwekela wilayani Igunga mkoani Tabora, Kashinje Shima, anatafutwa na Uongozi wa kijiji hicho, kwa kumpa ujauzito mwanawe wa kumzaa mwenye umri wa miaka 17.  Ofisa Mtendaji wa Kijiji...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

INDONESIA, KENYA KUNUNUA MAHINDI NA MPUNGA NCHINI

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera, amesema  kilio  cha wakulima kuhusu ukosefu wa masoko ya mazao kitakuwa ni cha  kihistoria muda mfupi ujao baada ya nchi ya Kenya na Indonesia  kueleza kusudio...

View Article
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live