Quantcast
Channel: ziro99blog
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KESI DHIDI YA WAUMINI WA MOROVIAN YAAHIRISHWA

Kesi inayowakabili waumini 29 wa Kanisa la Moravian Jimbo la Misheni Mashariki na Zanzibar,  lililopo Mwananyamala imeahirishwa hadi Septemba 4, mwaka huu kutokana na baadhi ya washitakiwa kutofika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZANIA KINARA WA UDHIBITI UTAKATISHAJI FEDHA HARAMU

Tanzania imetajwa kuwa miongoni mwa nchi barani Afrika, ambazo zimeimarisha mifumo yake ya ndani ya kudhibiti utakatishaji wa fedha haramu.Shirika linaloweka viwango vya kimataifa vya uimarishaji...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MLEMAVU MBARONI KWA DAWA ZA KULEVYA

Mkazi wa Vijibweni, Said Tindwa (36), mwenye ulemavu wa mguu anashikiliwa na Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam kwa tuhuma za kufanya biashara ya kulevya kwa kutumia ulemavu wake wa mguu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YASEMAVYO MAGAZETI YA LEO JUMANNE - AGOSTI 05

     

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HAKIMU AHUKUMIWA FAINI MILIONI 1.5/- KWA RUSHWA YA MILIONI 2/-

Aliyekuwa Hakimu Mkazi Mahakama Wilaya ya Urambo, Oscar Bulugu, amekutwa na hatia ya kuomba na kupokea rushwa ya Sh milioni 2.Mtu huyo amehukumiwa kwenda jela miaka mitatu, au kulipa faini ya Sh...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAIOMBA MAHAKAMA KUTUPILIA MBALI OMBI LA PONDA

Upande wa Jamhuri katika ombi la Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu, Shekhe Issa Ponda umeiomba Mahakama kutupilia mbali ombi hilo kwa kuwa halijawasilishwa kisheria.Katika ombi lake, Shekhe...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKATABA KUJENGA CHUO KIKUU CHA SAYANSI NA HISABATI WASAINIWA

Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi imesaini Mkataba wa Ushirikiano (MOU) baina yake na Taasisi ya Masuala ya Sayansi na Hisabati Afrika (AIMS), kwa ajili ya kuanzisha Chuo Kikuu cha masuala ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AAMINI KATIBA MPYA ITAPATIKANA

Wakati Bunge Maalumu la Katiba likitarajiwa kuanza leo, huku mjadala mkali kuhusu mchakato wa Katiba mpya ukiendelea katika makongamano mbali mbali, Rais Jakaya Kikwete amesema ana matumaini baada ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WABUNGE RAGE, MUNDE TAMBWE WANUSURIKA KIFO AJALINI

Wabunge Wawili wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wamelazwa katika Hospitali ya Mkoa wa Dodoma baada ya gari walilokuwa wakisafiria kutoka Tabora kwenda Dodoma kuhudhuria vikao vya Bunge Maalum la Katiba...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HIVI NDIVYO TRAFIKI FEKI ALIVYOTIWA MBARONI DAR

Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam  inamshikilia na kumhoji Robson Mwakyusa (30), mkazi wa Kijitonyama kwa tuhuma za kujifanya Ofisa wa Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani.Mtuhumiwa huyo alikamatwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIKWETE APUUZA MADAI YA KUMWOKOA RIDHIWANI CHINA

Rais Jakaya Kikwete amesema madai kuwa yeye alishiriki kumwokoa mtoto wake, ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete, baada ya kukamatwa na dawa za kulevya nje ya nchi, ni mkusanyiko wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICHO LA TATU

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

FA TIGHTENS RULES ON HEAD INJURIES

Players losing consciousness or suffering concussion will not be allowed to play on next season after the Football Association set out strict guidelines on Tuesday regarding head injuries."If there has...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIPODOZI VILIVYOPIGWA MARUFUKU VYAUZWA DAR

Licha ya Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) kupiga marufuku vipodozi vyenye viambata vya sumu, vimeendelea kuuzwa katika masoko yaliyopo jijini hapa huku vingine vikiisha muda wake.Utafiti uliofanywa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MENEJA KITUO CHA MAFUTA, MWANAFUNZI UDSM KORTINI

Meneja wa kituo cha mafuta cha Gudal Petrol Station cha Ubungo, Kibangu pamoja na mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), wamepandishwa kizimbani kwa mashitaka mawili likiwamo la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KANUNI MPYA ZA KUKOKOTOA MAFAO ZATANGAZWA

Serikali imetangaza kanuni mpya, mbazo zinatoa viwango sawa vya vikokotoa kwa mifuko yote ya hifadhi ya jamii, ambapo sasa watalipwa asilimia 72.5 kutoka asilimia 60-67 kwa baadhi ya mifuko iliyokuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKATABA KUSAIDIA MAENDELEO YA UMEME WASAINIWA

Serikali imesaini makubaliano na Marekani kwa ajili ya kutekeleza mpango wa nchi hiyo kusaidia maendeleo katika Sekta ya Umeme. Waziri wa Nishati na Madini,  Profesa Sospeter Muhongo pamoja na Balozi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

YASEMAVYO MAGAZETI YA LEO JUMATANO - AGOSTI 06

       

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANAYEDAIWA MFUASI WA AL SHABAAB APELEKWA KWA DCI

Mshitakiwaanayekabiliwa na kesi ya kuwa mwanachama wa kundi la kigaidi la Al Shabaab, Mussa Mtweve,  amepelekwa kwa Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) kwa ajili ya mahojiano.Hakimu Mkazi,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAWAZIRI WA SADC WAKUTANA KUJADILI UGONJWA WA EBOLA

Mawaziri wa  Afya na wadau wengine wa afya wa nchi  wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi zilizo Kusini mwa Afrika  (SADC), leo wanakutana kwenye mkutano wa dharura kuzungumzia hatua za kudhibiti...

View Article
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live