Quantcast
Channel: ziro99blog
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBOWE, SLAA KUTETEA NAFASI ZAO UCHAGUZI WA CHADEMA

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetoa rasmi ratiba yake ya uchaguzi wa ndani, ambapo viongozi wa taifa wa chama hicho, akiwemo mwenyekiti na katibu mkuu wapya wanatarajiwa kutangazwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

YASEMAVYO MAGAZETI YA LEO JUMANNE - JULAI 29

     

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KESI YA ARV'S FEKI YAPIGWA KALENDA HADI SEPTEMBA 3

Kesi ya kusambaza dawa bandia za kupunguza makali ya Ukimwi (ARVs) inayomkabili Ofisa Mtendaji Mkuu wa kiwanda cha Tanzania Pharmacentical Ltd ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

POLISI KUTUMIA MAGARI YA WASHAWASHA KUDHIBITI VURUGU IDD EL FITRI

Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam kwa kushirikiana na vyombo mbalimbali vya Ulinzi na Usalama imeimarisha ulinzi ili kuhakikisha wananchi wanasherehekea Sikukuu ya Idd el Fitr kwa amani.Akizungumza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ATUHUMIWA KUKUTWA NA MTAMBO WA KUZALISHA DOLA FEKI

Raia wa Kongo,  Ambanipo Siva (33) aliyekiri kuishi nchini bila kuwa na kibali  amedaiwa kukutwa na mitambo ya kutengezea dola bandia za Marekani.Wakili  kutoka Idara ya Uhamiaji,  Patrick Ngayomela...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WALIMU WANNE WATIMULIWA KAZI KWA MAPENZI NA WANAFUNZI

Walimu wanne wa kiume wa Shule ya Sekondari Mwembetogwa ya mjini Iringa, wamefukuzwa kazi baada ya kubainika wakijihusisha na uhusiano wa kimapenzi na wanafunzi.Walimu  hao walifukuzwa  kazi takribani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICHO LA TATU

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIGOGO WANNE IMTU KORTINI SAKATA LA MABAKI YA MIILI

Vigogo wanne wa Chuo Kikuu cha Kimataifa Cha Tiba na Teknolojia (IMTU),  wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni, wakikabiliwa na mashitaka ya kutupa mifuko 83 yenye miili ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BABA ACHARAZA VIBOKO WALIMU WAWILI TABORA

Vitendo vya baadhi ya wazazi, kudhalilisha walimu vinaendelea, ambapo mzazi mmoja Selemani Juma, amewashambulia walimu wawili kwa viboko.Amefanya hivyo kupinga mwanawe kurudishwa nyumbani, akashone...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AJIRA 200 ZA KONSTEBO, KOPLO ZAPIGWA 'STOP' UHAMIAJI

Ajira za washindi 200, walioitwa kufanya usaili wa nafasi za ajira za Konstebo na Koplo wa Uhamiaji, zimesitishwa kupisha uchunguzi wa utaratibu wa uteuzi wa washindi hao. Hatua hiyo imekuja katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 19

Majeruhi wa ajali ya basi la Morobest lililokuwa likitokea Mpwapwa kuelekea Dar es Salaam, wakiwa wamelazwa chini kusubiria huduma ya matibabu hospitalini. Watu 17 wamethibitishwa kufariki dunia mpaka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 18

Basi la Morobest lenye namba za usajili T 258 AHV likiwa eneo la tukio baada ya kugongana uso kwa uso na lori lenye namba T 820 CKU kwenye eneo la Pandambili, mkoani Dodoma mapema leo majira ya Saa 2...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 17

Wasamaria wakihangaika kunasua majeruhi na miili ya marehemu kutoka kwenye basi la Morobest lenye namba za usajili T 258 AHV lililogongana uso kwa uso na lori lenye namba T 820 CKU kwenye eneo la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 16

Miili ya abiria waliokufa kwenye ajali ya basi la Morobest lililokuwa likitokea Mpwapwa ikiwa imelazwa kando ya basi hilo baada ya kugongana uso kwa uso na lori katika eneo la Pandambili, mkoani Dodoma...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAKATA MAPANGA NG'OMBE NA KUCHOMA MTUMBWI WA WAVUVI

Wananchi katika Kijiji cha Mugara, Kata ya Iramba wilayani hapa wamewakatakata kwa mapanga ng’ombe wawili wa wavuvi waliodaiwa kufanya uvuvi haramu na kuteketeza kwa moto mtumbwi wao.Imeelezwa kuwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MADIWANI WAMLAUMU MKUU WA WILAYA KWA KUWADHALILISHA

Madiwani wawili wa Halmashauri ya Wilaya ya Singida waliokuwa wamewekwa mahabusu kwa amri ya Mkuu wa Wilaya, Queen Mlozi (pichani), wamesema kitendo hicho kimewadhalilisha na kuwaondolea heshima mbele...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YATIMA 500 WASHEREHEKEA PAMOJA IDD EL FITRI

Zaidi ya watoto yatima 500 wanaoishi katika mazingira magumu jijini Dar es Salaam na wilayani Kondoa, Singida wameungana na Waislamu wengine duniani kusherehekea Sikukuu ya Idd el Fitr.Sherehe hizo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UJENZI MUHAS KUONGEZA UDAHILI WA WANAFUNZI

Kukamilika kwa ujenzi wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi cha Muhimbili (MUHAS) na ujenzi wa hospitali ya kisasa katika Kijiji cha Mloganzila, kunatarajiwa kuongeza mara tano ya udahili wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YASEMAVYO MAGAZETI YA LEO ALHAMISI - JULAI 31

       

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ONYO!! SIMU ZA MKONONI, KOMPYUTA HUPUNGUZA NGUVU ZA KIUME

Watanzania wametakiwa kuwa makini wanapotumia simu na kompyuta, kwani ndio chanzo cha matatizo mbalimbali yakiwemo ya kutoona, kutosikia, upungufu wa nguvu za kiume na vifo.Mshauri wa masuala ya...

View Article
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live