Quantcast
Channel: ziro99blog
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICHO LA TATU

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WENYE DIGRII SASA KUFUNDISHA SHULE ZA MSINGI

Rais Jakaya Kikwete amesisitiza nia ya Serikali kutumia wahitimu wake wa vyuo vikuu, kufundisha shule za msingi huku akiwaweka sawa kwa kuwaambia kufanya hivyo si kuwashushia hadhi. Hatua hiyo ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

IPTL YATAKA MAHAKAMA 'IMFUNGE DOMO' KAFULILA

Kampuni ya Kufua Umeme ya Independent Power Tanzania Ltd (IPTL) na walalamikaji wengine wawili, wamewasilisha ombi katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam.Walalamikaji hao wanaiomba mahakama hiyo,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MABOMU YATUMIKA KUZIMA VURUGU KANISA LA MORAVIAN

Jeshi la Polisi jana lililazimika kutumia mabomu ya machozi, kutawanya waumini wa Kanisa la Moravian Ushirika wa Kinondoni, baada ya makundi mawili yanayovutana, kuibua vurugu kanisani hapo.Waumini na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 15

Mifuko ambayo imesheheni mabaki ya kile kilichoelezwa kuwa ni mabaki ya miili ya binadamu ambayo ilitupwa na kugundulika mapema leo kwenye eneo la machimbo ya kokoto sehemu ya Mbweni Mpiji Magohe, nje...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 14

Mifuko ya plastiki inayoaminika kuwa na mabaki ya viungo na mabaki ya miili ya binadamu ikiwa imetelekezwa kwenye eneo la machimbo Mbweni Mpiji Magohe, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam jana.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 13

Gari lenye namba T166 CAF lililobeba mifuko hiyo ya plastiki inayoaminika kuwa na mabaki ya miili ya binadamu likiwa nje ya kituo cha polisi baada ya kukamatwa jana.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANAOSOMEA UALIMU WAONYWA

Wanafunzi wanaotarajia kujiunga na mafunzo ya Stashahada ya Ualimu wa Shule ya Msingi (ODPE) na Sekondari, wamepewa angalizo juu ya utaratibu wa kuomba udahili,  wakisisitizwa vyuo haviruhusiwi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WIZARA YATISHIA KUIFUTA SHULE YA MKOREA

Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali imetishia kuifutia usajili shule ya kimataifa ya Eden iliyopo Chukwani Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja,  kwa madai ya kubainika kutoa mafunzo ya Biblia kwa wanafunzi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIA WA ZAMBIA AKUTWA AMEKUFA HOTELINI DAR

Watu wanne wamekufa katika matukio tofauti, ikiwamo raia wa Zambia, Bryton Chimidu (45) aliyekutwa amekufa ndani ya hoteli ya Jangwani Sea Breeze chumba namba 217.Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAKUU WA MIKOA WAPASHWA MIGONGANO NA MAKATIBU TAWALA

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi, amewataka Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawala nchini, kuheshimiana.Pia, amewataka watambue kuwa wote ni wateule wa Rais, hivyo wanatakiwa wawe na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YASEMAVYO MAGAZETI YA LEO JUMANNE - JULAI 22

     

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BOMBA JIPYA LA MAJI KUTOKA RUVU CHINI MBIONI KUKAMILIKA

Ujenzi wa bomba jipya kutoka Ruvu Chini kwenda matangi yaliyoko Chuo cha Ardhi Dar es Salaam, unakaribia kukamilika.Ujenzi wa bomba hilo lenye kipenyo cha mita 1.8 na urefu wa kilometa 56, unalenga...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JWTZ YAONYA WANAOVAA SARE ZAKE

Jeshi  la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limeonya juu ya matumizi ya sare na vifaa vingine vya majeshi kwa watu wasiohusika.Limetangaza kuwa  hatua kali  za kisheria, zitachukuliwa dhidi ya watu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BARUTI YAUA WAWILI NA KUJERUHI WATATU MIRERANI

Wachimbaji wadogo wawili wa mji mdogo wa Mirerani wilayani Simanjiro mkoani Manyara, wamekufa na wengine watatu wamejeruhiwa baada ya kupigwa na baruti wakiwa mgodini.Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MRITHI WA ASKOFU LAIZER KKKT KUJULIKANA LEO

Hatima ya kinyang’anyiro cha kumpata mrithi wa Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Kaskazini Kati, Dk Thomas Laizer aliyefariki mapema mwaka huu, inajulikana...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICHO LA TATU

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHULE KINARA MATOKEO YA KIDATO CHA SITA IKO TAABANI

Shule ya Igowole, iliyoshika nafasi ya kwanza kitaifa katika matokeo ya Kidato cha Sita mwaka huu, inakabiliwa na matatizo mengi, ikiwemo ukosefu wa mabweni,  kiasi cha Mkuu wa Shule kulazimika kuhama...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZANITE YA SIHILINGI BILIONI 10 ILIYOIBWA YAFICHWA SAKINA

Madini ya tanzanite kilo 15 yenye thamani ya zaidi ya Sh bilioni 10 ya kampuni ya Tanzanite One yaliyoibwa hivi karibuni wilayani Simanjiro katika Mkoa wa  Manyara,  yanadaiwa kufichwa eneo la Sakina...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BEI YA MAFUTA SASA KUSHUKA

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imeanza mchakato wa kutafuta namna ya kupunguza gharama za uingizaji wa mafuta nchini.Hatua hiyo itawezesha pia bei ya nishati hiyo  nchini...

View Article
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live