Quantcast
Channel: ziro99blog
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWAROBAINI WA MSONGAMANO WA MAGARI WAPATIKANA

Utaratibu mpya wa kudhibiti msongamano wa magari jijini Dar es Salaam, umetangazwa ambao utekelezaji wake utakapoanza, pikipiki na bajaj hazitaruhusiwa kuegeshwa wala kuendeshwa katika njia za waenda...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BILIONEA DANGOTE KUSHUSHA NEEMA TANZANIA

Kampuni ya Dangote Group inayomilikiwa na bilionea kutoka Nigeria, imetangaza neema itakayotokana na uwekezaji wa kiwanda cha saruji unaofanyika mkoani  Mtwara, miongoni mwake ikiwa ni kupungua kwa bei...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI WA FEDHA KUJIBU HOJA ZA WABUNGE KUHUSU BAJETI LEO

Leo Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salumu, anatarajiwa kujibu hoja za wabunge kuhusu makadirio ya bajeti ya Serikali ya Sh trilioni 19.8.Tofauti na utaratibu wa kawaida wa Waziri kujibu hoja hizo kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YASEMAVYO MAGAZETI YA LEO JUMANNE - JUNI 24

               

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NIGERIA JOIN ARGENTINA IN LAST 16 DESPITE MESSI MASTERCLASS

Lionel Messi continued his personal quest to be the star of a World Cup as his brace helped Argentina beat Nigeria 3-2 - but both sides still qualified for the last 16.The Barcelona forward lashed a...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 16

Giorgio Chiellini wa Italia akionesha bega lake, akidai kung'atwa na mshambuliaji wa Uruguay Luis Suarez, wakati wa mechi ya Kundi D baina ya nchi hizo ya Kombe la Dunia iliyochezwa jana kwenye Uwanja...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 15

Giorgio Chiellini akifunua jezi yake kumuonesha mchezaji wa Uruguay, Gaston Ramirez (kushoto) sehemu anayodai kung'atwa na mshambuliaji wa Uruguay, Luis Suarez katika mechi baina ya timu zao za taifa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 14

Mshambuliaji wa Uruguay, Luis Suarez akilalamika kwa maumivu baada ya kugongana na beki wa Italia, Giorgio Chiellini wakati wa mechi ya Kundi D ya Kombe la Dunia iliyozikutanisha timu hizo kwenye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 13

Beki wa Italia, Giorgio Chiellini (kulia) akimkwatua mshambuliaji wa Uruguay, Luis Suarez wakati wa mechi baina ya timu hizo kwenye Uwanja wa Dunas, mjini Natal jana. (AP)

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SAMSUNG WAKABIDHI ZAWADI KWA WASHINDI

Kampuni ya Samsung Tanzania kitengo cha electroniki imewakabidhi zawadi mbalimbali ikiwa ni pamoja na home theater, kamera, televisheni na simu za mkononi washindi 10 wa shindano lililofanyika Februari...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PROGRAMU YA MAZINGIRA BORA YA BIASHARA YAKAMILIKA

Programu ya kuwezesha mazingira bora ya biashara (BEST AC) ambayo imedumu kwa muda wa miaka 10 inakamilisha uhai wake kesho.Programu hiyo ambayo ilikuwa chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu na kufadhiliwa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JAJI WEREMA AMWITA TUMBILI MBUNGE KAFULILA

Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema, ameteleza ulimi tena na mara hii amejikuta akimuita Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR-Mageuzi) tumbili.Kabla ya kutoa kauli hiyo, Werema...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DIT KUTOA MAFUNZO KWA WAJASIRIAMALI 2,000

Zaidi ya wajasiriamali wadogo 2,000 kutoka mikoa mbalimbali nchini wanatarajiwa kupewa mafunzo maalumu ya ujasiriamali kwa ajili yakukuza biashara zao na kuhimiri ushindani ndani na nje ya nchi.Hayo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MOROGORO KUACHANA NA ANALOJIA JUNI 30

Mamlaka ya  Mawasiliano Tanzania (TCRA) inatarajia kuzima mitambo ya kurusha  matangazo kwa mfumo wa utangazaji wa analojia mkoani hapa ifikapo Juni 30, mwaka huu saa sita usiku.Hayo yalibainishwa jana...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JAJI MIHAYO ACHAGULIWA RAIS MPYA WA BARAZA LA HABARI

Mkutano wa kumi na saba wa wanachama wa Baraza la Habari Tanzania (MCT) umemchagua Jaji mstaafu Thomas Mihayo kuwa Rais Mpya wa Baraza hilo kwa kipindi cha miaka mitatu ijayo.Baraza hilo lililoketi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIINI CHA GRIDI YA TAIFA KUZIMIKA GHAFLA BADO KITENDAWILI

Shirika  la Umeme  Tanzania (TANESCO) bado halijajua sababu ya umeme kuzimika nchi nzima juzi usiku, baada ya gridi ya taifa kuzimika ghafla.Limeeleza kuwa wanafanyia kazi taarifa zilizorekodiwa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHAMA CHA CUF CHAFANYA MABADILIKO MAKUBWA

Mkutano Mkuu wa Chama Cha Wananchi (CUF) umeridhia uwepo wa ngazi ya uongozi wa jimbo, ili ufanane na mfumo wa vyama vingine vya upinzani nchini, kwa lengo la kuimarisha mshikamano.Pia, mkutano huo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZAIDI YA NYUMBA 700 BARABARA YA ARUSHA-MOSHI KUBOMOLEWA

Zaidi ya nyumba 700 zilizopo kando ya barabara ya Arusha-Moshi, zitabomolewa  kupisha ujenzi wa barabara ya kutoka Arusha hadi mpaka wa Holili,  kwa upande wa Tanzania na Taveta hadi Voi nchini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICHO LA TATU

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YASEMAVYO MAGAZETI YA LEO ALHAMISI - JUNI 26

         

View Article
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live