Quantcast
Channel: ziro99blog
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WASHITAKIWA 'MTOTO WA BOKSI' WAKABILIWA KESI YA MAUAJI

Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Morogoro imewabadilishia mashtaka  washitakiwa watatu katika kesi ya marehemu, Nasra Mvungi (4) waliokuwa wanakabiliwa na makosa  ya kula njama na kufanya ukatili, sasa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BAJETI YA SERIKALI 2014/2015 YAFYEKA MISAMAHA YOTE YA KODI

Bajeti Kuu ya Serikali ya Sh trilioni 19.87, imewasilishwa jana bungeni na Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum, huku ikiwabana wananchi katika bidhaa na huduma za starehe, na   kipaumbele kikubwa kikiwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 4

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Nehemia Mchechu akizungumza wakati wa kongamano la uwekezaji lililofanyika Dubai.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 3

Baadhi ya wafanyakazi wa Kikosi cha Zimamoto wakiendelea na zoezi la kuzima moto ulioteketeza kabisa Soko la Ilala Mchikichini, Dar es Salaam jana.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICHO LA TATU

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

YASEMAVYO MAGAZETI YA LEO IJUMAA - JUNI 13

          

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TWO-GOAL NEYMAR FIRES BRAZIL TO CONTROVERSIAL OPENING WIN

World Cup Group A, Arena de Sao Paulo, Lisbon, Brazil 3 (Neymar 29, 71 pen, Oscar 90) Croatia 1 (Marcelo og 11)The Barcelona forward converted a hotly disputed spot-kick 19 minutes from time after Fred...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DUTCH RIP SPAIN TO SHREDS WITH ASTONISHING DISPLAY

The 2014 World Cup has its first historic moment as the Netherlands hammered Spain5-1 in an incredible match in Salvador.The champions were not just beaten, but absolutely ripped to pieces by a...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI SASA KUNUNUA MAFUTA KWA ELEKTRONIKI

Serikali itaanzisha mfumo mpya wa kielektroniki wa kununua, kutunza na kuuza mafuta yanayotumika katika magari yake. Hayo yalibainishwa na Waziri wa Fedha, Saada Salum Mkuya  aliposoma Hotuba ya Bajeti...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ASKARI WAWILI WA TPA WAPANDISHWA KIZIMBANI

Askari wawili wa Mamlaka ya Bandari Tanzania(TPA), Jonas Bakari (25) na Hashim Salum (43) wamefikishwa mahakamani kwa tuhuma za kumkata mtu mkono.Akisomewa mashitaka, Mwendesha Mashitaka, Vitalia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KINONDONI YATOA SHILINGI MILIONI 54 KUJENGA BARABARA ZA KATI 27

Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni imetoa Sh milioni 54 kwa kata zake zote 27 zilizopo katika manispaa hiyo, kuhakikisha barabara za mitaa zinajengwa kwa kiwango cha lami nyepesi na kifusi.Ofisa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MUSWADA WA SHERIA YA BAJETI WAJA

Serikali inaandaa Muswada wa Sheria ya Bajeti, ambao utakamilika kabla ya mwisho wa mwaka 2014/15.Waziri wa Fedha, Saada Salum Mkuya  alisema hayo aliposoma hotuba ya Bajeti ya Serikali kwa mwaka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MENEJA RAIA WA KIGENI TANZANITE ONE ATIWA MBARONI

Meneja Mauzo wa Kampuni ya madini ya Tanzanite One yenye makao yake Makuu jijini Arusha, Jacques Beytel (39) raia wa Afrika ya Kusini amekamatwa na maofisa wa Idara ya Uhamiaji mkoani Arusha kwa kosa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAADHIMISHO SIKU YA MTOTO WA AFRIKA KUFANYIKA JUMATATU

Maadhimisho ya mwaka huu ya Siku ya Mtoto wa Afrika, yataadhimishwa nchini Jumatatu Juni 16, mwaka huu katika ngazi ya mkoa. Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Sophia Simba alisema hayo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANAOPEWA MISAMAHA YA KODI SASA KUTANGAZWA

Katika mwaka wa fedha 2014/15 Serikali itakuwa inatangaza watu wanaonufaika na misamaha ya kodi.Lengo la hatua hiyo ni kuongeza haki na usawa katika kutoa misamaha hiyo.Kauli hiyo imetolewa na Waziri...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TIPER YAIPA SERIKALI GAWIO LA SHILINGI BILIONI 127

Serikali imepokea Sh bilioni 127 kutoka TIPER ikiwa ni gawio ambalo kampuni hiyo imekuwa ikilipa kwa wanahisa wake kila mwaka.Kauli hiyo imetolewa na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Dk Servarcius...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAWAKILISHI WAKERWA KUPAPASWA UWANJA WA NDEGE

Baadhi ya Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wameitaka Wizara ya Mawasiliano na Miundombinu kuweka vifaa vya kisasa vya ukaguzi kwa abiria katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Zanzibar na kuacha tabia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BAJETI 2014/2015 YAKUNA WASOMI NA WANAHARAKATI

Wasomi, wanaharakati na wananchi kwa ujumla wamepongeza Bajeti ya mwaka 2014/15 ya Sh trilioni 19 iliyowasilishwa bungeni juzi na kujikita zaidi katika kuimarisha miundombinu ya elimu, usafiri wa reli...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HALMASHAURI 80 KUVUNA SHILINGI BILIONI 40 KWA NYUMBA ZA WALIMU

Serikali inatarajiwa kutoa Sh bilioni 40 kwa ajili ya ujenzi wa nyumba za walimu katika halmashauri 80 nchini, sawa na Sh Sh milioni 500 kwa kila halmashauri.Hayo yamesemwa na Waziri wa Fedha, Saada...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WASOMI 10,500 WASAILIWA KUJAZA NAFASI 70 TU UHAMIAJI

Katika hali inayoashiria ukubwa wa tatizo la ajira katika sekta rasmi nchini, juzi wasomi wa ngazi ya Chuo Kikuu 10,500 walijitokeza jana (pichani) kwenye usaili wa Idara ya Uhamiaji nchini inayohitaji...

View Article
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live